Axelrod was shocked that Donald Trump called for 'drug testing?!?' of Hillary Clinton, which the nominee said this weekend in New Hampshire The Obama adviser suggested Clinton pulling out 'given the depths to which this has sunk'Mkuu nimeweka link inayokupeleka kwenye dailymaill moja kwa moja (Post [HASHTAG]#370[/HASHTAG])
(Yawezekana nimepisha na semantic iliyotokana na hiyo tweet)
Ni kweli Assange ni raia wa Australia ila huko Sweden anatuhumiwa kwa kuwakamata wanawake kwa nguvu, makosa yale yale ya Trump...kumbuka birds of a feather flock together!Facts(red): Assange ni raia wa Australia na si wa Swedeen.
Ahahaa...!!!Sasa hao ndege mbona wanamuacha Mama Clinton!? Au wanamuadhibu kwa sababu vurugu zake zilisababisha mwenzao Bwana Clinton 'kupopolewa'...! Mkuu Mag3 , nadhani nawe unafaa kuwemo kwenye timu ya kampeni ya HRC!!Ni kweli Assange ni raia wa Australia ila huko Sweden anatuhumiwa kwa kuwakamata wanawake kwa nguvu, makosa yale yale ya Trump...kumbuka birds of a feather flock together!
Pona yake Assange ni Trump kushinda Urais kitu ambacho hakitawezekana. Clinton atakapotangazwa Rais, asubiri tu maumivu na ndiyo maana halali akimpigania Trump!
Bahati mbaya natumia simu, ningekupa michapo ya uhakika.Ahahaa...!!!Sasa hao ndege mbona wanamuacha Mama Clinton!? Au wanamuadhibu kwa sababu vurugu zake zilisababisha mwenzao Bwana Clinton 'kupopolewa'...! Mkuu Mag3 , nadhani nawe unafaa kuwemo kwenye timu ya kampeni ya HRC!!
Ugomvi wa Assange si baina yake na Clinton tu, unaanzia mbali kidogoAhahaa...!!!Sasa hao ndege mbona wanamuacha Mama Clinton!? Au wanamuadhibu kwa sababu vurugu zake zilisababisha mwenzao Bwana Clinton 'kupopolewa'...! Mkuu Mag3 , nadhani nawe unafaa kuwemo kwenye timu ya kampeni ya HRC!!
Republican 50 waliotumikia serikali ya Marekani katika mambo ya ulinzi na usalama, walitoa waraka wa kumkataa Trump 'Hafai na ni hatari kwa nchi'RedItalic: Trump ana sense of humor ukilinganisha na yule mama. Hata hivyo ana matatizo yake kama binadamu ambayo sidhani kama ni hatarishi sana kwa ulimwengu ka ya yule mama. Trump can easily be rehabilitated ukilinganisha na yule mama ambaye kuomba msamaha tu kwake ni shida..
Sera za Marekani zipo za aina mbili. Kuna sera zinazobadilika kutoka kiongozi mmoja hadi mwingine. Hizi nyingi ni za mambo ya ndani, biashara, uchumi na jamii kama afya na elimu.Mkuu unajua mimi ninajifunza mengi kutoka kwako? Hapo mkuu ulitakiwa uniweke sawa mimi mwanafunzi wako kwamba hapa hii iko hivi na hivi. Mkuu kumbuka mimi ni mwanafunzi wako ingawa naweza kuonekana nauliza maswali au natoa hoja ambazo zina utata. . I am sincerely serous. Sitanii.
Lakini ujue, huyo Mama ataharakisha kuizamisha Marekani. Kwanza kwa sasa kunamgawanyiko ndani ya EU (mshirika mkubwa wa US) kuhusu maelekezo ya kuendeleza sera za Marekani ambazo haziinufaisha EU. Leo wameshindwa kuafikiana juu ya kuongeza vikwazo kwa Russia. Hii ni dalili mbaya kwa US anayetaka kuitumia EU kuiadhibu Russia kwa manufaa yake. Philipine mshirika wake muhimu, huko Asia, juzi ameamua kuiangukia China. Na kwa China kwa ukarimu wake amemruhusu Durtete (Rais wa Philipino) kutumia visiwa vile vilivyona utata bila wasi. Wamesaini karibu mikataba dazeni mbili ya kiuwekezaji na ulinzi. BRICS iko speed mia kuikwepa ' Petroldollar', petrodollar ni uhai wa US. Juzi kati nadhani kwa kuona Dollar yaweza kuwa reject katika baadhi ya masoko ya fedha, IMF imeamua kuiongeza ela ya China katika sarafu za kuwekea 'bond'. Wanafedha na wachumi wanajua sana hii ina maanisha nini. Kwa staili hii na Speed na kiburi cha 'mama' huyu, US run a risk of being isolated and exterminated (kiuchumi na kiulinzi) kama ataingia kwenye jumba jeupe.Trump anazidi kulikoroga...duh! Huyu mhuni Urais atausikia tu.
Misingi ya demokrasia ya Wamerkani ni mizuri .Nguruvi3 kwa mara ya kwanza lazima tukiri na hili hata baadhi ya wamarekani wamekiri kuwa uchaguzi huu ni wa aina yake. Vyama vyote viwili vimesimamisha wagombea wa ajabu...!! Wakati mwingine unajiuliza,nchi inayojinasibu kuwa na demokrasia na iliyoweka misingi bora ya kupata wagombea wake,imekuaje ikateua wagombea wa aina hii!??
magode, magode, magode...mbona unabadilisha magoli? Msimamo wako muda wote umekuwa ni Marekani kumhitaji mtu kama Donald Trump, mtu sahihi asiyemung'unya maneno, mtu akayeirudisha Marekani katika mstari na mtu ambaye hana makandokando ya establisment. Baadhi yetu tumesema toka awali kabisa kwamba mtu kama Donald Trump hafai na Marekani tunayoijua haiwezi kufanya maamuzi ya kijinga kama hayo ya kumpa madaraka tapeli, mkurupukaji na mdhalilishaji.Nguruvi3 kwa mara ya kwanza lazima tukiri na hili hata baadhi ya wamarekani wamekiri kuwa uchaguzi huu ni wa aina yake. Vyama vyote viwili vimesimamisha wagombea wa ajabu...!! Wakati mwingine unajiuliza,nchi inayojinasibu kuwa na demokrasia na iliyoweka misingi bora ya kupata wagombea wake,imekuaje ikateua wagombea wa aina hii!??
Labda hujanielewa tangu mwanzo ktk michango yangu,nilisharudia mara nyingi sana ukisoma michango yangu hapa. Namuunga mkono na mguu Donald trump mpaka kesho,kwa sababu sijawahi kuwaamini wanawake ktk mambo makubwa..! Na sina sababu ya kuwaamini. Kuna kitu usichokielewa hapa,kuhusu sifa za kugombea Donald trump anazo ndo maana aliruhusiwa kugombea.magode, magode, magode...mbona unabadilisha magoli? Msimamo wako muda wote umekuwa ni Marekani kumhitaji mtu kama Donald Trump, mtu sahihi asiyemung'unya maneno, mtu akayeirudisha Marekani katika mstari na mtu ambaye hana makandokando ya establisment. Baadhi yetu tumesema toka awali kabisa kwamba mtu kama Donald Trump hafai na Marekani tunayoijua haiwezi kufanya maamuzi ya kijinga kama hayo ya kumpa madaraka tapeli, mkurupukaji na mdhalilishaji.
Sasa unasema unataka sote tukiri kwamba wagombea wote hawafai na unashangaa nchi kama Marekani inayojinasibu kuwa na demokrasia na iliyoweka misingi bora ya kupata wagombea wake, imekuaje ikateua wagombea wa aina hii! Ngoja nikusahihishe kidogo...wakati ilijulikana toka mapema kabisa kwamba Hillary Clinton ana sifa zote za kugombea Urais Marekani, vivyo hivyo ilijulikana kwamba Donald Trump hakuwa na sifa yoyote ya kugombea Urais na kujitokeza kwake kulichukuliwa kama utani!
Mwaka 2012, Hillary Clinton alipigiwa kura kama mwanamke mashuhuri namba moja duniani akifuatiwa na wengine kama malkia wa Uingereza na wengineo kama Oprah Winfrey. Wakati huo tayari alipewa nafasi kubwa ya kuwa mgombea wa chama cha Democrats na hivyo kuwapa mahasimu wao wakuu, Republicans, muda tosha wa kufanya jitihada za kumchafua. Maswala ya Emails na Bengazi, kama uliyafuatilia, yalivaliwa njuga kumjengea taswira ya kutokuwa mwaminifu na kwa kweli walifanikiwa.
Kuna msemo kwamba uongo ukirudiwa rudiwa bila kukanushwa kwa nguvu, ni rahisi kwa watu kuanza kuamini na kwa kweli wengi waliweza kurukia hiyo hoja ya udanganyifu. Jitihada hizi zikafuta kwa kiasi kikubwa historia na sifa zote alizokuwa nazo huyo mama hadi kupewa heshima duniani kama nilivyotaja hapo juu. Nakiri kabisa kwamba Republicans ni wazuri sana katika hili...hebu unganisha na jitihada zao katika kutaka kufuta mema yote ya Rais Obama katika kipindi chake chote cha miaka minane.
Je Donald Trump alikuwa na sifa zipi za kujitokeza kugombea Urais wa Marekani? Alipewa nafasi gani kati ya wagombea wote 17 waliojitokeza hadi awashinde kwenye kura za awali ndani ya chama chake? magode, ukipata muda tafakari haya maswali halafu jiulize kwa nini wewe na baadhi ya wana JF humu jamvini mlikuwa mnamshupalia huyo limbukeni?
Kwa lipi alilowafanyia wananchi wa kawaida? Mimi ninayo rekodi ya kuwa upande wa Republicans (kwa mfano uchaguzi wa 2004...Bush/John Kerry)
Nitaendelea...
Hillary Clinton, "While I was monitoring the raid that brought Osama Bin Laden to justice he was hosting the Celebrity Apprentice"
Donald Trump, "Such a nasty woman"
Hapa kuna 'women-phobia'Labda hujanielewa tangu mwanzo ktk michango yangu,nilisharudia mara nyingi sana ukisoma michango yangu hapa. Namuunga mkono na mguu Donald trump mpaka kesho,kwa sababu sijawahi kuwaamini wanawake ktk mambo makubwa..! Na sina sababu ya kuwaamini. Kuna kitu usichokielewa hapa,kuhusu sifa za kugombea Donald trump anazo ndo maana aliruhusiwa kugombea.
Nnachosema hapa,wagombea wote,wameonekana kuwa na makando makando mengi sana kiasi kwamba km kungekuwa na umakini mkubwa ktk uteuzi wangeweza kuwaacha.
Naona unataka kutetea hata dhambi ambazo clinton mwenyewe amekiri na kuomba radhi...lkn kwako ni uongo uliopikwa na republican!!! Sisi kazi yetu ni kuangalia wanavyotifuana,lkn mwisho wa siku wamarekani wenyewe ndo wataamua.