Nguruvi3 kwa mara ya kwanza lazima tukiri na hili hata baadhi ya wamarekani wamekiri kuwa uchaguzi huu ni wa aina yake. Vyama vyote viwili vimesimamisha wagombea wa ajabu...!! Wakati mwingine unajiuliza,nchi inayojinasibu kuwa na demokrasia na iliyoweka misingi bora ya kupata wagombea wake,imekuaje ikateua wagombea wa aina hii!??
Misingi ya demokrasia ya Wamerkani ni mizuri .
Kwamba sauti za watu ndizo zinazungumza. Ndiyo maana kauli ya Trump kuhusu kukubali au kuktaa matokeo imepokewa kwa hisia sana. Watu ndio wanazungumza si mtu
Ni misingi hiyo ndiyo imewezesha Trump ambaye tukubali tu kuwa uwezo wake kisiasa ni mdogo kufika hapo alipo.
Nasema hivi kwasababu ukiwasikiliza, Trump hajaongelea sera, anachofanya ni kukosoa sera za mwenzake.Hilo ndilo linamfanya Hillary pengine aonekane afadhali
Ukimsikiliza John Kasich utaona tatizo kubwa kwa GOP. Tatizo lilianza na Tea party ambap badala ya kusikiliza na kurudisha katika misingi ya chama, Republican waliwaogopa
Ni tea party ndiyo imemfikisha Trump alipo. Katika uzi mwingine tulionyesha ile core constituent ya Trump ambayo hadi sasa ipo intact
Wale wangine waligawana kura 70% na hivyo kutoweza kumshinda Trump
Hakuna sera nzuri au mbaya, kinachotakiwa ni ulinganifu na uwezo wa kuzitetea
Tuliona misimamo ya McCain na Obama, Romney na Obama
Ilikuwa clear kabisa nani anasimamia wapi
Kama umefuatilia mijadala, Trump hajaongelea sera zake zozote.
Kwa mfano, anaulizwa Syria kule Allepo angefanya nini tofauti?
Jibu ni Obama katengeneza ISIS.
Facts zipo kuwa ISIS ilianza wakati wa Bush.Je, alitakiwa afanye nini? hana jibu
Hillary anaweza kueleza nini atafanya hata kama si sahihi.
Msikilize Hillary na sera za nje, halafu tafuta ulinaganifu wa sera hizo kutoka kwa Trump
Mfano wa pili, kaulizwa, plan yake ya medicare itazuiaje ukosefu wa fedha ikifika 2020? Jibu lake Obamacare imeleta matatizo.
Hivi ni vitu viwili na hainonekani anaweza ku connect au kuvitetea
Ukifuatilia kwa undani mtifuano wa Democrats ulikuwa kuhusu issue
Mtifuano wa GOP ulikuwa personality
Hata hivyo, system ya Marekani inafanya kazi kwasababu mwisho wa siku Republican na Democrats walipata wagombea kwa sauti za watu. Hilo ndilo linaeleza demokrasi.
Marekani mgombea hateuliwi anapatikana kwa process na process ita determine si kikundi cha watu