MIKE PENCE
MGOMBEA MWENZA NA VP MTARAJIWA
Anasema
- Ahsanteni wote na nawashukuru sana,nakubali nafasi ya ugombea kama VP
- Mimi ni mkristo na conservative Republicans
-Mumemteua mshindi, na asiyekata tamaa, Donald trump
-Tutashinda kwasababu tunagombea katika hoja. America wamechoka kusikia wanasiasa wakisema tutafanya kesho, tukiongeza deni kwa watoto wetu kila siku.
-Uchaguzi ni kuhusu kura itajayohakikisha Hillary Clinton hawi Rais wa US
-Clinton, ana offer 3rd Obamacare, na deni la taifa limeongezeka. Kama Obama anafikiria sharia , madeni na serikali kubwa. Wanasema huu uchumi ni bora, ni bora kwao si kwetu
-Indiana wanatumia conservative principle, na inafanya kazi vema Indiana
-Leo taifa lina deni la 19 Trilioni , Indiana ina surplus ya bilioni 2. Tuna ajira Zaidi na hayo ndiyo tunataka na Trump ndiyo atakayopeleka white house
-Trump anaelewa, ni mtendaji . Hazungumzi kisiasa
- Trump anajali watu wanaolifanya Taifa liendelee. Inasikitisha kwa askari wetu, wajue kuwa tutasimama na Polisi.
- Nimemjua kwa ukaribu Trump, ni mtu anayeheshimu watu.
- Clinton ni establishment na secretary of status quo. Tunaweza kuchagua walioshindwa, au kuchagua viongozi. Trump ataleta change, na change will be Huuuge!!!!
-Chini ya Trump, veteran watapata wanachostahili, mipaka italindwa na taifa litanyanyuka
-Hii haitakuwa rahisi, matokeo yanatutegemea. Clinton machine in action kama Bernie Sanders anavyosema. Kwa muda huu atakuwa na wakati mgumu. Hatapata attention kama ya Trump kwa issue by issue
-Tuna agenda ya stronger and prosperous America
- Union member hawataki Rais atakayewaweka coal miners out of business
- Trump ata fight kwa black America, ataheshimu kazi n.k.
-Chama cha Lincoln kilianzishwa kwa usawa na haki na agenda ni kuhakikisha kila mwamerika anafanikiwa
-Tuhakikishe Rais atakayechagua jaji wa supreme court ni Trump
-Rekodi ya Clinton in foreign affairs ni mbaya. Iran, Benghaz n.k.
Kuna kelele zinasema Obama, Obama!
- Kwa mtu aliyefanya ya Hillary, hapaswi kuwa kamanda in chifu wa US
-7 yr ya Obama na Clinton, terroristic attack na attempted coup in Turkey , foreign policy yao ya ku lead from behind n.k ni ushahidi wa haya. Hatuwezi kuwa na miaka mingine 4
-Trump katika uso wa dunia ataongoza kwa nguvu, atajenga jeshi na kuharibu radical Islamists. Dunia inajua hivi, America inasimama na Israel
-Mwisho wa Obama kuna mengi yanayotugawa kuliko kutuanganisha. Sote ni ni one nation under God, indivisible and Liberty.
-Naahidi kuwa mtiifu kama VP na kuomba kila siku. Naamini tumefika mahali na nina Imani kwa waamerika , na Imani kuwa mungu ataiponya nchi yetu.
- chaguo ni Rais atakayakabiliana na ISIS,atakaye restore law and Order, atakayekuza uchumi na kuondoa ukiritimba, atakayejenga mipaka imara, atakayepambana na Washington DC, tuna chaguo moja, timu ipo tayari na chama kipo tayari na tukimchagua Trump tutafanya Amerika great again
Amemaliza