Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
- Thread starter
- #61
Trump
- Nitalinda free speech kwa waamerika wote wakiwemo w dini ambao haki yao imechukuliwa
-Tunatakiwa kuamini nchi na sisi wenyewe
-Ni wakati kuonyesha dunia, US is back bigger and stronger than ever before
-Ninabahati ya kuwa na mkewe na watoto wangu karibu. Mtakuwa vyanzo vya furaha
-Kutokana na baba yangu, nimejifunza kuheshimu watu na heshima kwa kazi
-Mama alikuwa mwaminifu na mwenye hekima
-Kwa dada na kaka zangu , nitawapata upendo ni muhimu na wa kipekee kwangu
-Nina mafanikio katika biashara, na sasa mpango wangu ni kuwafanyia kazi na kutoa ushindi kwa Waamerika ili tushinde tena
-Ili kufanikiwa, tuondoke katika siasa za kichwara. Watu wote wanaosema huwezi kuwa na nchi unayotaka, ndio waliosema Trump hana nafasi. Tunafurahi kuwashinda hao watu
-Tusiwaamini katika media na siasa waakaosema lolote kulinda rigged system. Historia inatuangalia kama tutafanikiwa na kuonyesha dunia kama tupo free independent na strong
- nawaomba kuungwa mkon ili niwe mshindi wenu WH
-Clinton anaomba support kwa maneno matatu, I am with her, nasema Iam with you
Inaendelea
- Nitalinda free speech kwa waamerika wote wakiwemo w dini ambao haki yao imechukuliwa
-Tunatakiwa kuamini nchi na sisi wenyewe
-Ni wakati kuonyesha dunia, US is back bigger and stronger than ever before
-Ninabahati ya kuwa na mkewe na watoto wangu karibu. Mtakuwa vyanzo vya furaha
-Kutokana na baba yangu, nimejifunza kuheshimu watu na heshima kwa kazi
-Mama alikuwa mwaminifu na mwenye hekima
-Kwa dada na kaka zangu , nitawapata upendo ni muhimu na wa kipekee kwangu
-Nina mafanikio katika biashara, na sasa mpango wangu ni kuwafanyia kazi na kutoa ushindi kwa Waamerika ili tushinde tena
-Ili kufanikiwa, tuondoke katika siasa za kichwara. Watu wote wanaosema huwezi kuwa na nchi unayotaka, ndio waliosema Trump hana nafasi. Tunafurahi kuwashinda hao watu
-Tusiwaamini katika media na siasa waakaosema lolote kulinda rigged system. Historia inatuangalia kama tutafanikiwa na kuonyesha dunia kama tupo free independent na strong
- nawaomba kuungwa mkon ili niwe mshindi wenu WH
-Clinton anaomba support kwa maneno matatu, I am with her, nasema Iam with you
Inaendelea