Duuh Kwa Hali Hii Diamond Hakufanya Kosa Kuwa Na Mtoto Nje

Duuh Kwa Hali Hii Diamond Hakufanya Kosa Kuwa Na Mtoto Nje

Wamefanana kila kituuu..... Acha uchawi
 
Kama Mapacha
 

Attachments

  • IMG_20170813_204918.jpg
    IMG_20170813_204918.jpg
    79.5 KB · Views: 69
wabongo wachonganishi sana. na watoto wenu au wa ndugu zenu mnawachunguza hivyo?
 
Acheni dhambi hao watoto wamefanana.ila huyo huyo wa kiume ana appearance ya kiume. Kwa nini watu wengine wanaumia kwa relationship ambayo sio yao? Tangu ana mimba zari alikuwa anasemwa sio ya diamond.maisha yanaendelea bado wako pamoja.
 
Mtoto wa marehemu hoyoo, kana bahati mbaya kuzaliwa tu na baba kufariki
 
Kwa kweli....people wanapenda sana kufuatilia wenzao, aweke picha za watoto wake na ya kwake tuone na yeye tumchambue.....[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kuta wote wa jirani. Waafrika hatunaga shida na mtoto anayezaliwa muji wako labda mtu akuletee kelele.
Kule uchagani ingekuwa shida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom