Duuh Kwa Hali Hii Diamond Hakufanya Kosa Kuwa Na Mtoto Nje

Duuh Kwa Hali Hii Diamond Hakufanya Kosa Kuwa Na Mtoto Nje

Ohoooooo!!!
e59d08b9f18715f25b4c6c775afed056.jpg


-Ndumilakuwili-
hila huyu anafanana na marehemu.

lazima tulipe kodi
 
Jamani mambo mengine ni aibu mwanaume kuyasema au kuyashabikia. We unauhakika gani uliyenaye ni baba yako? Au watoto wako ni wako? Kama huna ndio kabisa usiseme mana hujui utakaokuwa nao watakuwa watoto wako. Haya mambo achieni wanawake ni AIBU KWA MWANAUME KUYASHABIKIA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diamond alichemsha. Iko siku atasema ukweli kwamba alichemsha. Katika hali ya kawaida kwa taratibu zetu za kiafrika sii vema wala hatutarajii kijana ambaye hajaoa kuoa mke aliyeachika tena mwenye watoto kama alivyofanya. Walioachika wanaoana wao kwa wao na wenye watoto inapendeza wakioana wao kwa wao. Aliingia chaka bovu. Litamtesa. Tusishangae siku moja akiombwa talaka itakayoambatana na kumlipa mamilioni huyo mama Tiffah. Mwanamke ni mjanja kuliko mwanaume.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aombwe talaka vp kwan kaoa???
 
[emoji41] [emoji41] [emoji41] sijaelewa kwamba Zari anaomba atifuliwe kifusi au?[emoji41] [emoji41]
Mkuu show ya ugiriki anaikumbuka anaiomba tena kifusi kikatifuliwe [emoji23] [emoji23]

From Korodani.
 
Back
Top Bottom