nao
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 1,832
- 1,940
Mimi nilijua wanawake tu ndo hua wanajadili mambo ya kimbea namna hii kumbe hata wanaume oooh dunia simama nishuke maana sielewi wanaume walio wengi wamepatwa na kitu gani!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app