Mshindi anazawadiwa shillingi ngapi? Na hiyo zawadi ni lazima uhamie USA ndio upewe? Naomba ufafanuziTAARIFA MPYA
DV-2023 PROGRAM INAANZA RASMI KUCHEZWA TAREHE 6/10/2021,
MWISHO NI TAREHE 9/11/2021.
JIANDAE MAPEMA NA CHEZA MAPEMA.
HAISHAURIWI KUSUBIRIA TAREHE ZA MWISHONI.
KWA MASWALI AU MSAADA/ USHAURI BURE NIPIGIE SIMU WAKATI WOWOTE.
ANGALIZO:
IWAPO UTANIHITAJI KWA MAJADILIANO/KUKUTANA ANA KWA ANA NAMI AU KUCHEZEWA/KUJAZIWA FOMU KWENYE MTANDAO,
ITAKUGHARIMU WEWE KUFIDIA MUDA WANGU,- KIUNGWANA.
SIMU/WHATSAPP: +255 714 59 15 48.
Visa card inayokuruhusu kuhamia USA Ila nauli utajilipia na ukipata hiyo card ni rahisi kupata uraiaMshindi anazawadiwa shillingi ngapi? Na hiyo zawadi ni lazima uhamie USA ndio upewe? Naomba ufafanuzi
Kwahiyo wanaweka shillingi ngapi kwenye hiyo Visa card? Na what if mimi natumia Mastercard? Na kuna ulazima gani kwenda kuchukulia zawadi USA? Naomba ufafanuzi?Visa card inayokuruhusu kuhamia USA Ila nauli utajilipia na ukipata hiyo card ni rahisi kupata uraia
Hiyo Kadi ya kukuruhusu kuishi USA na ina kusaidia kufanya KAZI bila usumbufu sio Kadi ya kukuwekea hela [emoji23][emoji1787]Kwahiyo wanaweka shillingi ngapi kwenye hiyo Visa card? Na what if mimi natumia Mastercard? Na kuna ulazima gani kwenda kuchukulia zawadi USA? Naomba ufafanuzi?
Heee, kuniruhusu? Kwanini sasa hivi nakatazwa? Mbona mi sielewi? Na zawadi ni shs. ngapi sasa?Hiyo Kadi ya kukuruhusu kuishi USA na ina kusaidia kufanya KAZI bila usumbufu sio Kadi ya kukuwekea hela [emoji23][emoji1787]
Dah tuishie hapa nduguHeee, kuniruhusu? Kwanini sasa hivi nakatazwa? Mbona mi sielewi? Na zawadi ni shs. ngapi sasa?
Mkuu nitaomba website ya kufanya application wakishafungua hiyo tarehe 6.TAARIFA MPYA
DV-2023 PROGRAM INAANZA RASMI KUCHEZWA TAREHE 6/10/2021,
MWISHO NI TAREHE 9/11/2021.
JIANDAE MAPEMA NA CHEZA MAPEMA.
HAISHAURIWI KUSUBIRIA TAREHE ZA MWISHONI.
KWA MASWALI AU MSAADA/ USHAURI BURE NIPIGIE SIMU WAKATI WOWOTE.
ANGALIZO:
IWAPO UTANIHITAJI KWA MAJADILIANO/KUKUTANA ANA KWA ANA NAMI AU KUCHEZEWA/KUJAZIWA FOMU KWENYE MTANDAO,
ITAKUGHARIMU WEWE KUFIDIA MUDA WANGU,- KIUNGWANA.
SIMU/WHATSAPP: +255 714 59 15 48.
Kwanini tuishie hapa wakati nina shauku ya kushinda hiyo zawadi? Niambie ni shs.ngapi ndugu..., pleaseDah tuishie hapa ndugu
Zawadi ni shs.ngapi jamani?!Mkuu nitaomba website ya kufanya application wakishafungua hiyo tarehe 6.
Wewe umekazania zawadi hela wakati huko juu nilishakuambia hakuna hela wala zawadi zaidi ya kuruhusiwa kuishi USA na kufanya kaziKwanini tuishie hapa wakati nina shauku ya kushinda hiyo zawadi? Niambie ni shs.ngapi ndugu..., please
Tanzania ilitolewa katika hiyo bahati nasibu mkuu.Hatupo tenaTAARIFA MPYA
DV-2023 PROGRAM INAANZA RASMI KUCHEZWA TAREHE 6/10/2021,
MWISHO NI TAREHE 9/11/2021.
JIANDAE MAPEMA NA CHEZA MAPEMA.
HAISHAURIWI KUSUBIRIA TAREHE ZA MWISHONI.
KWA MASWALI AU MSAADA/ USHAURI BURE NIPIGIE SIMU WAKATI WOWOTE.
ANGALIZO:
IWAPO UTANIHITAJI KWA MAJADILIANO/KUKUTANA ANA KWA ANA NAMI AU KUCHEZEWA/KUJAZIWA FOMU KWENYE MTANDAO,
ITAKUGHARIMU WEWE KUFIDIA MUDA WANGU,- KIUNGWANA.
SIMU/WHATSAPP: +255 714 59 15 48.
Kwahiyo kuishi na kufanya kazi USA ni zawadi? Okay, huko naweza angalau nikapata eka 20 nilimelime hata mahindi kibiashara? Upatikanaji ardhi ya ukubwa huo ukoje huko?Wewe umekazania zawadi hela wakati huko juu nilishakuambia hakuna hela wala zawadi zaidi ya kuruhusiwa kuishi USA na kufanya kazi
Ndio maana ikaitwa bahati nasibu na maelfu wanachezaKwahiyo kuishi na kufanya kazi USA ni zawadi? Okay, huko naweza angalau nikapata eka 20 nilimelime hata mahindi kibiashara? Upatikanaji ardhi ya ukubwa huo ukoje huko?
Sasa si ndio nataka nione ubahati wake, je , huko naweza pata eka walau 20 au 30 hivi nikafanya shughuli mbali mbali za kiuchumi kama ilivyo kwa Tanzania? Maana waChina wanakimbilia huku Tz pia, tuwachezeshe nao bahati nasibu?Ndio maana ikaitwa bahati nasibu na maelfu wanacheza
Kule Fursa ni nyingi.Maisha ya diaspora ni bora sana kuliko huku.Sasa si ndio nataka nione ubahati wake, je , huko naweza pata eka walau 20 au 30 hivi nikafanya shughuli mbali mbali za kiuchumi kama ilivyo kwa Tanzania? Maana waChina wanakimbilia huku Tz pia, tuwachezeshe nao bahati nasibu?
So mfano naweza pewa walau viekari 30 na kijiji chochote cha huko, nikafanya shughuli za kiuchumi kama ilivyo huku Tz? Na unaonaje waChina wanaokuja huku nao tukawachezesha lottery?Kule Fursa ni nyingi.Maisha ya diaspora ni bora sana kuliko huku.