FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Si ndio tukauliza, kwanini tuache akari 100 za bongo tukabahatishe 100 za USA?Nini ekari ishirini?
Hata mia unaweza kupata.
Mi swala la uwezo wako wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndio tukauliza, kwanini tuache akari 100 za bongo tukabahatishe 100 za USA?Nini ekari ishirini?
Hata mia unaweza kupata.
Mi swala la uwezo wako wewe.
Yajibu tuone hayo maswaliUnauliza maswali ya kipumbavu muda wote.
Hahaa Ntyuka Boy, kwahiyo unatuuzia kuhamia USA? Kama ni fursa why don't you be the first one to benefit from it? Ndiyo maana nilikuuliza wewe umeshahamia huko au umeshawahamishia ndugu zako huko au wenyewe hawataki? Kuwa makini kuuza uza vitu utauza na visivyouzika bruh😀Ninapokuuzia shamba kwenu Ntyuka Ina maana lazima niwe naishi Dodoma?
You should know better
Ilirudishwa miezi michache iliopitaTanzania ilitolewa katika hiyo bahati nasibu mkuu.Hatupo tena
Weee migomba yangu Tukuyu na makatapela nimwachie Nani?Bujibuji nafasi ya kuhamia aliko Bill Lugano ndio hiyo sasa.
Masuala ya George Floyd nani anayataka, yale manguruwe ya USA ni mabaguzi by nature, hata wakisema vinginevyo usiwaamini, polisi wa kule watakuua hata kwa kuoverspeed barabarani tu, kisa ni mweusi..Hahaa Ntyuka Boy, kwahiyo unatuuzia kuhamia USA? Kama ni fursa why don't you be the first one to benefit from it? Ndiyo maana nilikuuliza wewe umeshahamia huko au umeshawahamishia ndugu zako huko au wenyewe hawataki? Kuwa makini kuuza uza vitu utauza na visivyouzika bruh😀
Wapo akina atupakisye Mwakolo wa Mwakaleli utawaachia wasimamieWeee migomba yangu Tukuyu na makatapela nimwachie Nani?
Babe tucheze tushinde basi. Me nmechoka kuishi Buza...Dalali kwenye kuhamia USA duh, wewe umeshahamia huko tayari?
Acha udwanzi, kwani bongo kuna kijiji kimekupa hizo hekari 20?Ndio tuiweke hiyo haja sasa, na je, huko USA kuna kijiji kinaweza kunipa walau ekari 20 tu nikajimwambafy kwa shughuli za kiuchumi kama ilivyo huku Tz?
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Kwahiyo wanaweka shillingi ngapi kwenye hiyo Visa card? Na what if mimi natumia Mastercard? Na kuna ulazima gani kwenda kuchukulia zawadi USA? Naomba ufafanuzi?
Bado yuko Bongo huyo! 🤣 🤣 🤣 🤣Dalali kwenye kuhamia USA duh, wewe umeshahamia huko tayari?
Ndio kimenipa, na wananibembeleza wanipe zingine ili wapate ajiraAcha udwanzi, kwani bongo kuna kijiji kimekupa hizo hekari 20?
Ni janjajanja ya wazungu kuwapa shauku wa-Afrika ya kutaka kwenda kua manual labour kazi ambazo wao zinawashindaSo mfano naweza pewa walau viekari 30 na kijiji chochote cha huko, nikafanya shughuli za kiuchumi kama ilivyo huku Tz? Na unaonaje waChina wanaokuja huku nao tukawachezesha lottery?
Taahira gani ahame Tanzania? Labda kama anaenda kwa mambo ya LGBT, huko ndio mahala pake..Bado yuko Bongo huyo! 🤣 🤣 🤣 🤣
Mkuu hizo kazi zinazowashinda sisi tunazitakaNi janjajanja ya wazungu kuwapa shauku wa-Afrika ya kutaka kwenda kua manual labour kazi ambazo wao zinawashinda
Na ni moja ya sababu black americans wakionyeshwa taarifa za Africa ni magonjwa, vita, njaa, umasikini kupindukia ndio vinaonyeshwa BBC na CNN ili waogope kuja kwenye chimbuko lao, wabaki utumwani daima, nawahurumiaNi janjajanja ya wazungu kuwapa shauku wa-Afrika ya kutaka kwenda kua manual labour kazi ambazo wao zinawashinda
Hata hapa bongo zipo, haziwezi kukushinda, labda uchague kazi. Jiungeni vikundi, mpewe ardhi mjinasue! Mambo ya kwenda kuolewa huko halafu mnarudi hamna mbele wala nyuma hatutakiMkuu hizo kazi zinazowashinda sisi tunazitaka