Sisyphus
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 4,062
- 5,741
Nenda Boss ... nafasi zipo,Mkuu hizo kazi zinazowashinda sisi tunazitaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda Boss ... nafasi zipo,Mkuu hizo kazi zinazowashinda sisi tunazitaka
Nnavoupenda ugali wa bongo, nihame kweli mmh. Labda kutembea for sometimes ila kuhamia kabisa🤔Taahira gani ahame Tanzania? Labda kama anaenda kwa mambo ya LGBT, huko ndio mahala pake..
Cheza mwenyewe na ukishinda tusijuane nenda mwenyewe😂😂 hivi mambo mazuri ya buza kama dagaa na mihogo ya kwetu unataka kuhama kweli?Babe tucheze tushinde basi. Me nmechoka kuishi Buza...
A.k.a makasokela nu lukama mwee sihami bongo land😂Weee migomba yangu Tukuyu na makatapela nimwachie Nani?
Kali mbuke kughu lelo, mweeeA.k.a makasokela nu lukama mwee sihami bongo land😂
Mma ubaki hapa hapa, maisha matamuu😂Kali mbuke kughu lelo, mweee
[emoji18] Babe sasa haya mambo gani. Kule US kuna chimbo zuri la dagaa kama za Buza.Cheza mwenyewe na ukishinda tusijuane nenda mwenyewe[emoji23][emoji23] hivi mambo mazuri ya buza kama dagaa na mihogo ya kwetu unataka kuhama kweli?
Kuna kitu unanitafuta wewe.Hahaa Ntyuka Boy, kwahiyo unatuuzia kuhamia USA? Kama ni fursa why don't you be the first one to benefit from it? Ndiyo maana nilikuuliza wewe umeshahamia huko au umeshawahamishia ndugu zako huko au wenyewe hawataki? Kuwa makini kuuza uza vitu utauza na visivyouzika bruh😀
Sasa hapo nakutafutaje aisee! Usinifokee bana kusema Ntyuka hunitafuti pia??😏Kuna kitu unanitafuta wewe.
Sasa ni kwanini niache ekari 20 za Tz nifuate ekari 20 za kubahatisha?Ndiyo unaweza kupata hizo ekari ukalima mihogo yako.
Ujinga ni kujibu hoja bila hojaNikipata muda nitakurudia nikujibu ujinga wako lakini kwa sasa nakuweka kiporo.
Acha kujifanya mjuaji sana,kama huna interest nayo kaa kimya acha wanaotaka waombe.Kwahiyo kuishi na kufanya kazi USA ni zawadi? Okay, huko naweza angalau nikapata eka 20 nilimelime hata mahindi kibiashara? Upatikanaji ardhi ya ukubwa huo ukoje huko?
Mkuu usimjibu tena.Ndio maana ikaitwa bahati nasibu na maelfu wanacheza