DVI: Kampuni hewa inayotumia jina la Azam Media na kuchota mabilioni ZBC kinyume cha sheria

DVI: Kampuni hewa inayotumia jina la Azam Media na kuchota mabilioni ZBC kinyume cha sheria

Kwa haya Maelezo huyo mtu mnamwonea tu mzizi uko Azam Media huko.
Of course anatumiwa au anashirikiana na Broadcast Manager wa Azam Media, ambaye ndie kamleta nchini. Hata hivyo nae sio Mtanzania, ameona loophole kamleta mfaransa wapige pesa.
 
Tuchunguzie pia mkataba kati ya zbc na azam media kuruhusu azam kutumia jina la zbc2 kama channel yake studio zikiwa hapo uhai production tabata, zikiweka maudhui ya kidini tena upande mmoja same time channel ikitumiwa na azam tv kama mali yao na kupewa idhini ya kurusha soka kama channel ya umma.
 
Tutalaumu watu wa Nje na kuwaita majina yote mabaya lakini tatizo kubwa na la msingi liko kwa sisi watanzania.

Jamii iliyokengeuka na kukosa maadili na uzalendo haiwezi kuwa na viongozi wenye maadili, uadilifu au wazalendo.

Viongozi wetu ndio wanaoleta hao wageni ili kuhakikisha Kodi na tozo zinazokusanywa bila usimamizi na kazi ya kuzifanyia wanazikwapua kadri zinavyokusanywa. Hakuna Cha màana, Tanzania hii laiti tungekuwa na uwezo wa kuishi miaka hata miatano tungeshuhudia mengi Sana Sana ya hovyo mbele ya uongozi wa aina ya wananchi na viongozi tulionao.
 
Makampuni mengi tuu yanafanya kazi kwenye virtual office, kuna majengo kibao kwa hapa Dar ambayo yanatoa huduma hizo mfano ni ESBC Kilwa House, niseme inawezekana ukawa hauna experience na international companies hasa za consulting zinavyofanya kazi

Naona umekurupuka kuleta tuhuma. Je, wapo registered hapa Tanzania?wana comply na sheria zetu?

Naamini kuna mgongano wa kimaslahi kati yako na huyo bwana au huyo muhindi wa Azam...labda utuambie kwanza chanzo cha wewe kufatilia yote haya ni nini?

Kingine kwanini ulimkwepa kwenda kukutana naye huko Azam?
 
Mkuu hii nchi ukipata fursa don't hesitate kupiga pesa maana ndiyo tulipo sasa
Aisee. Halafu watu wa kijijini kwenu wanakusifu mtoto wa fulani ana akili sana. Kumbe loh, jizi la kalamu lilikubuhu.
 
Hii ni vita ya kibiashara, swali je hizo kazi huko ZBC zimenyafika kwa mujibu wa mkataba au hazijafanyika,?

Ila ujuwe Hussein naye ana washkaji zake lazima wale shavu katika ufalme wake.

Dr Mwinyi ni mfanya biashara zaidi pamoja na partners wake
 
Tuchunguzie pia mkataba kati ya zbc na azam media kuruhusu azam kutumia jina la zbc2 kama channel yake studio zikiwa hapo uhai production tabata, zikiweka maudhui ya kidini tena upande mmoja same time channel ikitumiwa na azam tv kama mali yao na kupewa idhini ya kurusha soka kama channel ya umma.
Sawasawa. Nitajitahidi kufanya hivyo. Asante sana kwa tip
 
Tutalaumu watu wa Nje na kuwaita majina yote mabaya lakini tatizo kubwa na la msingi liko kwa sisi watanzania...
Uko sahihi kabisa, hawa wageni watakuwa wanagushangaa na kutudharau pia na kutuona mazoba.

Bila sisi hawawezi kutuibia. Na kwa msingi huu makampuni ya nje mengi yanayokuja huku ni ya wapigaji.

Angalia jinsi Richmond ilivyopewa mkataba mkubwa, kila siku tukawa tunalipa service charge, ilipochunguzwa ikawa haijulikani kokote ila serikali inawalipa pesa na waliyowaleta wanakula maisha tu.
 
Makampuni mengi tuu yanafanya kazi kwenye virtual office, kuna majengo kibao kwa hapa Dar ambayo yanatoa huduma hizo mfano ni ESBC Kilwa House, niseme inawezekana ukawa hauna experience na international companies hasa za consulting zinavyofanya kazi...
Nafikiri hujui ulichoandika? Virtual office kwneye masuala ya supply na vifaa vinavyohitaji uwe na workshop uweze fanya production?

Virtual office bila compliance?

Nafikiri ukisoma utaelewa.
 
Makampuni mengi tuu yanafanya kazi kwenye virtual office, kuna majengo kibao kwa hapa Dar ambayo yanatoa huduma hizo mfano ni ESBC Kilwa House, niseme inawezekana ukawa hauna experience na international companies hasa za consulting zinavyofanya kazi

Naona umekurupuka kuleta tuhuma... je wapo registered hapa Tanzania?wana comply na sheria zetu?

Naamini kuna mgongano wa kimaslahi kati yako na huyo bwana au huyo muhindi wa Azam...labda utuambie kwanza chanzo cha wewe kufatilia yote haya ni nini?

Kingine kwanini ulimkwepa kwenda kukutana naye huko Azam?
Uzalendo ndio chanzo mkuu. Be positive and learn.
 
Uzalendo ndio chanzo mkuu. Be positive and learn.
Hujaonyesha ushahidi wa lolote wa unalosema zaidi ya hizo text za wewe kumpima, ungeweza kwenda extra mile...hapo wewe ndio unaonekana tapeli, kakuambia yupo Tanzania na kakuelekeza pa kumfuata na kakusubiri, kilichokufanya ushindwe kwenda nini?
 
Back
Top Bottom