Zanzibar 2020 DW: Jussa anapendekeza kuundwe Serikali ya Umoja wa Kitaifa Visiwani Zanzibar

Zanzibar 2020 DW: Jussa anapendekeza kuundwe Serikali ya Umoja wa Kitaifa Visiwani Zanzibar

CCM sikilizeni habari vizuri ,mnaweza kudanganyana nyinyi kwa nyinyi,wenyewe kwa wenyewe ,na mkaaminiana ,leo sio aibu wala ajabu kiongozi anaetokana na CCM kuapa kwa jina la Mwenyezi Mungu ilihali anazungumza na kusema uongo.

Kamsikilize tena Jusa.

CCM imewafanya mpaka mapadri na mashehe hawamuogopi Mwenyezi Mungu,wamekuwa wanafiki mchana kweupe.
Naungana na Wewe moja kwa moja ! Mpaka Maaskofu wanaojiita wa kiroho , nao pia wamegeuka hawamuhofu MUNGU tena na sasa wanamuhofu mwanadamu !!! Hatari Sana hiyo !
 
nikiona maneno ya hivi tena kutoka kwa wanasiasa wa upinzani nachoka kabisaa, sijui kama aliziona maiti za wale vijana wa Zanzibar waliouwa kikatili kabisa tare 27, 28 na 29 Oktoba
Wacha waunde serikali ya kitaifa angalau waweze kuwatibu na kufidia majerui na waliokufa na kuachiwa huru walio kamatwa .vinginevyo ni sawa na kuachia nyani shambani.

sana sana ukipambania kesi na CCM hii ni mpaka üchaguzi ujao kesi hiko mahakamani ,bora wajiunge wapambanie katiba mpya tena ileile ya ccm iletwe ipigiwe kura angalau ina tume huru na inapunguza madaraka ya raisi ,
 
Naungana na Wewe moja kwa moja ! Mpaka Maaskofu wanaojiita wa kiroho , nao pia wamegeuka hawamuhofu MUNGU tena na sasa wanamuhofu mwanadamu !!! Hatari Sana hiyo !
Nyakati za mwisho kabisa hizi! Ni nyakati za hatari .
 
Mimi naona wajiunge TU kuunda SERIKALI ya umoja wa kitaifa.Maana hata wakisusa,wenzako CCM wanaendelea Kama ilivyokuwa kwenye hii awamu ya pili ya Dr.Shein(2015-2020).Ni Bora wakaenda hivo hivo Hadi Milele ijayo itakapokuja kupatikana time huru ya Uchaguzi kwenye vizazi vijavyo,PANAPO MAJALIWA.Tukisusa haisaidii.
Sawa kabisa. Tena wapambanie katiba mpya tena ile iliopitishwa na CCM maana iko kwenye kabati rahisi tu itolewe ipigiwe kura. Ina tume huru na inapunguza madaraka ya Rais pia.
 
Una kumbukumbu nzuri sana. Ungeongezea na ya Mapalala na Hamad Rashid Mohammed alipoutaka Ukatibu Mkuu wa Maalim Seif wakiwa wote CUF!
Hivi kweli Jussa amesema na kushauri haya? Kama kweli kasema basi leo ndio mie nahakikisha kweli wanasiasa woooooote wa Tanzania wanaweka mahitaji yao mbele na wanawatumia wananchi kufikia malengo yao tu!..
 
Serikali ya umoja wa Kitaifa na walioiba uchaguzi?

Kama wapinzani huko Zanzibar wana akili za kuku namna hii basi CCM iendelee kuwatandika tu maana hawana akili!

Exactly, kutaka kushirikiana na wauaji ni ujuha kama ujuha mwingine, na hauvumiliki.
 
Wacha waunde serikali ya kitaifa angalau waweze kuwatibu na kufidia majerui na waliokufa na kuachiwa huru walio kamatwa .vinginevyo ni sawa na kuachia nyani shambani .sana sana ukipambania kesi na ccm hii ni mpaka üchaguzi ujao kesi hiko mahakamani ,bora wajiunge wapambanie katiba mpya tena ileile ya ccm iletwe ipigiwe kura angalau ina tume huru na inapunguza madaraka ya raisi ,
Hayo yote unayoyasema CCM hawataki hata ya kuyasikia.

Labda kama unawashauri waingie serikalini wakale washibishe matumbo yao tu basi
 
Kwanini hamuendi mahakamani kutafuta haki Kama mmeibiwa...mkiambiwa pelekeni ushahidi hata wa karatasi moja hamna...Sasa mnacholilia nini
Ni kwasababu hawana imani na mahakama.

CCM imeharibu kabisa mifumo yote ya utawala nchi hii.

Vyombo vya dola havina uadilifu. mahakama hazitoi haki. bunge haliisimamii serikali.
 
Mjumbe wa kamati kuu ya chama cha ACT Wazalendo Ismail Jussa Ladhu anaeuguza majeraha baada ya kupigwa walipokuwa wanafanya maandamano Visiwani Zanzibar katika Maandamano hayo ya tarehe 29 mwezi wa Oktoba yalikuwa ya amani ila maafisa wa usalama waliwavamia na kuwajeruhi baadhi ya viongozi wa upinzani...
Nilijua Jussa yule aliefuta matokeo ya mwaka ule.
 
#Ni yeye Jussa Ladhu
#Ni yeye Zito Kabwe.
ACT Zanzibar wanajambolao la serikali ya umoja wakitaifa.
Aliekwambia ni nani, hayo ni maoni ya tu ya Jussa, chama ni wanachama, Maalim Sharrif, NARUDIA Sharrif hawezi kukubali, labda Kama wamsiki tu, angekuepo Mwalim angetoa data base ya Mh. Seif
 
Mjumbe wa kamati kuu ya chama cha ACT Wazalendo Ismail Jussa Ladhu anaeuguza majeraha baada ya kupigwa walipokuwa wanafanya maandamano Visiwani Zanzibar katika Maandamano hayo ya tarehe 29 mwezi wa Oktoba yalikuwa ya amani ila maafisa wa usalama waliwavamia na kuwajeruhi baadhi ya viongozi wa upinzani...
Ni hatari sana.
 
Sina uhakika kama ndivyo alivosema/maanisha. Ila Walivosusa 2016 kurudia uchaguzi wamejitia jiti wenyewe. Wakati wamo serikalini kipindi kile walifanikiwa kuwabana CCM kisawasawa na mipango yao hadi Jecha aka Jecharize uchaguzi.

Wangekuwemo kwenye ile serikali tungeona uchaguzi umekuwa hamidified lakini watu wasingepigwa na kuuliwa. Sasa ivi too late... wapambane kutafuta haki za waliouliwa na 2025 watulie makwao km wameshindwa.
 
Mjumbe wa kamati kuu ya chama cha ACT Wazalendo Ismail Jussa Ladhu anaeuguza majeraha baada ya kupigwa walipokuwa wanafanya maandamano Visiwani Zanzibar katika Maandamano hayo ya tarehe 29 mwezi wa Oktoba yalikuwa ya amani ila maafisa wa usalama waliwavamia na kuwajeruhi baadhi ya viongozi wa upinzani..

weka hayo mazungumzo , usimpakazie Jussa
 
Alie kwambia ni nani, hayo ni maoni ya tu ya jussa ,chama ni wanachama,mahalm shalif,NARUDIA shalif hawezi kukubali, labda Kama wamsiki tu ,angekuepo mwalim ,angetoa data base ya mh seif
Alshaojiwa bwashee,na akasema wazi yeye hana maamuzi mpaka uongozi wa chama ukubaliane.
 
Back
Top Bottom