4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Alafu mie sio bwashee, alafu mwenyekiti wa chama husika alishaweka msimamo wazi, niseme Mimi maridhiano nayapenda Sana ila yazingatie yafuatayoAlshaojiwa bwashee,na akasema wazi yeye hana maamuzi mpaka uongozi wa chama ukubaliane.
Kurudia uchaguzi
Tume huru
Katiba mpya