Zanzibar 2020 DW: Jussa anapendekeza kuundwe Serikali ya Umoja wa Kitaifa Visiwani Zanzibar

Zanzibar 2020 DW: Jussa anapendekeza kuundwe Serikali ya Umoja wa Kitaifa Visiwani Zanzibar

Waende mahakamani? You guy, you must be crazy 😦😦
Ok kumbe mnajua haiwezekani..Sasa kwa Nini mnapiga mayowe huku..kwani huku ndio Kuna solution ya Mambo yenu..sisi tumesharudi kwenye shughuli zetu..tunataka kwenda uchumi wa juu..siasa zimefungwa mpaka 2025. Kwaheri
 
Ok kumbe mnajua haiwezekani..Sasa kwa Nini mnapiga mayowe huku..kwani huku ndio Kuna solution ya Mambo yenu..sisi tumesharudi kwenye shughuli zetu..tunataka kwenda uchumi wa juu..siasa zimefungwa mpaka 2025. Kwaheri
Hakuna nchi iliyowahi kwenda uchumi wa juu kwa kutembeza bakuli.
 
Mahakama hizi za CCM ambazo Jaji mstaafu anagombea urais kupitia CCM?

Urais wa Zanzibar na Muungano unaweza kuhojiwa kwenye mahakama gani?
Kama wapinzani wameibiwa kura ina maana wabunge na madiwani pia wameibiwa

Tena madiwani ndio rahisi kugundua kama wameibiwa kura wapeni hivyo vielelezo vyenu waende mahakamani

Ila cha kushangaza kila mnapo ongelea wizi wa kula mnamuongelea Lisu vipi wabunge na madiwani wenu wao hawakuibiwa kura?
 
Kama wapinzani wameibiwa kura ina maana wabunge na madiwani pia wameibiwa

Tena madiwani ndio rahisi kugundua kama wameibiwa kura wapeni hivyo vielelezo vyenu waende mahakamani

Ila cha kushangaza kila mnapo ongelea wizi wa kula mnamuongelea Lisu vipi wabunge na madiwani wenu wao hawakuibiwa kura?

Kwenda mahakama hii ya awamu hii ni kupoteza muda. Jiwe ameiweka mfukoni
 
Hakuna nchi iliyowahi kwenda uchumi wa juu kwa kutembeza bakuli.
We sijui mshamba wa wapi jomba...Marekani hapo ilipo inadaiwa kiasi gani na China na Japan...Kama kuona huoni ni kipofu hata kusikia husikii..Hilo sio bakuli au unadhani ni sinia au kikombe..kweli umerogwa wewe
 
We sijui mshamba wa wapi jomba...Marekani hapo ilipo inadaiwa kiasi gani na China na Japan...Kama kuona huoni ni kipofu hata kusikia husikii..Hilo sio bakuli au unadhani ni sinia au kikombe..kweli umerogwa wewe
Hizo ni porojo tu za wavuta bangi, mzungu ndio mwenye pesa hao wengine ni waigizaji tu.

Wewe unafahamu nchi ya pili kudaiwa ni ipi. Hao wote unaowasemea pesa zao wenyewe hata kutunza hawawezi, wote wanatunzia Marekani.
 
Hizo ni porojo tu za wavuta bangi, mzungu ndio mwenye pesa hao wengine ni waigizaji tu.

Wewe unafahamu nchi ya pili kudaiwa ni ipi. Hao wote unaowasemea pesa zao wenyewe hata kutunza hawawezi, wote wanatunzia Marekani.
Daaa naona ubishi Ni jadi yako..nilidhani tunaelimishana..Jambo usilolijua so Bora ukaomba ueleweshwe jomba
 
Kumbe mnaanzisha mauaji kisha msingizie serikali inaua..... MUNGU HAMFICHI MNAFIKI

TANZANIA YETU SOTE
 

Attachments

  • EC625414-064E-4207-849B-31E96AD43E02.jpeg
    EC625414-064E-4207-849B-31E96AD43E02.jpeg
    71.1 KB · Views: 1
  • 44140126-DDE8-4D57-93DB-451EED8B3D7A.jpeg
    44140126-DDE8-4D57-93DB-451EED8B3D7A.jpeg
    71.6 KB · Views: 1
  • FA7667FA-1F49-486E-96F6-F32CB5A08D97.jpeg
    FA7667FA-1F49-486E-96F6-F32CB5A08D97.jpeg
    67.1 KB · Views: 1
  • 57BB19C6-A915-4E91-8AD5-022095998212.jpeg
    57BB19C6-A915-4E91-8AD5-022095998212.jpeg
    70.7 KB · Views: 1
  • F1FB2079-C34C-45C2-B4F9-073F966A1BFD.jpeg
    F1FB2079-C34C-45C2-B4F9-073F966A1BFD.jpeg
    72.3 KB · Views: 1
  • 9DA59E64-F0B4-4C80-AC9C-21123E5A99D8.jpeg
    9DA59E64-F0B4-4C80-AC9C-21123E5A99D8.jpeg
    67.2 KB · Views: 1
  • 559CB113-F12F-4FF7-B61D-9F90B0E194E1.jpeg
    559CB113-F12F-4FF7-B61D-9F90B0E194E1.jpeg
    67.6 KB · Views: 1
  • 6554D4B6-DA64-46EE-928D-8B8CA7C12CCC.jpeg
    6554D4B6-DA64-46EE-928D-8B8CA7C12CCC.jpeg
    68.6 KB · Views: 1
M Mungu akupe wepesi mheshimiwa Jussa ili upone kwa haraka. M Mungu ndio mpaji na anawaona madhalimu wote, Naye Bwana Mola atawahukumu.
 
Mjumbe wa kamati kuu ya chama cha ACT Wazalendo Ismail Jussa Ladhu anaeuguza majeraha baada ya kupigwa walipokuwa wanafanya maandamano Visiwani Zanzibar katika Maandamano hayo ya tarehe 29 mwezi wa Oktoba yalikuwa ya amani ila maafisa wa usalama waliwavamia na kuwajeruhi baadhi ya viongozi wa upinzani.

Mwandishi wa DW, Thelma Mwadzaya amezungumza Kinagaubaga na Jussa kuhusu siasa za visiwani Zanzibar na Jussa anapendekeza kuundwe serikali ya umoja wa kitaifa visiwani Zanzibar.

My Take
Kuunda serikali na CCM hii hii au?

Update:
Mahojiano ya Jussa na DW (Sauti)
View attachment 1624824
"Wavifute vyama vyote wabaki peke yao maana tumerudi nyuma kuliko enzi za chama kimoja.."
Demokrasia ishashindikana... ni chuki inatamalaki
 
Aisee! alitoa Wazo la Kuundwa kwa SUK amesahauliwa kwenye Teuzi.
 
Back
Top Bottom