wazee wakishapiga hela hizo 10% , 0.005% wanatumia kuwatuma hao jamaa kuja kujaribu kuzima maada kwa kuandika ujinga wao , nchi inagawanwa bila huruma.Kwa hiyo mifumo waliyojenga walikua hawajui kazi zao? Au unataka sema hakuna mfumo ulitengenezwa na eGA hapa nchini?
bado junior sana serikalini kijana na itanichukua miezi kukuelekeza.Hela inapigwaje? Maana mkataba ukitolewa si pesa inaingia NMB ambapo 40% ni hisa za serikali, bado 30% ni kodi ya Corporate sasa serikali inahujumiwaje au pesa zinapigwa vipi hapo?
Jenga hoja vizuri ueleweke
kijana una uelewa mdogo sana wa mausala ya usalama wa nchi, majasusi wa kigeni hutafuta loope holes za kuingiza watu wao kwenye maeneo nyeti ya serikali , yaani nchi inafanya vetting kwenye taasisi kama e-GA ili isihujumiwe then kuna mtu mwenye akili za kutafuta pesa za kampeni ,anahongwa ili mifumo ambayo ina genesis ya uraia wa nchi itengenezwe NMB?Inakua upigaji kama kazi haiendani na bei mnayopewa ila eti kulipa kampuni ikuundie mfumo inageukaje ufisadi?
Kuna mentality za ujamaa zinatutesa sana kwamba kuiba kampuni binafsi kazi ni ufisadi? Hamhoji ufanisi, ubora n.k as if kazi wakipewa taasisi ya serikali basi hawatoiba? e-Ga huko mbona ufanisi upo chini sana hata CAG alisema.
Tuache mawazo ya kizamani uchumi wa sasa ni private sector driven.
Siasa za kuiua e-GA zimeanza muda na ndio maana hata hio audit report uliyo quote ilikua part of the big plan ,ili wanasiasa waje waseme e-GA hawana uwezo .View attachment 2884753
Kumbe hata control hawana hao eGa!! very incompetent ila bado watu wanakosoa NMB kupewa kazi.
Ni sawa na sasa ambapo halmashauri zimeshindwa kutoa mikopo ile ya asilimia 10 ila siku NMB wakipewa hiyo kazi kusimamia mikopo utashangaa mapovu kibao.
Serikali inashare ya 30% siyo 40%Wabongo tupunguze ujuaji, kwamba NMB ihujumu serikali!! wakati serikali inamiliki 40% ya benki hiyo?
Tuendelee kumshangilia mama kuwa anaupiga kwa weledi....Miezi takribani sita imepita niliandika juu ya njama za viongozi waandamizi wa serikali kuihujumu mamlaka ya serikal mtandao(e-GA). Mipango ya e-GA kuzuiwa kufanya majukumu ya uundaji wa mifumo ya serikali ili waandamizi watafute kampuni binafsi kufanya hayo imeanza kufanikiwa.
Leo Wizara ya TEHAMA imeingia makubaliano na NMB ili NMB iwe inalipwa na serikali kutengeneza mifumo ya TEHAMA ya serikali.
Kwa mujibu wa MOU iliyo sainiwa leo , NMB atatoa wataalamu wa TEHAMA(Software developers) kutengeneza mfumo utakao replace NIDA na RITA ,kama mnavyofahamu ,serikali inakuja na jamii number ,namba ambayo mtoto akizaliwa atakuwa nayo na atakua nayo ,initiative nzuri sana lakiniiiii, kulikua na ulazima gani wa mradi nyeti kama huu kupewa taasisi binafsi? wafanyakazi wa NMB wana proper vetting kuanza kushika mifumo ya siri namna hii?
Achana na jamii bima, ESB ambayo tayari ipo e-GA na inafanya kazi, Wizara ya TEHAMA imeamuru NMB kupewa tender kupitia MOU hio wao ndio watengeneze ESB ya serikali, yaani mawasiliano ya mifumo yote ya serikali ananyang'anywa e-GA na anapewa NMB why?
Hivi nchi hii tuna mawaziri wanaofikiria kweli? Haya ndio mambo ya waziri alikuja na kufuta physics akasema iwe physics with chemistry, waziri huyo wa zamani alifuta masomo ya biashara na kilimo pia kabla ya serikali ku reverse maamuzi hayo, lakini kama mnakumbuka kuna watanzania walifutiwa masomo hayo.
Waziri wa TEHAMA unaua e-GA kwa maslahi ya nani?
Waziri wa TEHAMA unaua e-GA kwa kumkomoa nani?
View attachment 2883959
Ukitaka tusiwe wajuaji anza wewe kupunguza ujuaji...Wabongo tupunguze ujuaji, kwamba NMB ihujumu serikali!! wakati serikali inamiliki 40% ya benki hiyo?
Nape nafikiri siku zake hapo Wizarani ziko mwishoni. Mwambieni kuwa hata TZ hakuna Benki hata moja yenye software programmers wazuri na uzoefu zaidi ya E-GA kwanza Benki zote hapa nchini zinatumia Core Banking System zilizotengenezwa nje ya nchi hivyo hawana uzoefu wowote kwa kutengeneza software kama vijana wa E-GA kuwapa NMB kazi hiyo ni sawa na kuwapa watu wa nje ya nchi kutengeneza software hizo. Hivi ni lini tutawawezesha vijana wetu waweze kuwa wabunifu katika nchi yetu kama tutakuwa na akili za kina Nape!!?Yaani NMB wanasema wenyewe kabisa ,wameruhusiwa na Nape kuunda ESB
kwanza Serikalini kuna ESB tayari ipo e-GA
BOT kwa mifumo ya fedha ana TIPS(Tanzania instant payment system) ipo na inafanya kazi ,banks na mobile monye wanapitia hapo
sasa unataka kutengeneza exchange system nyingine ya kazi gani?
View attachment 2885201
Nitajie mfumo wa maana unaoujua ww??Sasa huyo GEPS unauona ni mfumo wa maana sana? Unahitaji exposure sana.
Mfumo kama 3 year project ya watoto wa chuo
Damage wanamfanyia hawa akina Nape ,wanamgombanisha mama ,wanaingia mikataba ya honyo na NMB wanaiuza serikali kimya kimya ili mama Samia aonekane wa hovyoTuendelee kumshangilia mama kuwa anaupiga kwa weledi....
Naam mpaka anamaliza muda wake madarakani tutakuwa na damage kubwa ambayo itatulazimu kukaa chini tujipange upya kisha atatokea wa kuharibu tena.... Serikali hasa mifumo inafurahia hii hali kwa sababu ni wanufaika pia
Nape huenda ameshajua maisha yake ya uwaziri yako ukingoni ,ameamua kutafuna bila aibuNape nafikiri siku zake hapo Wizarani ziko mwishoni. Mwambieni kuwa hata TZ hakuna Benki hata moja yenye software programmers wazuri na uzoefu zaidi ya E-GA kwanza Benki zote hapa nchini zinatumia Core Banking System zilizotengenezwa nje ya nchi hivyo hawana uzoefu wowote kwa kutengeneza software kama vijana wa E-GA kuwapa NMB kazi hiyo ni sawa na kuwapa watu wa nje ya nchi kutengeneza software hizo. Hivi ni lini tutawawezesha vijana wetu waweze kuwa wabunifu katika nchi yetu kama tutakuwa na akili za kina Nape!!?
Mkuu unahangaika na chawa hawajui IT wala National Security at all hivyo unapoteza muda wako tu lakini najua system za Nida na Immigration haziwezi kuwa generated na system za Benki at all.unaijua ERMS?
huenda unasema hayo kwa kua huna uzoefu wa mifumo ya serikalini
mfumo wa ERMS umetengenezwa na e-GA 100% ambao ni ERP pure.
Procurement system imetengenezwa na e-GA , single window ya bandari imetengenezwa na e-GA etc na etc.
Leo kuna watu huko TRA wamefanya kama hawa wizara ya TEHAMA.
TRA wameleta wakorea kufanya mfumo ambao upo tayari ,yaani nchi hii watu wanagawana keki bila aibu .
wakishagawana wanawatuma ninyi kuja kujamba huku
Kwani kina Nape wamejiteua nafasi hizo?Damage wanamfanyia hawa akina Nape ,wanamgombanisha mama ,wanaingia mikataba ya honyo na NMB wanaiuza serikali kimya kimya ili mama Samia aonekane wa hovyo
Kampuni zote ambazo serikali ana maslahi nazo au hisa nyingi basi lazima technical part awe na watu hawa kutoka Financial Intelligence Unit/FCC hata pale Vodacom wapo kibao tu na wanawekwa kwa directive kutoka TCRA, BOT etc depending na sekta. Hata ExxonMobil tu ilikua inaweka wafanyakazi kutoka CIA na huo ni mtindo dunia nzima hata huko Gazprom au CCC ni same.mwanahisa tokea lini akapewa code,configuration mimi na zungumzia wafanyakazi wa nje wanaofanya kazi NMB, wenye access na mifumo na network ya NMB ambao wanafanya kazi kwa mikataba (Technical Part)......
Unajua sikuelewi, umesema NMB tutauza siri za nchi ilihali e-Ga ndio hawajawahi kuzifanyia "vulnerability risk assesment ama Penetrational tests" mifumo yake who is more prone to cybersecurity attacks kati ya hao wawili?Hivi source kuu ya Cybersecurity attack unazijua ?
Hauna exposure, mbona US inatumia Microsoft kupitia Azure system..... inatunza data zao kwa cloud technology ingawa ni kampuni binafsi iliyojaa wageniVitu vingine ukikaa kimya hupungukiwi kitu, ila duniani halipo taifa linalo wapa watu wasio waamini mifumo yao na network yao halipo taifa
Kumbe hata kampuni ya serikali inakuq attacked? If that's the case why tena mnapinga isifanywe kazi na private sector if at all huko serikalini hizo ransomware attacks zipo pia?CIA,FBI, MOSSAD nk washapigwa, pamoja wamewaajili watu wanao wajua na walio wafanyia vetting.
Mbona US inatumia Microsoft iliyojaa workforce from around the globe including Chinese!!?Rushwa hupofusha ,unaanza kuuliza kazi za e-GA leo?
unaona ni sawa namna mifumo ya serikali yenye siri za nchi kuanza kugawiwa kwa sekta binafsi tena bank ,bora ingekua kampuni ambayo kazi yake ni kutengeneza mifumo na sio bank ambao kazi yao ya msingi sio utengenezaji wa mifumo.
Ujue ninaposoma namna unavyo justfy NMB kupewa tender napata hasira sana,rushwa hupofusha
Leo NMB kesho CRDB akipewa reliability ya usiri inaishia wapi?
watu mna comment kama mmekatwa vichwa