e-GA inahujumiwa

e-GA inahujumiwa

kwan mkuu we si unafanya kazi ambayo hujasomea chuo pia 😂
now this is the thinking inayohangaika hapa JF kweli?
kwa nini ufanye kazi ambazyo hujasomea , how do u manage it?
yaani unataka kuaminisha watu kuwa NMB sio software dev company lakini ni sawa kupewa kazi ya kutengeneza mifumo?
Daktari apewe kazi ya kukusanya mapato?
very narrow thinking capacity
 
cha muhimu mwenye uwezo apewe hata kama ni nje ya nchi, yaani mpaka leo matokeo ya form 4 yakitoka ega wanazidiwa 😂 😂 😂
Nani amekuambia mfumo wa Matokeo wa NECTA ni wa e-GA?
hii ndio shida yakudandia vitu
 
kwahio unaona nafanya comedy apa, ebu zitaje izo enterprise za microsoft! usianze mambo ya microsoft word sjui azure, taja sehem ambayo microsoft bila uwepo wao kuna pengo
wewe kiongozi nimegundua unachojua kwenye IT ni siasa na microsoft word pekee ,na kwa mbali excel .
Kajifunze kwanza then urudi tubishane
 
Selcom ilikuaje mkuu
NMB anaingia mtego mbaya sana, amesign deal na shetani, waziri akipinduka aliyepo ,MOU inasitishwa na watakula hasara kubwa sana wewe waache waendelee .Maxcom alikufa kifo kama atakachokufa NMB
 
Huna unacho kijua kaka mimi nipo kwenye field hii wewe endelea na oya oya zako.

Ndio maana nilikuambia nipinge kwa hoja za kisecurity upande wa IT, ila naona unajaza chai.
Nilikujibu based on his your level
 
Nitacommeny kitaalamu maana ni tasnia yangu.
Kwa Tanzania IT wa mashirika binafsi na wa serikalini ni mbingu na ardhi.
IT wanatengeneza system mbovu kuanzia user interface, nzito kuload na withoutdated technology.
Nitajie mfumo wowote wa serikali usiointegrate na private sector ulio stable.
ARIS
 
Nitacommeny kitaalamu maana ni tasnia yangu.
Kwa Tanzania IT wa mashirika binafsi na wa serikalini ni mbingu na ardhi.
IT wanatengeneza system mbovu kuanzia user interface, nzito kuload na withoutdated technology.
Nitajie mfumo wowote wa serikali usiointegrate na private sector ulio stable.

Si taasisi zote, tembele systems nying currently wame develop vizur sana. Narudia si taasisi zote zinafanya fanya vibaya kwenye software
 
bahati mbaya sana hujataka kuangalia e-GA wanachokifanya , wana produce best software na nina uhakika una image ya mifumo ya serikalini miaka 10 iliyopita huna experience latest ya mifumo ya serikali

Kwenye hili nakuunga mkono. Most if not all of mashirika ya serikali yame improve sana kwenye hiyo sector. Mashirika Mengi yako vizuri sikuizi unlike 2009 na kurudi nyuma
 
wewe kiongozi nimegundua unachojua kwenye IT ni siasa na microsoft word pekee ,na kwa mbali excel .
Kajifunze kwanza then urudi tubishane
1706520682480.png

hawa wanafanya microsoft word
 
now this is the thinking inayohangaika hapa JF kweli?
kwa nini ufanye kazi ambazyo hujasomea , how do u manage it?
yaani unataka kuaminisha watu kuwa NMB sio software dev company lakini ni sawa kupewa kazi ya kutengeneza mifumo?
Daktari apewe kazi ya kukusanya mapato?
very narrow thinking capacity

ivi hao NMB ni wageni kiasi icho kwenye kuunda mifumo mpaka imekua mada kubwa?
 
Nani amekuambia mfumo wa Matokeo wa NECTA ni wa e-GA?
hii ndio shida yakudandia vitu

alafu we jamaa kama huijui EGA kaa kimya! mm nshakua ndan mule na ndo nakwambia sasa EGA ndo kampuni ya hovyo kuwahi kutokea Afrika
 
Back
Top Bottom