EA Sports vs Konami Video Games

Mallata Jr.

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2014
Posts
461
Reaction score
392


Najua wengi wetu tumecheza sana video games na bado wengine tunaendelea kucheza video games. Katika kucheza kwako games umewahi kucheza game zilizotengenezwa na kampuni ya EA SPORTS au KONAMI?. Maana haya makampuni yametengeneza games nyingi sana kama vile;

-FIFA 98
-PES 2011
-FIFA STREET 2003
-PES 2010
-NBA 2010
-NBA 2009
-FIFA 2015
-PES 2015
-TIGER WOOD TGA TOURS
-SILENT HILL
-METAL GEAR
-ROAD FIGHTER
-NBA 2015
-NBA STREET SHOWDOWN
-HARRY POTTER
-FIGHT NIGHT ROUND
-NHL HOCKEY
-BATMAN RETURN
-FIFA STREET
-OKAMI KAKUSHI etc.

sasa basi ebu tuelezane ni kampuni gani ambayo inatengeneza games nzuri kuliko nyenzie kati ya hizi mbili?. Maana hivi karibuni mzigo wa FIFA 2015 na PES 2015 uko njiani kutoka ila kwa sasa kuna demo. Je, tutegemee mabadiliko makubwa au?. Kazi kwenu wadau wa video games
 
KONAMI wanatengeneza game nzuri tangu mwanzo ila EA SPORTS amekuja kubadilika kwenye FIFA 14.. mwanzo EA walikua wanakosea uhalisia wa sura ya mchezaji na tatizo hili lipo hadi kwenye PC games zao... lakini kwa popularity EA ipo juu wameanza kitambo na PC games.. game nzuri ya EA kabla ya FIFA 14 ilikua ni FIFA12 na ile ya world cup 2002.. ila nategemea uprising ya EA kwenye FIFA 15.. still KONAMI ni wazuri

ukizungumzia quality EA wako vizuri KONAMI anawazidi ujanja kwenye mpira tu... the best game from EA kwangu ni METAL GEAR,, MEDAL OF HONOR, NEED FOR SPEED most wanted,
 

NEED FOR SPEED most wanted ni shida mkuu
 
Kwa kweli Ea sport huwa nacheza game za mission tu ila mpira huwa napendelea kucheza winning eleven ya 2005 iko na uhalisia ever kwa ps 2
ila ps 4 ni Ea sport tu
 
Kwa kweli Ea sport huwa nacheza game za mission tu ila mpira huwa napendelea kucheza winning eleven ya 2005 iko na uhalisia ever kwa ps 2
ila ps 4 ni Ea sport tu

kwa upande wa PS2 EA SPORT (FIFA) hamna kitu ila KONAMI (PES) bhana ndo mpango mzima. Na misheni huwa nacheza kidogo ila sijajua ile game ya MID NIGHT CAR RACING ametengeneza nani.
 
kwa upande wa PS2 EA SPORT (FIFA) hamna kitu ila KONAMI (PES) bhana ndo mpango mzima. Na misheni huwa nacheza kidogo ila sijajua ile game ya MID NIGHT CAR RACING ametengeneza nani.

unamaanisha ile MIDNIGHT CLUB RACING ya PS 2??
 
kuna hawa jamaa wa IO interactive wanatengenez game kali kama series za hitman(agent 47) hiz game ni balaa!
 
kuna hawa jamaa wa IO interactive wanatengenez game kali kama series za hitman(agent 47) hiz game ni balaa!

pia mchango wa eidos na square box katika publishing unafanya game iwe kali... by the way umepata kuiona hitman go??
 
pia mchango wa eidos na square box katika publishing unafanya game iwe kali... by the way umepata kuiona hitman go??

mkuu ebu nipe vionjo vya hitman maana huwa naisikia tu na kuna jamaa yangu anayo yaani kama kesho niifungie safari yaan
 
pia mchango wa eidos na square box katika publishing unafanya game iwe kali... by the way umepata kuiona hitman go??

mkuu hiyo bado!mi nmecheza code name47,hitman 2:silent assassin.natafuta blood money na contract then absolution hii ndo nna hamu nayo sana!
 
Kwa anaye uza cd za ps3 nicheki 0655250080
 
mkuu hiyo bado!mi nmecheza code name47,hitman 2:silent assassin.natafuta blood money na contract then absolution hii ndo nna hamu nayo sana!

Mkuu inaonekana mission ndo mpango mzima sema mimi huwa napata tabu kukalili cheat za hizo games za mission. Ndo maana naamua kucheza MPIRA na BASKETBALL kwa mbali huwa najaribu ile GOD OF WAR
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…