Earphone nzuri ya 5,000 mpaka 10,000 mwisho isizidi hapo

Earphone nzuri ya 5,000 mpaka 10,000 mwisho isizidi hapo

Nyamwage

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2020
Posts
712
Reaction score
1,748
Habari

Earphone za buku mbili mbili na za buku jero zimenichosha sababu hazina maisha marefu wiki mbili tu zinaanza wenge sasa nataka niji upgrade nipeni jina la earphone nzuri ya 5,000 mpaka 10,000 inayo chana mawimbi ya music vizuri +strong base maana kifaa changu kina feature ya DTS sound sizitaki hizi za wireless maana zimekaa kike kike
 
Natumiaga za Ofia. Zina sauti na bass nzuri sana wala haziumizi masikio. 7k mpaka 10k kwingine
IMG_6104.jpg
 
Habari

Earphone za buku mbili mbili na za buku jero zimenichosha sababu hazina maisha marefu wiki mbili tu zinaanza wenge sasa nataka niji upgrade nipeni jina la earphone nzuri ya 5,000 mpaka 10,000 inayo chana mawimbi ya music vizuri +strong base maana kifaa changu kina feature ya DTS sound sizitaki hizi za wireless maana zimekaa kike kike
Tafuta Brand inaitwa Oraimo hutojutia.
 
Chukua oraimo wanajitahidi sana kwenye ubora wa products zao. Hata charger zao pia ni za uhakika na ni affordable. Earphones za oraimo unapata kuanzia Tsh 5000 - 8000 isizidi hapo kama uko Dar. Makumbusho pale jamaa yangu aliwahi pata kwa 5000 akachukua mbili. Ila ukiuziwa 7000 pia bado ni bei fair
 
Habari

Earphone za buku mbili mbili na za buku jero zimenichosha sababu hazina maisha marefu wiki mbili tu zinaanza wenge sasa nataka niji upgrade nipeni jina la earphone nzuri ya 5,000 mpaka 10,000 inayo chana mawimbi ya music vizuri +strong base maana kifaa changu kina feature ya DTS sound sizitaki hizi za wireless maana zimekaa kike kike
Oraimo hutajilaumu
 
Back
Top Bottom