ChawaWaMama
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,765
- 3,277
Pole, zipo nzuri sana mpaka mil moja, mi natumia hizo yaani ni bomba sana. Yaani hata kama nipo kwenye makelele wala sisikii kabisaHabari
Earphone za buku mbili mbili na za buku jero zimenichosha sababu hazina maisha marefu wiki mbili tu zinaanza wenge sasa nataka niji upgrade nipeni jina la earphone nzuri ya 5,000 mpaka 10,000 inayo chana mawimbi ya music vizuri +strong base maana kifaa changu kina feature ya DTS sound sizitaki hizi za wireless maana zimekaa kike kike