Jamani....mbona wengine tunafurahia mziki fresh tu??? Au zetu ni special....🤔Dah za buku 2. Ndo maana watu vichwa vinaenda kasi..... Kwa joto la dar na earphone za buku 2 unatafuta kuiskia mizimu masikioni na kichwa kuuma
Mhh kichwa kinauma balaa nikiwekaga hizo sikioniJamani....mbona wengine tunafurahia mziki fresh tu??? Au zetu ni special....🤔
Tafuta Brand inaitwa Oraimo hutojutia.Habari
Earphone za buku mbili mbili na za buku jero zimenichosha sababu hazina maisha marefu wiki mbili tu zinaanza wenge sasa nataka niji upgrade nipeni jina la earphone nzuri ya 5,000 mpaka 10,000 inayo chana mawimbi ya music vizuri +strong base maana kifaa changu kina feature ya DTS sound sizitaki hizi za wireless maana zimekaa kike kike
Umenikumbusha OFIA nimezitumia sana shule hizo na hiyo cap yake inayoifunika nzimaNatumiaga za Ofia. Zina sauti na bass nzuri sana wala haziumizi masikio. 7k mpaka 10k kwingine View attachment 2554248
Hiz mm huwa hazikai sikionTafut hizo utanishukuru kwa muda wakoView attachment 2890771
Toa address sema nmepewa direction na nani ili awe comfortableMpigie huyu dogo 0658355822 yuko k koo au kanunue za oraimo za waya wanauza buku 3... bei ya kariakoo... utanikumbuka kaka....
Mpaka msanii wa ngoma unayosikiliza anaanza kuchokaDah za buku 2. Ndo maana watu vichwa vinaenda kasi..... Kwa joto la dar na earphone za buku 2 unatafuta kuiskia mizimu masikioni na kichwa kuuma
Oraimo hutajilaumuHabari
Earphone za buku mbili mbili na za buku jero zimenichosha sababu hazina maisha marefu wiki mbili tu zinaanza wenge sasa nataka niji upgrade nipeni jina la earphone nzuri ya 5,000 mpaka 10,000 inayo chana mawimbi ya music vizuri +strong base maana kifaa changu kina feature ya DTS sound sizitaki hizi za wireless maana zimekaa kike kike