East Africa Federation na Hatma ya Tanzania

East Africa Federation na Hatma ya Tanzania

Nadhani tujiunge tukiwa tumegawanyika. Tangayika iingie kama Tangayika na Zanzibar iingie kama Zanzibar,
Tatizo la Mtanganyika ni Kwamba Tanganyika ilijichanganya kwa kui-underestimate Zanzibar ule msimamo wao wa Zanzibar wa kuungana na Tanganyika with cautiousness ya ile hatua ilizozichukua Zanzibar za kuwa na serikali yake.

Mfano kwa Sasa Zanzibar ina Office zake za Statehood and Sovereignty ( ofisi za tahadhari ya Sovereignty ya nchi yao). Ajabu na Kizembe Tanganyika haina Office hizo, ofisi zilizopo ni za Pamoja ( za Muungano), matokeo yake government agencies za Tanganyika haziwezi kuendesha kikao cha Tanganyika pekee yao kuanzia ngazi ya madiwani. (Reminder DCs in Tanzania Bara waweza tokea Zanzibar, ila sio wa Bara kuwapo kwenye madiwani wa kule Visiwani).Tanganyika ni nyika kweli kweli!
 
Acha kuwa na mawazo ya ajabu huo upuuzi unao ufikiria hauwezekani kamwe kutokea.
Hauwezekani kwako mzee. Lakini kwa sisi tuliowengi tunaafiki jambo hilo liendelee. Ninyi mbuga mbuga mbaki na mawazo yenu mgando yaliyopitwa na wakati.

Huna facts zozote unabaki kupayuka tu mzee. Pole lakini.
 
Mzee unahamisha mada. Kama unataka tujadili ili watu waweze kujifunza jikite kwenye mada.
Tuandike Changamoto na faida. Siyo kuandika mipasho kama tunajadiliana na walevi.
Hakuna Changamoto zozote zaidi ya hofu za ujamaa mbuzi,Kenya ilifuta visa Kwa raia wa EAC siku nyingi na Sasa imefuta visa Kwa raia wa Afrika ila Tanzania Sasa blaa blaa zisizo na msingi.
 
Bila kuathiri hoja yako ya kuwekeza kwenye Huma capital naionaTanzania ni kama United Kingdom pale EU naona hata sisi ni bora kuishia kwenye EAC kama ilivyo sasa mambo ya kuwa nchi moja siungi mkono

Tuwekeze sana kwenye akili za watu wetu na sio eti kujidanganya tukiwa kwenye federation ndio tutakua na nguvu
 
Hakuna Changamoto zozote zaidi ya hofu za ujamaa mbuzi
Mzee nchi zilianza tatu sasa hvi zipo saba. Kwanini uendelee kulaumu Tanzania wakati ni mmoja wa waanzilishi? Wao ndio waliotengenea roadmap na makao makuu ya EAC yapo Tanzania. Hapo utakuwa na mawazo mgando ndugu yangu. Pole lakini.
 
Mimi naona hakuna shida yoyote. Labda unaweza kueleza kwa undani zaidi shida ni ipi

..tatizo ni political stability ktk baadhi ya nchi wanachama.

..tuanze na custom na monetary union wanachama wachache ambao wako stable.
 
Bila kuathiri hoja yako ya kuwekeza kwenye Huma capital naionaTanzania ni kama United Kingdom pale EU naona hata sisi ni bora kuishia kwenye EAC kama ilivyo sasa mambo ya kuwa nchi moja siungi mkono

Tuwekeze sana kwenye akili za watu wetu na sio eti kujidanganya tukiwa kwenye federation ndio tutakua na nguvu
United Kingdom tayari yupo na Umoja wake wa nchi: England, Scotland, Wales and Northern Ireland.

Vilevile United Kingdom ananufaika na nchi zilizochini ya Jumuiya ya Madola. Kwenye Jumuiya ya Madola zipo nchi 56 na controlled state 33. Ikiwa na population ya watu 2.5 billion.

Nadhani ungetoa mfano wa nchi nyingine na siyo UK.

Asante kwa kuongezea point kwenye uzi wangu
Source:
 
Kutokana na data zinazopatikana kwenye mtandao wa Population by Country (2023) - Worldometer
Kwasasa EAC yenye nchi 7 ipo na population ya watu 311,805,872.
Kwa population kama leo tutaungana itakuwa nchi ya 4 kwa population kubwa duniani.
Maana yake tunaweza kufanya biashara ndani ya East Africa Federation na tukapata maendeleo.
Ipo haja na jina libadilishwe maana umaana wa EAST umekwisha potea.[/B]
 
ARGUMENTS FOR A POLITICAL FEDERATION
When societies merge to form one large economic and political entity, issues of tribalism, religious and other socio-cultural problems tend to disappear; this has proven difficult under each separate country.

The Federation will also remove any possibilities of Partner States fighting each other and as more countries later join the Federation and the political stability of the region will further be entrenched.
A Political Federation is imperative in this global environment.

But for federation to survive there must be an environment that enables people to participate in an accelerated economic development process, and economic development can be made faster within a Political Federation than when it is done under totally separate state governments just like the case of the United States of America.
 
FEAR OF EAST AFRICA FEDERATION

Political and Legal

a) Sovereignty and Nationalism. The fear is manifested in a number of ways including; notions of loss of political power, loss of decision making, and loss of flexibility in exercising powers at the national level;

b) Collapse of the earlier EAC. This is still fresh in the minds of some people and there is no adequate assurance yet that the past experience will not reoccur;

c) The disparities in the national constitutions and practices of democracy, good governance, anti-corruption, human rights, constitutionalism and the rule of law;

d) People need assurance that they will be involved in the process of making major decisions that touch on their livelihood, including electoral processes;

e) Lack of uniformity in doctrine, discipline and accountability among agencies dealing with peace, security and defense in the Partner States;

f) Concern that the political federation agenda is driven by the political leadership to satisfy political motives;

g) Fear of increase in cross border crime including Small Arms and Light Weapons (SALW), illicit drugs, human trafficking;

h) The concern that over emphasis on political federation may obscure other stages of integration, as provided for in the Treaty, which are the foundation for a firm Political Federation;
 
Economic Fear
a) Financial sustainability of the proposed Political Federation with the implied increase
in taxation to run one additional tier of government;

b) Weak economies will be dominated by the stronger economies in the region in the absence of a mechanism to address imbalances and ensure equitable distribution of
benefits;

c) There is a concern that the differences in the levels of economic development, entrepreneurial skills and competitiveness in the manufacturing and service industries will disadvantage some Partner States.

d) The need for a mechanism to address purchasing power parity as we move towards the monetary union;

e) Domination in the labour market by more skilled and qualified labour force to the disadvantage of nationals;

f) The need to establish mechanisms for sustainable utilization and conservation of the
environment;

g) The need for mechanisms for sustainable exploitation of natural resources and equitable distribution of benefits thereof;

h) People were concerned about the differences in the land tenure systems obtaining in the Partner States and how they will be addressed;

i) The need for mechanisms for addressing liabilities contracted by the Partner States before the federation i.e. debts;

j) The Customs Union is faced with a number of operational problems that need to be addressed; and
k) The need to harmonize economic policy reforms;
 
Social-Cultural Fear
a) In the absence of national Identification documents for some Partner States' citizens, it will be difficult to establish the identity of East Africans;

b) The fear of losing the gains already made in affirmative action for marginalized groups in the bigger entity;

c) There is a concern that fewer women than men are involved in the decision making of the integration process;

d) Differences in education systems, curricula and academic/professional qualifications
and social welfare schemes among the Partner States;
 
Hakuna haja kila nchi ifanye mishe zake haya ndiyo mambo ya new world order yani nchi zote hizo raisi atawale mmoja alafu sisi wananchi tuwe chini ya shirikisho huo ni ushetani hata kwenye biblia Mungu alikataza kujenga mnara wa Babeli ndiyo mana kila nchi ina lugha yake in short HATUTAKI AJENDA KAMA HIZI ZA KITUMWA Tanzania itabaki kama Tanzania milele mambo ya Europe na Amerika msilete hata

Somalia ana nini cha maana kuwa east Afrika wakati kapakana na saudi Arabia na waarabu wenzao mailete culture za ajabu hapa
 
Economic Fear
a) Financial sustainability of the proposed Political Federation with the implied increase
in taxation to run one additional tier of government;

b) Weak economies will be dominated by the stronger economies in the region in the absence of a mechanism to address imbalances and ensure equitable distribution of
benefits;

c) There is a concern that the differences in the levels of economic development, entrepreneurial skills and competitiveness in the manufacturing and service industries will disadvantage some Partner States.

d) The need for a mechanism to address purchasing power parity as we move towards the monetary union;

e) Domination in the labour market by more skilled and qualified labour force to the disadvantage of nationals;

f) The need to establish mechanisms for sustainable utilization and conservation of the
environment;

g) The need for mechanisms for sustainable exploitation of natural resources and equitable distribution of benefits thereof;

h) People were concerned about the differences in the land tenure systems obtaining in the Partner States and how they will be addressed;

i) The need for mechanisms for addressing liabilities contracted by the Partner States before the federation i.e. debts;

j) The Customs Union is faced with a number of operational problems that need to be addressed; and
k) The need to harmonize economic policy reforms;
Hizi ni over thinking ideas kwani mbona tunaishi tuu
 
SOLUTIONS TO OVERCOME THE FEAR
a) Continuous sensitization programmes about the EAC integration process;

b) Embark on the process of drafting an East African constitution to clearly define the model of the federation and the distribution of power at various levels;

c) Accelerating and fast tracking of the Customs Union, Common Market, Monetary Union and finally the Political Federation;

d) Promotion of close cooperation in culture and sports and development of indigenous languages;

e) Elaboration of the East African civic education and sensitizations programme to promote the East African identity and solidarity;

f) Promotion of the alternative/home-grown dispute resolution and peace building mechanisms;

g) Restructure and transform the EAC secretariat to be able to enforce implementation of decisions of policy organs;

h) Develop a mechanism for equitable distribution of economic benefits to the grassroots;

i) Consolidate and strengthen the relevant polices aimed at building a strong, credible and sustainable federation;
 
EAC Regional Trade Policy 2021

EAC regional trade policy is expected to facilitate increased trade competitiveness and economic growth in the region, since these two factors are clearly linked. EAC Partner States can realize increased trade competitiveness if they pursue their external trade policy aspirations through a harmonised trade policy framework characterized by common market access approaches, and if they jointly pursue trade promotion, external trade, and trade facilitation measures under a harmonised regional umbrella

 
Itakuwa ni vizuri, lakini viongozi wengi wa Africa wana uchu wa madaraka na wanahofia kupoteza nafasi zao na uhuru wao wa kufanya lolote watakalo katika nchi wanazoziongoza.
#Vita bado mbichi
 
Afrika haiwezi kuwa nchi moja kama ambavyo ulaya sio nchi moja.
Lakini muunganyiko wa afrika utasaidia kutatua changamoto nyingi na pia afrika kuwa na usemi mmoja duniani.
AU ni nini kwani?
 
Back
Top Bottom