Hakuna cha Mseven wala Msix,
shilikisho la mara hii hakieleki kitu, walivyotufanyia ile jumuia mara hii tunakambana roho.
Mkenya na wengine hiyo kenya airways kama hujui ilikuwa hivi-
Kenya walisubiri ndege zote na meli zote zimetua kenya wakazikamata na wakatangaza kujitoa kwenye community yani kuivunja,sisi Tz ilikosa ndege hata moja mpaka tukaenda kuazima ndege msumbiji meli hiyo mv victoria ilyopo hapo mwanza mlifanya BUFFET pale Kisumu tugawapigia magoti mkatupa hako kameli mmekakongorowa, ndege mkakatalia zote tukakubali matokeo tukajikongongoja mpaka leo hapo tumefika. Hii kwa mtz inamuuma sana ndio maana hataki kusikia neno KENYA
sasa mmekula mlizotuibia mmemaliza mnakuja na nyimbo zile zile safari hii haikieleweki kitu hata mpige kelele TUTAZIKANDAMIZA na huyu Kikwete mnaojitahidi kumlaghai hata akikubali kitu haikieleweki bado kama mnataka shirikisho na eneo kubwa la biashara kwa nini msing'ang'anie kuungana na ndugu zenu wasomali, wasomali ni wakuu wa jeshi la polisi la kenya, wasomali ndio washika nyazifa kenya kwanini msiungane na hao????
Na tunamwabia kikwete akitaka tz pageuke kuwa IRAQ basi atuunganishe na wakenya, baganda, banyarwanda na barundi
Tanzania ni Kaanani ila kuna watu wachache wanapafanya kuwa Misri
shilikisho la mara hii hakieleki kitu, walivyotufanyia ile jumuia mara hii tunakambana roho.
Mkenya na wengine hiyo kenya airways kama hujui ilikuwa hivi-
Kenya walisubiri ndege zote na meli zote zimetua kenya wakazikamata na wakatangaza kujitoa kwenye community yani kuivunja,sisi Tz ilikosa ndege hata moja mpaka tukaenda kuazima ndege msumbiji meli hiyo mv victoria ilyopo hapo mwanza mlifanya BUFFET pale Kisumu tugawapigia magoti mkatupa hako kameli mmekakongorowa, ndege mkakatalia zote tukakubali matokeo tukajikongongoja mpaka leo hapo tumefika. Hii kwa mtz inamuuma sana ndio maana hataki kusikia neno KENYA
sasa mmekula mlizotuibia mmemaliza mnakuja na nyimbo zile zile safari hii haikieleweki kitu hata mpige kelele TUTAZIKANDAMIZA na huyu Kikwete mnaojitahidi kumlaghai hata akikubali kitu haikieleweki bado kama mnataka shirikisho na eneo kubwa la biashara kwa nini msing'ang'anie kuungana na ndugu zenu wasomali, wasomali ni wakuu wa jeshi la polisi la kenya, wasomali ndio washika nyazifa kenya kwanini msiungane na hao????
Na tunamwabia kikwete akitaka tz pageuke kuwa IRAQ basi atuunganishe na wakenya, baganda, banyarwanda na barundi
Tanzania ni Kaanani ila kuna watu wachache wanapafanya kuwa Misri