East African Federation (EAF) public Views

East African Federation (EAF) public Views

Wewe matatizo
acha kutumia lugha ya mchanganyo ili uamushe hisia za watu
Jamani ningependelea msimjibu huyu jamaa.
anatafuta sapoti kutoka kwa upande wa zenji ili atuchanganye hapa
Matatizo ->this venue is for EAST AFRICAN FEDERATION,
about Tanganyika and Zanzibar leave us alone ,for ur informations and b/se i can't leave u empty hands let me relate u that if ur were next to keen it was very apparent 4 u to extract some reasons y Tzns rejected the fast trackig.
Keep this in mind -> Tanzania is Kaanani the promised country,The country of good hope,consider this,people who are under heavy brutality from farao are crying for whichever cost to see the land of good hope->Tanzania.
Tzns we do say tht the door for kaanan had been closed just immediately after the collapse of the fomer EAC and pity enough
keys also were taken at the same moment then we have nothing to do on ur problem u adressed->FeDERATION.
What we can idvise u is to confront ur farao mpaka kiileweka.
Otherwise ueleke jiwe
 
Hakuna cha Mseven wala Msix,
shilikisho la mara hii hakieleki kitu, walivyotufanyia ile jumuia mara hii tunakambana roho.

Mkenya na wengine hiyo kenya airways kama hujui ilikuwa hivi-

Kenya walisubiri ndege zote na meli zote zimetua kenya wakazikamata na wakatangaza kujitoa kwenye community yani kuivunja,sisi Tz ilikosa ndege hata moja mpaka tukaenda kuazima ndege msumbiji meli hiyo mv victoria ilyopo hapo mwanza mlifanya BUFFET pale Kisumu tugawapigia magoti mkatupa hako kameli mmekakongorowa, ndege mkakatalia zote tukakubali matokeo tukajikongongoja mpaka leo hapo tumefika. Hii kwa mtz inamuuma sana ndio maana hataki kusikia neno KENYA

sasa mmekula mlizotuibia mmemaliza mnakuja na nyimbo zile zile safari hii haikieleweki kitu hata mpige kelele TUTAZIKANDAMIZA na huyu Kikwete mnaojitahidi kumlaghai hata akikubali kitu haikieleweki bado kama mnataka shirikisho na eneo kubwa la biashara kwa nini msing'ang'anie kuungana na ndugu zenu wasomali, wasomali ni wakuu wa jeshi la polisi la kenya, wasomali ndio washika nyazifa kenya kwanini msiungane na hao????

Na tunamwabia kikwete akitaka tz pageuke kuwa IRAQ basi atuunganishe na wakenya, baganda, banyarwanda na barundi

Tanzania ni Kaanani ila kuna watu wachache wanapafanya kuwa Misri

this reads like some work of fiction.Pliz use the facts as to the situation on the ground an desist from urban tales for argument.Kenyans took the planes an ships coz they the Kenyans actually paid for em!Yep, Kenyans footed the bills that kept the EAC running in that short stint it existed while Nyerere,Obote,Idi Amin were busy busy jostling to be the last kings of East Africa.Nyerere banned the East African Rally from running thro Tanzania.As fate dictates Kenyans will take blame for that too.Then who said Tanzania is kaanani?Who said that,when,how,at what point in history?Can u back it up?Any place,anywhere in the world is distinct an special in it's own way.God's land is everywhere.Get over it.U ain't that special my dear delusional African.Kaanani ain't just Tanzania,it's global.Think outside the box if only for the luv ur Tanzania.
 
Matatizo
very sorely understand this
-> we don't have keys for Kaanani. No way out ,u have to take signaficant measures to tackle wisely ur faraos otherwise they going to hanging u.
Kaanan is always characterised by all people out of it are keeping cry to top of thier voice so tht can land in->very exactly to my comrades what ur doing to kaanani TZ.

We tzns do say BIG NO federation u still forcing us then what we can interpret it?

If ur seeking large block for business at ur north there are big countries than kaanani Tz Sudan, Somalia, Ethiopia, Eritrea why not those???

And b/se they are rich like u guys y not join them and u will match exactly talking together proudly how far rich ur.

Otherwise ueleke jiwe nimeshakuambia
 
Matatizo
very sorely understand this
-> we don't have keys for Kaanani. No way out ,u have to take signaficant measures to tackle wisely ur faraos otherwise they going to hanging u.
Kaanan is always characterised by all people out of it are keeping cry to top of thier voice so tht can land in->very exactly to my comrades what ur doing to kaanani TZ.

We tzns do say BIG NO federation u still forcing us then what we can interpret it?

If ur seeking large block for business at ur north there are big countries than kaanani Tz Sudan, Somalia, Ethiopia, Eritrea why not those???

And b/se they are rich like u guys y not join them and u will match exactly talking together proudly how far rich ur.

Otherwise ueleke jiwe nimeshakuambia

if u insist on communicating in English pliz take some English classes.Now i know why EAF will never work.The language barrier is a big issue,bar none.
 
Matatizo & Mkamap,
Tumieni tu Kiswahili- Kiingereza ni lugha ya Mzungu! We must be able to communicate by using our home grown language!
Kiswahili tafandali!
 
hey matatizo English is nothing than other local languages,and its terrible to see how ur arguing.
just get proud for something of urs , even though errors are part of our life .Let me back home
asante mzalendo_>unajua hawa wakenya wanafikiri English ndio elimu
kwanza ni upumbafu kujivunia English wakati unalugha yako ya kujivunia.Na wazungu wanaotumia English mbona ni wachache mno waafrika upumbuvu ukielewa cha kunywea maji tena rafdhi ya kijarao
unajivuna eti mimi msomi najua lugha ya mzungu kwi kwi kwi duu eti anajiita msomi-> duuuuuuu matatizo I CAN'T YOU kwi kwi kwi
 
Military conscription for all East Africans??

Leo ni Uganda kesho ni EA, msikubali !!!!

Be ready for compulsory military service, kupigana na nani???

http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/6907950.stm


Military service for all Ugandans

Military training is to be made compulsory for all Ugandans, the ruling party has announced.

Anyone who failed to undertake the training would be punished, said National Resistance Movement Secretary General Amama Mbabazi.

The decision was adopted at a five-day party retreat, where leaders participated in military drills and learnt to handle AK-47 rifles.

The NRM seized power in 1986 and won multi-party elections last year.

President Yoweri Museveni only retired from the army in 2004, to meet a legal requirement which bars serving soldiers from being active members of a political party.

'Gimmick'

The NRM has been talking about introducing national military service for the past decade.

"We leaders have had basic training and we shall go back. This is the beginning and we have led the way," Mr Mbabazi told reporters in Kampala.

The NRM secretary general said the military training school would open branches across the country to reach more Ugandans.

Opposition parties have condemned the move, according to local media reports.

Democratic Party Leader John Ssebaana said it was useless.

"This is a gimmick for the party to siphon money from the treasury," he told the Daily Monitor newspaper.

The Forum for Democratic Change, led by President Yoweri Museveni's arch rival, Dr Kizza Besigye, said it would wait to debate merits of the proposal in parliament.

"I think they have brought this now to divert attention from their wrongful act of dressing MPs in military uniform," said FDC spokesman Wafula Oguttu.
 
Please Mkamap we have been engaging maturely as East Africans please do not use generalise/abuse ALL Kenyans in your statement.

"unajua hawa wakenya wanafikiri English ndio elimu
kwanza ni upumbafu kujivunia"


Please take those words back..


hey matatizo English is nothing than other local languages,and its terrible to see how ur arguing.
just get proud for something of urs , even though errors are part of our life .Let me back home
asante mzalendo_>unajua hawa wakenya wanafikiri English ndio elimu
kwanza ni upumbafu kujivunia English wakati unalugha yako ya kujivunia.Na wazungu wanaotumia English mbona ni wachache mno waafrika upumbuvu ukielewa cha kunywea maji tena rafdhi ya kijarao
unajivuna eti mimi msomi najua lugha ya mzungu kwi kwi kwi duu eti anajiita msomi-> duuuuuuu matatizo I CAN'T YOU kwi kwi kwi
 
Mkenya,
Unadhani ni wazo baya? Sisi Tz tulikuwa na 1 year compulsory National Service til mid 1990s. This helped to cultivate the spirit of Uzalendo na ukiuliza wengi ilisaidia sana kuondoa ukabila, udini na kujenga utaifa hapa Tz! That is why Tz iko na ummoja zaidi hapa EA- hata leo!

Since it was abolished, inculcating uzalendo to our youth has been shading away- it may be dangerous in the future.

Many countries have such programs today- that you volunteer for you your country without pay from 6-12 months- not necessarily that you must join the army!

Issue of costs- this we can discuss- of course to cultivate spirit of uzalendo- has a price- but if you don't do it has negative consequences kama ukabila n.k

I think is a good thing but M7 should not use it for political reasons!
 
Samahani mkenya
Nilitaka kumaanisha kwa watu wanaofikiri English ndio Elimu.
Samahani kwa kugenalise na samahani pia kwa kuku kwaza,hapo kweli sina pingamizi nimeteleza bila kuanguka.
Ninaimani umenielewa na kunisamehe nilipoteleza.
 
HAYA NDIO TUNAYATAFUTA KWENYE EAF


Arusha yatikisika: Polisi100 wapambana na majambazi

*Risasi zapigwa kwa zaidi ya saa sita
*Wasichana wafichua maficho yao
*Bomu latumika kulipua maficho


Na Mussa Juma, Arusha.

MJI wa Arusha, jana uligeuka uwanja wa mapambano baada ya polisi, wanajeshi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania na vikosi vingine vya ulinzi na usalama, kupambana vikali na watuhumiwa wa ujambazi baada ya kugundua maficho yao.

Mamia ya wakazi wa Jiji la Arusha, walikusanyika katika eneo la Njiro Kontena, kushuhudia tukio hilo, ambalo wengi wanalifananisha na sinema kutokana na kurushiana risasi kwa saa zaidi ya sita kati ya polisi na watu wanaotuhumiwa kuwa majambazi.

Hadi jana jioni, saa kadhaa baada ya watuhumiwa hao wa ujambazi kuzidiwa nguvu na kuamua kujisalimisha, mazungumzo ya tukio hilo yalikuwa yametawala mazungumzo ya watu karibu pembe zote za mji wa Arusha.

Watuhumiwa hao, wanadaiwa kuhusika na wizi wa Sh234 milioni mali ya Benki ya National Microfinance (NMB) tawi la Mwanga, Kilimanjaro. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Basilio Matei, watuhumiwa hao ni Samweli Gitau Saitoti (33) anayedaiwa kuwa ni Mkikuyu mkazi wa eneo la Ngong Nairobi, ambaye ni dereva wa matatu na Peter Michael

Kimenya (40) Mkikuyu mkazi wa Thika Nairobi, ambaye ni dereva wa magari makubwa.

Inadaiwa pia kuwa mmoja wa watuhumiwa hao, Samson Chonjo (26), aliyekamatwa katika tukio tofauti jana, ni miongoni mwa watu wanaotuhumiwa kuhusika na wizi huo.

Watuhumiwa hao waliwapa wakati mgumu polisi tangu saa 8.00 usiku wa kuamkia jana, walipozingira nyumba hiyo hadi saa 5.53 asubuhi, walipoamua kujisalimisha baada ya kurushiana risasi na polisi waliozingira nyumba walimokuwa wamejificha.

Katika tukio hilo, polisi walikamata bunduki mbili aina ya SMG zikiwa na risasi 85, bastola tano zikiwa na magazini nne zenye risasi 30 na majaketi ya kuzuia risasi pamoja na mabomu mbalimbali yaliyokuwa hajalipuliwa. Bado askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania wanaendelea na kazi ya kutegua mabomu yaliyokuwa katika nyumba hiyo.

Kamanda Matei alisema majambazi hao walikamatwa na fedha taslimu dola 8,145 za Kimarekani na Sh 978,000 na alimtaja mwingine aliyekamatwa kuwa ni Samson Chonjo (26)

mkazi wa eneo la Ngulelo mjini hapa.

Alisema Chonjo alikamatwa jana asubuhi katika eneo la Ngulelo baada ya polisi kupata taarifa za wasamaria wema. Kamanda Basilio, alisema maafisa wa Jeshi la Polisi kutoka jijini Dar es Salaam, Kilimanjaro na Arusha bado wanaendelea kuwahoji watuhumiwa hao.

"Kama unavyojua leo ndio tumewakamata bado tunawahoji kuhusiana na matukio ya ujambazi na sio la Mwanga pekee," alisema Kamanda Basilio.

Alisema licha ya kuhojiwa kwa matuhumiwa hao, bado Kikosi Maalum ya Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), kinaendelea kutegua mabomu kadhaa yaliyokuwa yametegwa na majambazi hao kutoka Kenya kabla hawajajisalimisha.

Ilielezwa kuwa watuhumiwa hao walitega mabomu kuzunguka nyumba hiyo na walikuwa wakirusha risasi mfululizo kwa kutumia bunduki aina ya SMG na bastola, na wakati mwingine wakirusha mabomu ya kutupa kwa mikono.

Hata hivyo, jitihada za polisi, viongozi wa serikali, maafisa wa Jeshi la Wananchi na maafisa wa Usalama wa Taifa ambao baadhi yao kwa mara ya kwanza jana walikuwa wamebeba silaha nzito, ilisababisha watuhumiwa hao kujisalimisha majira ya saa 5.53 asubuhi.

Mamia ya watu waliojitokeza kushuhudia tukio hilo, walishangazwa na ujasiri watuhumiwa hao kwa kurushiana risasi na polisi zaidi ya 100 kwa muda mrefu, licha ya kuwapo Kikosi Maalum cha Polisi kutoka Dar es Salaam ambao baada ya kufanikiwa kuingia ndani ya nyumba hiyo, watuhumiwa hao walipanda juu ya dari.

Maficho ya watuhumiwa hao, waliovalia majaketi ya kuzuia risasi, huku wakiwa wametega mabomu ndani ya nyumba hiyo na nje, yalijgundulika kutokana na makachero wa polisi kunasa namba za simu za wasichana ambao walikuwa wana uhusiano nao kimapenzi.

Akizungumza katika eneo la tukio, akiwa amevaa kifaa cha kuzuwia risasi, Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Kapteni Evance Balama alisema, mara baada ya polisi kuwasiliana na wasichana hao. walitaja eneo walipo na polisi kuamua kuwafuata.

Kapteni Balama alisema baada ya wasichana hao kutambua kuwa wanasakwa na polisi waligoma kutoka katika nyumba hiyo, hadi mama mzazi wa mmoja wa wasichana hao alipotafutwa na kuzungumza na mtoto wake.

Alisema baada ya majadiliano kadhaa baina ya mama huyo na mtoto, baadaye watuhumiwa hao waliruhusu wasichana hao kutoka nje ya nyumba hiyo ya kisasa yenye ghorofa moja.

Kwa kiasi kikubwa, kutoka nje kwa wasichana hao, kuliwasaidia polisi kuwajua maadui, hasa walipoelezwa kuwa tayari wametega mabomu nyumba nzima, hivyo wasipotumia busara wanaweza kuangamia.

"Hawa wametupa msaada mkubwa na bado tunawashikilia, tunaamini watatueleza mengi," alisema afisa mmoja wa polisi akiwa na maafisa usalama katika eneo la tukio.

Jitihada za Polisi wa Kikosi Maalum kutoka Dar es Salaam, wakiongozwa na maafisa mbalimbali akiwamo Kamanda Duani Nyanda, zilifanikisha polisi kuingia ndani ya nyumba hiyo, huku wakiwa na wamevalia majaketi ya kuzuia risasi.

Hata hivyo, polisi hao walishindwa kukabiliana uso kwa uso na watu hao, kutokana na kupewa taarifa kutoka ngazi za juu za jeshi hilo kuwa watuhumiwa wanatakiwa kukamatwa wakiwa hai ili watoe taarifa zitakazosaidia kuvunja mtandao wao wa ujambazi nchini.

"Hapa tulipo kama tukiamua kumimina risasi lazima tutawaua, ila nasi lazima kutakuwa na vifo, lakini kuna maelekezo kuwa tusiwaue," alisema afisa mmoja wa polisi aliyekuwapo eneo la tukio, saa chache kabla ya watuhumiwa kuamua kujisalimisha.

Baada ya jeuri ya watuhumiwa hao kupiga hovyo zaidi ya risasi 15, polisi waliamua kujibu kwa kupiga makombora ya RPG ambayo yalifanikiwa kubomoa sehemu kubwa ya kuta za nyumba hiyo na wakatupa zaidi ya mabomu 20 ya machozi ndani ya nyumba.

Mapambano yalishika kasi zaidi majira ya saa 3.00 na 4.00 asubuhi, lakini watuhumiwa hao waliendelea kukaidi amri ya kujisalimisha huku wakijibu kwa risasi za rashasha.

Hata hivyo, ilipofika majira ya saa 5.00 asubuhi, watuhumiwa hao waliokuwa wakiwasiliana na wasichana wao, waliweza kupiga simu polisi namba 112 na kuomba kujisalimisha kwa masharti kuwa wasiuawe.

Baada ya simu hiyo, maafisa wa polisi wakiongozwa pia na Mkuu wa Upelelezi wa Mkoa wa Arusha (RCO), Chilogile, walikubali na kutoa muda wa kujisalimisha.

Kutokana na makubaliano hayo, kwa kutumia kipaza sauti walihesabiwa hadi 10, lakini walikaidi ndipo polisi walipowaonya kuwa, wataishusha nyumba yote kwa mabomu na risasi, hali iliyowafanya kujisalimisha mmoja mmoja, wakiwa wameweka mikono kichwani.

Mwandishi wa habari hizi alishuhudia watu hao wawili, wakiwa chini ya ulinzi wa polisi wakionekana wenye afya nzuri, huku mmoja akiwa mweupe mwenye kipara ambaye polisi kutoka Dar es Salaam walimtambua kuwa alitajwa kuhusika katika uporaji wa Ubungo.

Watuhumiwa hao, waliondolewa kwenye jumba hilo majira ya saa 6.00 mchana wakiwa kwenye gari la polisi namba T118 AEN, huku wakisindikizwa kwa ulinzi mkali.

Awali, mamia ya wananchi wa Arusha walitaka kuzuia kuondolewa kwa watu hao wakitaka kuwaua, lakini polisi walifanikiwa kuwatawanya kwa kupiga mabomu ya machozi na kuwasambaza kwa kutumia mbwa.

Nyumba hiyo ni mali ya Mhandisi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Makoye Ngerere, ambaye hivi karibuni alihamishiwa Makao Makuu ya shirika hilo jijini Dar es Salaam.

Habari za uchunguzi zimebainisha kuwa wathumiwa hao, walipanga nyumba hiyo kuanzia Jumapili Julai 17 kwa makubaliano ya kulipa kodi ya Sh450,000 kwa mwezi, kwa muda wa miezi sita.

Hata hivyo, ilielezwa kuwa watuhumiwa hao kuwa, walipata nyumba hiyo kupitia dalali mmoja wa kike (jina linahifadhiwa).

Akizungumza na Mwananchi, Mwenyekiti wa serikali ya kitongoji cha Korongoni ambacho ndipo tukio hilo lilitokea, Zulfa Mhina alisema kabla ya kuishi katika nyumba hiyo majambazi hao, alipokea watu kadhaa waliokuwa wanatafuta nyumba.

Mhina ambaye nyumba yake inapakana na nyumba walimokuwa majambazi hao, alisema mtu mmoja alifika kwake kutafuta nyumba akidai ana vijana wake wanatoka nje ya nchi.

Hata hivyo, baada ya kuoneshwa nyumba hiyo hakurudi hadi mapema wiki hii alipopata taarifa tayari nyumba hiyo inawapangaji.

Alisema taarifa hizo alipewa na aliyekuwa mlinzi wa nyumba hiyo, hamisi Kironga ambaye aliondolewa mara baada baada ya majambazi hao kupanga nyumba hiyo.

Hadi jana mchana kikosi sa askari toka jeshi la wananchi(JW) cha kuteguwa mabomo na maafisa kadhaa wa serikali akiwepo mbunge wa jimbo la Arusha, Felix Mrema walikuwa katika eneo la tukio wakiendelea na ukaguzi wa mabomo.

Kamanda wa polisi mkoani hapa, Basilio Matei ambaye alifika eneo la tukio mchana alisema kuwa angetoa taarifa majira ya jioni mara baada ya kukusanya taarifa zote muhimu.
 
Mkenya,
Hebu tuambie ndugu- Kenya kuna taabu gani sasa hivi? Mara Mungiki- sasa majambazi yamehamia Tz, hii watu kuuana hapo Kenya watu wameshazoea?
Du kazi kweli kweli!
 
Jamaa kutoka Kenya wamefanya tena ujambazi leo huko Arusha. Hii ni kutokana na kurahisiha usafiri wa kuingia na kutoka kati ya Tanzania na Kenya.
 
23.07.2007

Majambazi ya Kenya yamchefua Mwapachu

*Ahofia mustakabali Shirikisho Afrika Mashariki
*Serikali kuunda kikosi maalumu, maeneo ya utalii
*Mmiliki wa nyumba yalimoishi Arusha ahojiwa

Na John Daniel, Dodoma

WAZIRI wa Usalama wa Raia, Bw. Bakari Mwapachu amesema Serikali imesikitishwa na vitendo vya ujambazi hususan vinavyofanywa katika mabenki nchini na raia wa Kenya.

Waziri Mwapachu alisema hali hiyo inatia mashaka hasa kwa kuzingatia kuwa nchi za Afrika Mashariki ziko katika mchakato wa kuunda Shirikisho la Afrika Mashariki ambapo mipaka ya nchi hizo itakuwa wazi zaidi.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana kuhusu uvamizi wa benki ya NMB Mwanga Mkoa wa Kilimanjaro Julai 11 mwaka huu na mpambano wa Polisi wa Arusha na majambazi juzi, Bw. Mwapachu alisema Serikali inaendelea na uchunguzi wa kina kuhusu tukio hilo.

“Ni kweli matukio mengi takriban uvamizi wa mabenki yetu yanasababishwa na majambazi kutoka Kenya, hili ni suala ambalo linatia wasiwasi hasa tunapoelekea Shirikisho la Afrika Mashariki, kwa kweli hili ni tatizo, na tunatilia mashaka hasa tunapoanza kuinuka, je tukiwa pamoja mtu anaingia bila kibali chochote itakuwaje,”alihoji Bw. Mwapachu.

Kuhusu tukio la Mwanga, Bw. Mwapachu alisema Jeshi la Polisi lina imani kubwa kuwa wote walioshiriki tukio hilo watakamatwa popote walipo na kwamba bunduki moja aina ya SMG iliyotekwa na majambazi hayo imeshapatikana.

Alisema operesheni maalum itaanza katika maeneo yote korofi ambayo tayari yametambuliwa na kwamba ulinzi umeimarishwa katika maeneo yote ya kitalii nchini ili kulinda wananchi, watalii na mali zao na kutoa wito kwa wananchi kuendelea kutoa ushirikiano wa hali ya juu kwa Jeshi la Polisi.

Kuhusu mlimiki wa nyumba walimojifisha majambazi hayo mjini Arusha na kurushiana risasi na Polisi kwa zaidi ya saa sita, alisema Polisi wanaendelea kumhoji mmiliki huyo na kwamba taarifa alizopewa, ni kwamba hakuwahi kuonana na wapangaji wake na kwamba kazi ya kuwapangisha, ilifanywa na mlinzi wake.

“Natoa mwito kwa wamiliki wa nyumba zote kuhakikisha wanapangisha watu wanaowafahamu vizuri ikiwa ni pamoja na kufahamu taarifa zao muhimu kama vile kazi zao, na maeneo wanayotokea, wamiliki wa hoteli na nyumba za kulala wageni pia wanapaswa kuwa makini na wageni wanawapingisha, watoe taarifa ya siri Polisi endapo watafika watu anaowatilia shaka au nyendo zao hazijulikani," alisema

Alisema maeneo korofi yenye matukio mengi ya ujambazi yamekwishatambuliwa na kwamba kikosi maalum kitaundwa kushughulikia maeneo hayo licha ya ulinzi wa hali ya juu ambao tayari umeimarishwa katika maeneo hayo kwa sasa.

“Maeneo korofi yameshatambuliwa,Polisi imeimarisha ulinzi katika maeneo korofi, inatarajia kuunda kikosi maalum na kupelekwa maeneo yote ya utalii na korofi nchini ili kulinda wananchi na mali zao,”alisema Mwapachu.

Aliongeza ”Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola na raia wema wanaendelea kufanya uchunguzi wa kina katika maeneo ya tukio ili kupata ushahidi kamili, hii ni pamoja na kufahamu kazi zao, si hali ya kawaida kwa dereva wa matatu (daladala) au lori kuwa na ujuzi mkubwa wa kutumia silaha nzito za kivita na mabomu."

"Imethibitika kuwa silaha aina ya SMG iliyoporwa Mwanga ndiyo hiyo iliyopatikana kwa majambazi hao Arusha, bado tunaendelea kufanya uchunguzi maana vibali ni vya kawaida vya kutembelea Afrika Mashariki,”alisema .

Alisema mpango wa Polisi Jamii unaendelea hivi sasa utafika hadi katika ngazi ya mitaa ambapo wenyeviti wa Serikali za Mitaa wanaofanya kazi sawa na mabalozi hapo awali watakuwa nafasi kubwa zaidi ya kuwatambua kila anayeingia katika eneo lake.

Kuhusu ushirikiano wa Jeshi la Polisi la Kenya na Tanzania ili kukabiliana na tatizo la majambazi kutoka nchini humo kusumbua Tanzania alisema suala hilo linashughulikiwa na IGP Said Mwema pamoja Interpol.

“Natoa mwito kwa madereva teksi pia kutoa taarifa na kutothamini 'vielfu' 30,000 (sh. 30,000) wanavyopewa, wawe tayari kutoa taarifa za siri za nyendo za wateja wao, wanazo habari nyingi sana,”alisema Bw. Mwapachu.

Kuhusu hali ya uhalifu katika kipindi cha mwaka mmoja na uwezo wa Polisi kivitendea kazi Bw. Mwapachu, alisema vitendo hivyo vimepungua lakini tatizo la vitendea kazi bado lipo na kutoa pole kwa askari aliyeuawa Mwanga na aliyejeruhiwa,”alisema Bw. Mwapachu.

Hata hivyo alisema Serikali imejipanga vizuri kuhakikisha Jeshi hilo linakuwa la kisasa na kwamba ana uhakika kuwa vitendo vya uhalifu vitakoma na sifa ya Tanzania kuwa salama itaendelea.

Baadhi ya matukio yaliyohusisha raia wa Kenya ni wizi katika wa Benki ya CRDB ,NBC na NMB.

Wakati huo huo Wizara ya Usalama wa Raia, inatarajiwa kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Bajeti yake katika Mwaka wa Fedha wa 2007/08 leo, huku Wabunge wakiwa wamejipanga kutaka maelezo ya kina kuhusu vitendo vya ujambazi vilivyorudi kwa kasi nchini.

Kwa takriban mwaka mmoja, Jeshi la Polisi lilionekana kuhimili majukumu yake na nchi kuwa shwari lakini hali imebadilika ghafla ambapo vitendo vya ujambazi wa kutumia silaha vimeibuka kwa kasi ya kutisha.

Hii ni mara ya pili kwa makadirio ya bajeti ya wizara hiyo mpya tangu ilipoundwa baada ya Rais Jakaya Kikwete kuitenganisha na ile ya Mambo ya Ndani mwaka 2005 ambapo Bw.Bakari Mwapachu ndiye waziri wake wa kwanza.

Hoja nzito ambayo, Bw. Mwapachu anatarajiwa kubanwa kuitolea ufafanuzi ni hatua zinazochukuliwa na Serikali kudhibiti majambazi kutoka Kenya kufanya vitendo vya uhalifu hususan kupora mabenki.

Pia wabunge wanatarajia kuihoji Serikali kuhusu maslahi bora ya polisi, vitendea kazi, ubambikizaji kesi kwa watu wasio na hatia, rushwa na ucheleweshaji wa upelelezi wa kesi jambo linalosababisha haki za Watanzania kucheleweshwa.

Hoja nyingine ni pamoja na ujenzi wa makazi bora za Polisi ili kuepuka hali ya sasa ya baadhi ya polisi kupanga nyumba uraiani hali inayowaweka katika mazingira magumu kutekeleza wajibu wao.
 
National Service stints back in 2010

2007-07-28 09:19:23
By Judica Tarimo, Dodoma

The government has announced plans to re-introduce mandatory National Service training for all higher education aspirants by 2010 alongside a special programme for Members of Parliament and public officials.

Defence and National Service minister Juma Kapuya made the announcement in the National Assembly here yesterday when responding to a question by Nungwi Ame Pandu (CCM).

The legislator had wanted to know the plans the government had to ensure that applicants for admission to higher learning institutions have a stint in the National Service before starting their studies.

Those in the other target groups would serve their stints under special arrangements, as used to be the case in the 1960s and 1970s.

Prof Kapuya said the government was working on procedures to facilitate the smooth implementation of the plans, possibly beginning in three years` time.

The legislator had earlier called on the government to issue a directive to private security companies to employ security guards who have attended National Service training.

Responding to the call, Defence and National Service deputy minister Omary Yusuf Mzee said the government had already instructed the firms to engage qualified people who undergone proper military training.

`Having the relevant qualifications is the most important criterion that security companies ought to use in employment guards,` he explained
 
Du
Kama Uganda? Na Kenya je? Au Kenya hampendi jeshi?

Mzalendo, Mkamap

In Kenya we tried compulsory Youth services for any one admitted to the public universities up to 1989, the programme was good and instilled good discipline in students, however the whole programme was very expensive and the govt. dropped it then.

However, Such programmes are retrogressive in modern day, remnants of cold war Communists/Socialists who fear democracy/Capitalism, as well as Indoctrinate their subjects as the current case in North Koreans mindset that external aggression is imminent from i.e U.S & South Korea.

Let me remind you my dear Tz & UG brothers, you dont have to fear the unknown, nobody is going to attack you, instead do the following:-

Put up more primary schools in every village countrywide, in Kenya we have close to 60,000 primary schools, 30,000 high schools, 20 universities, 20,000 doctors etc.. how much do Tanzania have?, i dont know... really. this is what matters not the number of solders you have or tanks/aircrafts ...

Empower your people through education it is the best AK47, and nobody will attack you. the only thing you can loose is poverty.

Fight illiteracy... not imaginary army...

Maoni yangu.... i hope i didnt ruffle any feathers.
 
Mkenya,
Kenya also need a united nation without tribalism, corruption etc. You get that through national service- not necessarily that you must go to the army. You can volunteer something for your country for 1 year! Such programmes are present in many countries. These are the building blocks of nations! See what is happening in Ivory Coast- used to be economic hub of West Africa! See DRC! What is the price of peace keeping in DRC and Ivory Coast? Billions of US $!
Even Kenya has some Ukabila! So in EA we also need programs to inculcate the spirit of Patriotism! In Tanzania we are generally o.k very peaceful- it is just some Kenyans who make troubles in burglary in Arusha and Moshi- no tribalism!
I hear Moi has been appointed a peace broker in Sudan- how is he doing?
 
Mkenya,
Kenya also need a united nation without tribalism, corruption etc. You get that through national service- not necessarily that you must go to the army. You can volunteer something for your country for 1 year! Such programmes are present in many countries. These are the building blocks of nations! See what is happening in Ivory Coast- used to be economic hub of West Africa! See DRC! What is the price of peace keeping in DRC and Ivory Coast? Billions of US $!
Even Kenya has some Ukabila! So in EA we also need programs to inculcate the spirit of Patriotism! In Tanzania we are generally o.k very peaceful- it is just some Kenyans who make troubles in burglary in Arusha and Moshi- no tribalism!
I hear Moi has been appointed a peace broker in Sudan- how is he doing?

Mzalendo,
Sorry i forgot to mention, we have the most organised youth service in the continent, the service is indepenedent of the police/army although it is also military trained. much of the work however is civil with own budget.

In regards to Ukabila, it exists in politicians minds as a way of using ethnic backgrounds to acquire votes. Give Tz more time, when politics evolve politicians will introduce tribalism in your country,

Kenya will not go the western african way, we have had more challenges than Tz, UG or ivory coast et al. In your eyes we may appear to have differences but we are very much united.


The legislator had earlier called on the government to issue a directive to private security companies to employ security guards who have attended National Service training.


Why would you spend billions of tshs to train jeshi la Mgambo only to employ them as Watchmen!!!.., train them to modern farming methods, Nurses, teachers, mechanics etc.. In Kenya some of the best technicians/engineers have been through the NYS Programme.

Remember the main issues are Illitracy, Poverty, Disease and ignorance, we all are patriots. " HATUWEZI KULA PATRIOTISM" you cant be a patriot on a hungry stomach...

In regards to Moi's appointment, he is the best person to handle the fragile southern Sudan issues as he may be the only person Bashir and Salva Kir can listen to and was also the very person who brought peace to that region. Though its too early to know how his appointment will help the people in the region.
 
Back
Top Bottom