East African Federation (EAF) public Views

East African Federation (EAF) public Views

Attachments

  • EaCart260207.jpg
    EaCart260207.jpg
    54.5 KB · Views: 68
Apart from some few people in Rwanda, less than 1% of Rwandans speak English.I think to tell the truth, Rwanda should not hide in our Community because of justice.

How a country can be accepted in english speaking countries because ONLY the president speaks english!!!!!!!!!!!!!! SHAME

President Kagame must first face justice about planning and executing genocide in his country and not hide in commonwealth.

He is a super lier, he killed three presidents in less than two years: Rwandan say that he killed president Ndadaye of Burundi, and killed President Habyarimana of Rwanda and another President of Burundi after shooting down the plain.

If you back him in commonwealth, you back the problem because he is a potential terror.


This forum needs people with brains, not people who sit in local brew bars and bring every nonsense here! So Burundi has lost two presidents since Kagame became a figure in the Great Lakes region??
 
What is it that you expected to get from Tanzania or EAC that makes you so sour? you got a home, right? stay there and stop crying for your neighbour's house!

Even if I were to cry for a neighbour's house, which I definately can't do, it wouldn't be Tanzania! Ofcourse, am happy to have EAC if it will be a federation of smart people, this automatically excludes you, Tanzanians. You are right, you deserve to be left alone to do the gosping and flatter your own stupidity...umoja, mshikamano, ujamaa, upendo hahahahaha!!
 
Even if I were to cry for a neighbour's house, which I definately can't do, it wouldn't be Tanzania! Ofcourse, am happy to have EAC if it will be a federation of smart people, this automatically excludes you, Tanzanians. You are right, you deserve to be left alone to do the gosping and flatter your own stupidity...umoja, mshikamano, ujamaa, upendo hahahahaha!

If all your country-men, wherever you are coming from thinks like you then we are in for big trouble: by the way, have you recently visited your psychiarist? You urgently need to!
 
Even if I were to cry for a neighbour's house, which I definately can't do, it wouldn't be Tanzania! Ofcourse, am happy to have EAC if it will be a federation of smart people, this automatically excludes you, Tanzanians. You are right, you deserve to be left alone to do the gosping and flatter your own stupidity...umoja, mshikamano, ujamaa, upendo hahahahaha!!

Come to think of it, am now convinced that all you need is a sleeping pill.
 
Kwa kuwaalika mashoga toka Amerika kuja kushiriki mkutano wa Kanisa Anglikana nchini mwetu, Kanisa hili limetuaibisha na kutuvunjia heshima Wa TZ kwani kwa mujibu wa Vitabu vitakatifu, ushoga ni ovu kuu na uchafu kimwili na kiakili kwani ni kinyume na tabia na maumbile ya binaadamu! hivyo Kanisa hili kufanyia mkutano huu hapa Jijini Dar na kuupa kipaumbele mada za mashoga na hata kuwapa fursa ya kuhudhuria Maaskofu na Mapadre mashoga na wasagaji kumetudhalilisha WaTZ na serikali yetu kwani kwa mujibu wa sheria za nchi yetu ushoga ni kosa la jinai!

Tunawasihi Waanglikana kutuomba radhi waTZ kwani mumefanya kosa la makusudi kuutangaza ushoga kupitia Kanisa lenu ktk nchi yetu isiyoruhusu ushoga na usagaji! hivi hamkuwa na mada zingine muhimu za kuzungumza isipokuwa ushoga! au kwa kuwa munapata sadaka na misaada toka ktk asasi za mashoga wa Kimarekani?
 
This forum needs people with brains, not people who sit in local brew bars and bring every nonsense here! So Burundi has lost two presidents since Kagame became a figure in the Great Lakes region??

Mr/s Editor, why is it allowed to insult other nationals' integrity and humanity; going even as far as insulting other countries' leaders (e.g calling President Kagame of Rwanda a terrorist) and you feel touched when we react to the rubish your countrymen are scattering allover the place??
 
Mr/s Editor, I think you need to think of droping some members here! Why are we using such a language?
 
Kadogoo! Mashoga hawakualikwa, wamejileta. Kanisa kama kanisa tunapaswa kuwashukuru kwa kuchagu atanzania kuwa mwenyeji wa mkutano wa Dunia nzima. Muhimu ni kujua klwamba Mashoga wanatafuta kukubaliwa ndani ya kanisa la Waanglikana!!!!!!
 
Mr/s Editor, I think you need to think of droping some members here! Why are we using such a language?


Thanks Nyaki,

I have been warning 3 times before I ban any pc from accessing this forum. We have our rules http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=226 and anyone abiding these rules is banned forever and can not access any of our forum parts.

Freedom of speech has it's end! We are not allowing any abusive language. We appreciate your input on this topic and hope our governments (Tz, Kenya and Uganda) are watching what their people are thinking of. Please allow them to read no insults in your posts.

Hope am well understood.
 
Hahaha Pinokyoooooooooooooo excellent! People got their homes yet crying for their neighbours'!
 
hi everybody

It is ok if we people of East Africa we have decided to have our own federation union but the problem which will rise is about equality in the working places. i think that there is now free movement of the people from one county to another if I'm not mistaken. It seems that there will be also a problem because one country might be so populated than other country due to the level of education of some people compared to the other one.

APART FROM ALL THAT nafurahia pia kwa sababu tutaweza kuwa strong like any other country in the world that are united together as one an d then they make it in life.
 
Nina ushauri mdogo sana na mimi ninafikiri utakuwa na manufaa sana.

ushauri.

Badala ya kukimbilia umoja wa kisiasa tunge kimbilia kwanza kutatua matatizo ambayo tunayo sisi Wanaafrica Mashariki( common problems to Tanzania, Kenya and Uganda) mfano wa matatizo hayo;

1. Malaria
kuutokomeza sio kutengeneza cloroquine nyingi ili tutakapo ugua tukazinunue kwenye hosipitali zetu bali tutafute mbinu ya pamoja ya kumtokomeza mdudu mbu. katika miaka ya nyuma kama miaka ishirini iliyo pita hapa Dar es Salaam palikuwa na kampeni ya kumwangamiza mdudu mbu na helikopta zilipita maeneo mbalimbali ya jiji kupuliza dawa. Kama ninakumbuka vizuri mpango huu ulikuwa wa majaribio na ulifadhiliwa na Japan. kama nina kumbuka vizuri vilevile wakazi wa jiji hatukuona mdudu mbu kwa muda usiopungua miezi mitatu. Sasa mawazo yangu kwa suala kama hili ni kukusanya nguvu za Africa mashariki kupamabana nalo.

2. Homa ya bonde la ufa

3. Ukimwi

4. Ukeketaji

NA MENGINE MENGI SANA TU.

Tukisha fanya hayo yote na kwa mafanikio sasa ndio tuanze kufikiria kuunda shirikisho. Mafanikio ya hayo yawe ndio kipimo cha kutuingiza sasa kwenye ndoa ya shirikisho. Malaria kama ilivyo homa ya bonde la ufa, Ukimwi na mengine yanarudisha nyuma sana maendeleo ya kiuchumi ya nchi zetu. Kutokomeza mojawapo tu tutakua tumesongambele sana kiuchumi na kijamii. hivyo ninarudi pale pale, tusiunganishe siasa kwa sasa.
 
sioni kama ni busara kwa tanzania kuamua kuingia ktk jumuiya nyingine wakati jumuiya ya tanzania{tanganyika na zanzibar} haijawahi kuwa shwari miaka mingi tu tangu ianze. naiita jumuiya kwa maana kwamba ni muungano pia ulifanyika kuitwa tanzania badala ya tanganyika na zanzibar. jamani tutatue yetu pekee kabla ya kukimbilia jumuiya, hakuna mtu wa nje atasaidia kutatua matatizo yetu ya ndani.
 
Mimi kwa mtazamo wangu kuhusu suala hili zima la kujiunga katika muungano wa shirikisho la Afrika mashariki kwa Tanzania sio busara kabisa kwasababu:

1. Unakuwa huwatendei haki wananchi kwakuwa punde tu litakapoanza kazi shirikisho hilo wananchi wa Tanzania watakosa Ajira kama wengi tujuavyo kwa majority ya watanzania hawana elimu ya kutosha ya kuwawezesha ku-compite katika soko la ajira.

2. Kutapelekea Tanzania kuwa na high population density ambayo itakuwa ni burden kubwa kwa serikali ya kibongo.pia kutapelekea exploitation of resources kama tujuavyo wengi wa Tanzania hatuna elimu ya kutosha na hasa sehemu za vijijini ambapo ndio shabaha ya wageni katika kujinyakulia resouces.

3. Kutapelekea kuongezeka kwa crimes mbalimbali Tanzania, kama tujuavyo punde tu shirikisho litakapoanza kazi yake rasmi wengi wageni watakimbilia Tanzania na sio nchi nyingine yeyote ile kwanza ni kwasababu ya kuwa na ardhi kubwa isiyo kaliwa na watu. Miongoni mwa vifungu vya makubaliano ni pamoja na free movement of the citizens among member countries hivyo basi wale wote majambazi kirahisi watajiingilia zao Tanzania kuongeza crimes mbalimbali.

Huo ni Mtazamo wangu tu...
 
Originally Posted by wambandwa
Dear JF Member,

I have a question: Will all the contracts signed prior to EAC / EAF formation be null and void? Nitoeni gizani jamani.

A lot of things are secret on this issue, very few individuals knows what is in the union constitution. That's why the whole idea is questioned and nobody wants to give clear answers.
 
mimi kwa mtazamo wangu kuhusu suala hili zima la kujiunga katika muungano wa shirikisho la Afrika mashariki kwa Tanzania sio busara kabisa kwasababu:

1. Unakuwa huwatendei haki wananchi kwakuwa punde tu litakapoanza kazi shirikisho hilo wananchi wa Tanzania watakosa Ajira kama wengi tujuavyo kwa majority ya watanzania hawana elimu ya kutosha ya kuwawezesha ku-compite katika soko la ajira.


Huo ni Mtazamo wangu tu...

Hivi kwa mfano sasa hivi shule zetu za sekondari hasa huku vijijini zilipofunguliwa kama njugu hazina walimu, kuna ubaya gani wakenya au waganda wakaja tukawapa kazi wakafundisha vija wetu?

Ni ukweli pia walimu wetu hawajui kufundisha kiingereza, wakati huo huo wazazi wanapenda sana watoto wao wajue kiingereza, kuna ubaya gani hao wakenya na waganda wakija wakawanoa vijana wetu nao? Tatu, hata sasa hivi tulipo hapa wakenya na waganda na hata wazungu wanaajiriwa sana nchini mwetu. Pita kwenye mabenki ya nje uone kuna foreigners kiasi gani. Kwa nini inakuwa nongwa kwa wakenya na waganda tu?

Nami ni mtazamo wangu tu!
 
Tumezoea kuona 'miungano'mingi ktk Afrika,iwe ya kisiasa au kiuchumi kama wanavyodai 'wao'.Lakina yote hii huigwa.Mfano mzuri ni AU inafanana sana na EU,sasa je hili shirikisho tumeiga wapi!?

Ukiangalia ktk EU ni kweli wameungana lakini ile habari ya kuvunja mipaka hiyo haiingii akilini kabisa.Na kama hili shirikisho ni la kwa faida ya wananchi wa nchi zote tatu sijui tano ni kwa nini liharakishwe wakati wananchi wenyewe tupo gizani?Hii anaonesha wazi kuwa kuna wachache wanaoona kuna 'NEEMA'ktk shirikisho hili na hivyo inabidi walichangamkie kabla hatujashtuka(wananchi)lakini nahisi Watanzania TUMESHTUKA!!!

Inawezekana nalikataa shirikisho hili kwa sababu silielewi(na kweli silielewi)lakini kwanini tulikimbilie wakati mwananchi wa kawaida kama mimi tena aishiye mjini silielewi je aliye kijijini itakuwaje!?

Haina haja ya kilikimbilia shirikisho hili kwani kwa wengi wetu ni 'BADO'!Huo mchakato(sio uharakishwaji) wake uwe endelevu na elimu zaidi itolewe.Hata ikichukua miaka miamoja ni bora kwani tutajua ni nini tunachotaka kufanya.
Huu ni mtazamo wangu pia. I
 
If we have a union and the members have not understood the constitution or the consititution is hiden to members for some reason, we are in big trouble.
 
Back
Top Bottom