Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
nimesoma mbili tatu...tamu sana...good stuff...ila mchanueni huyu bro wenu Kilam..sijui ni teenager au?😀😀 ana akili ndogo sana...Umeona lakini Lyrics hizo? Umezisoma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimesoma mbili tatu...tamu sana...good stuff...ila mchanueni huyu bro wenu Kilam..sijui ni teenager au?😀😀 ana akili ndogo sana...Umeona lakini Lyrics hizo? Umezisoma?
kuna wenye wanajaribu...lakini wengi wao wana imba takataka...Mimi sio mpenzi sana wa music but nikisikia mziki wa Congo najua huu ni Congo, Nigeria unajua, South afrika ukipigwa unajua hii ni mziki wa bondeni. Lakini mziki wa Kenya hakuna identity kuna wenyewe kuimba Kikuyu, wengine kuigiza wazungu, wengine wanaimba ki pwani, wengine kikamba hao ndio nikisikia hata na redio nazima yanii kuna.miziki hata ikipigwa mbwa anakimbikia nimeisikia Kenya looh.
Nitakuletea nyingi tu hapa. Hapa TZ tupo na zaidi ya 100 ya wasanii wa Bongo Flava tena wapo Active.nimesoma mbili tatu...tamu sana...good stuff
Wapo wanaojaribu mi kwa Kenya afadhali nisikilize muziki ya wajaluo na waluhya kama wanaimba kilugha ila hao wengine kwa kweli hmmmkuna wenye wanajaribu...lakini wengi wao wana imba takataka...nakubaliana nawe hapo...
hahaha...shida yao kwanza hawajui lugha...ndio ubaya wa kuchanganya lugha nyingi Kikuyu, Sheng', Kiswahili, Kiingereza nk...pili huwa wanajaribu kuwa kama wamarekani...ona tu Khaligraph...on the other hand, Nigerians, Tanzanians and SA try to be themselves..thats why they do great...Kenya tuko bad sana..Wapo wanaojaribu mi kwa Kenya afadhali nisikilize muziki ya wajaluo na waluhya kama wanaimba kilugha ila hao wengine kwa kweli hmmm
Yap Tz vs Kenya ts like US vs UK, unajua namaanisha nnhehe...there we go again....making everything about Kenya vs Tz...some ppl need to grow up...
nimesoma mbili tatu...tamu sana...good stuff...ila mchanueni huyu bro wenu Kilam..sijui ni teenager au?😀😀 ana akili ndogo sana...
wakati mngine huwa tukija hapa tunauliza maswali bila ya nia mbaya wala sio ushabik...kuna jamaa mwingine anaitwa Kilam...akishamwona mkenya dah, kinywa chake kinabadilika na kuwa washing machine.....anamwaga povu kumwaga😀😀😀😀Yap Tz vs Kenya ts like US vs UK, unajua namaanisha nn
wa mombasa nao wako poa kidogo...kwanza hizi za taarab...lakini wengine bado sanaMuziki wa kenya ulizaliwa Mombasa ukafia Nairobi.
wakati mngine huwa tukija hapa tunauliza maswali bila ya nia mbaya wala sio ushabik...kuna jamaa mwingine anaitwa Kilam...akishamwona mkenya dah, kinywa chake kinabadilika na kuwa washing machine.....anamwaga povu kumwaga😀😀😀😀
[emoji14] [emoji13] [emoji14] [emoji12] [emoji14] [emoji14] [emoji13] [emoji14] [emoji13]Karibuni Sana.
Katika thread hii nitaongelea uwezo na nguvu ya muziki wa kitanzania katika pwani hii ya mashariki ya Africa. Nguvu na mabadiliko ya kijamii mara nyingi yanahamasishwa na muziki.
Uzuri wa muziki ni mpangilio wa sauti, vyombo vya muziki na fasihi iliyojificha ndani ya muziki. Kwa upande wa pwani hii ya mashariki, Tanzania ndio makao makuu ya mziki mtamu na wa kuvutia. Mziki wa mwambao huu wa pwani ya mashariki umebatizwa kwa jina la Bongo Flava.
Bongo Flava limetokana na neno Ubongo au kwa maana nyingine akili, kwamba jiji la Dar es salaam linaitwa Bongo. Kwamba Dar es salaam inawakilisha Tanzania. Kwahiyo muziki wa Bongo Flava ni muziki wa akili.
Mashairi ya Muziki wa Bongo Flava mara nyingi yanakuwa katika mpangilio wa vina huku yakijaa maneno ya tafsida na tamathali za semi mbalimbali. Nahau, misemo, misamiati na methali huwa zinaunganishwa katika mashairi ya muziki wa bongo flava ili kunogesha na kufanya wimbo upendeze.
Sauti nyororo na za kubamba za vijana wa bongo zinafanya muziki huu uibuke kidedea na kutetea pwani ya mashariki mwa africa kwa hapa africa na dunia nzima. Mashairi mengi ya Bongo flava yanaandikwa kwa lugha ya kiswahili; kitendo hicho kinawafanya wale ambao hawajui kiswahili wapate hamasa ya kujifunza kiswahili kwa kunguvu ikizingatiwa kwamba kiswahili ni lugha adhimu duniani. Inasadikika kwamba lugha hii ndiyo Adam na Eva walikuwa wakiongea wakiwa bustani ya Aden. Baadhi ya maneno ya kiswahili yanasadiifu ukweli huu kwamba kiswahili ndiyo lugha ya kwanza ya binadamu.
Katika thread hii nitajikita kuonesha ubora wa sauti nzuri za watu wa tanzania katika muziki. Nitaonesha mashairi mbali mbali na kuweka video tofauti tofauti kisha kuzielezea.
Zaidi ya kuwa muziki ni burudani, kuelimisha na kuliwaza, mziki umekuwa biashara na vijana wengi wamekuwa wakijiingizia kipato.
Mungu ibariki Bogo Flava, Mungu Ibariki Tanzania.
Karibuni wenzangu kutoka Kenya muweze kujifunza hapa badala ya kuanza kutoa matusi.
"Usivione Vyaelea Vimeundwa"