I see! Basi kutakuwa na tatizo... I hope wahusika wataliona mapema; ili hatimae ama yabaki majina 4 (kwa kuondoa la mwisho bila replacement) au kuongeza jina lingine ku-replace hilo jina la mwisho!Mkuu mimi nimeweka kama nilivyopokea. Wahusika wanaweza kutolea ufafanuzi.