EATV awards 2016 nominees: Hatua ya kupiga kura

Huo mkataba unawahusu nini wakina hormonize na wenzie???
Haijapendeza kujitenga na shuhuli ya home tena hawa ambao ndo wanatoka
Jamani mbona kila baya mnawapa WCB? huwajui wabongo harmonize na raymond wangeshiriki wakashinda ungesikia matusi kama bosi wao ndio ameshawishi wapewe!
Nafikiri kwa hili wametumia busara sana kuziacha halafu mwakani ndio washiriki
By the way wengi sana na waliofanya vizuri hawapo mfano Baraka da prince,nick wa pili,joh makini
Ila nafikiri utaratibu wa kujipendekeza ndio mbovu
 
Wasanii kutoka WCB wote hawakutaka kushiriki
Diamond ni baloza wa vodacom na vodacom ndo wadhamin wa hizi tuzo
Jamaa kijiweka pembeni kuzuia maneno ya kuleta upendeleo kwake
Umeenda Mbali sanaaaaa.....!!!! Hizi tuzo ni za kujaza Form Diamon na WCB nZIMA wapo Buzy na Show watajaza Form sa Ngapi???? Msanii anajipendekeza hiyo ndo nini yupo bzy na Africa Tour!!! Wenye uchu na ambao hawana ya kufanya walipata mda wa kujipendekeza
 
wasanii wengi wakubwa kupuuza tuzo za ndani ya nchi kuna jambo la kujifunza.....any way inaweza kuwa mwanzo mzuri
Hamna aliepuuza sema utaratibu uliotumiwa na eatv sijawah kuusikia sehemu yeyeto ile duniani, yani eti wasanii watume wenyewe majina yao na kazi wanayotaka iwe nominated huo si upuuz kabsa kwann wasingekaa wenyewe eatv na kuchagua kazi nzur na iwe nominated then waseme watu wapige kura kupata mshndi, utaratibu mbovu ndo umepelekea hayo
 
sasa msanii bora akiwa diamond
wale team kuonewa si watatukana eatv kila siku
Msanii Bora Tanzania na Afrika Mashariki anajulikana!!!

Sisi shule msingi alie kuwa anashika nafasi ya kwanza kila mtihani basi Siku ya mtihani akiumwa na asifanye yule anayemfuata alikuwa anafurahia sanaaaaa!!!! Kwasasa tanzania hamna video bora Bora kama KIDOGO! HAMNA MSANII BORA KAMA DIAMOND OVER!

ASIE TAKA ANYE
 
Kuna kigezo kimoja kinasema kazi yako unaoipambanisha inabidi iwe imetoka ndani ya kipindi flani kitu ambacho wengi wa wasanii wa wasafi hawafit. nyimbo zao nyingi nzuri ni za hivi karibuni mwaka huu
 
Huo mkataba unawahusu nini wakina hormonize na wenzie???
Haijapendeza kujitenga na shuhuli ya home tena hawa ambao ndo wanatoka
EATV ndo walikosea wao ilitakiwa Wadau wa mziki wapendekeza majina nani anafaa wapi na kwanini sio Msanii aanze kujaza Formu kama anafaNya Registration
 
Kuna kigezo kimoja kinasema kazi yako unaoipambanisha inabidi iwe imetoka ndani ya kipindi flani kitu ambacho wengi wa wasanii wa wasafi hawafit. nyimbo zao nyingi nzuri ni za hivi karibuni mwaka huu
sio kweli harmonize bado ilitoka mwezi wa tatu kama sijakosea akafuata raymond huku kwetu ilikua kabla ya mwezi wa sita

Ila kwa mtazamo wangu wametumia busara kuziacha kwa mwaka huu ,kama ingetokea wote wakawa nominated matusi yasingekosekana
 
UTABIRI WANGU:
-Mwanamuziki KE..Vmoney
-Mwanamuziki ME..Ali Kiba
-Wimbo bora..Ben pol moyo mashine
-Video bora..Lady JD ndindindi
-Kikundi bora..Navy Kenzo
-Chipukizi..Man fongo
-Muigizaji ME..Gabo
 
WCB sahv hawataki tuzo za kichoko kabisa.......

Kama wangechukua fomu hapo asingepona mtu kabisa........

NI MTAZAMO WANGU......
 
EATV WASAFI AWARDS IMOOOOOOOOOOOO....................................!!!!!!!!!!!!!!!!! πŸ˜±πŸ˜±πŸ™„πŸ˜›πŸ˜€πŸ™πŸ˜‘
 
Wasanii kutoka WCB wote hawakutaka kushiriki
Diamond ni baloza wa vodacom na vodacom ndo wadhamin wa hizi tuzo
Jamaa kijiweka pembeni kuzuia maneno ya kuleta upendeleo kwake
Kweli maana Angekimbiza Tuu wabongo Tungngeanza Mboyoyo Mingi kama Kawaida Yetu
 
Kwa hiyo Kiba kachukua fomu kwenye shindano hili??!!
Kweli Kiba kachanganyikiwa
 
labda...
 
Kwa hiyo Kiba kachukua fomu kwenye shindano hili??!!
Kweli Kiba kachanganyikiwa
huo ndio ulikuwa utaratibu ilikuwa wewe mwenyewe unachukua fomu na si kiba pekee ni kila msanii aliyeshiriki humo alichukua fomu.
 
hakika
UTABIRI WANGU:
-Mwanamuziki KE..Vmoney
-Mwanamuziki ME..Ali Kiba
-Wimbo bora..Ben pol moyo mashine
-Video bora..Lady JD ndindindi
-Kikundi bora..Navy Kenzo
-Chipukizi..Man fongo
-Muigizaji ME..Gabo
 
lakini mbona wasanii wengine wamechukua fomu kwani inapunguza nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…