Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
TUZO za EATV zimeanzishwa mwaka 2016 na kampuni ya East Africa Television na Radio, zitafanyika kwa mara ya kwanza tarehe 10/12/2016 jijini Dar Es Salaam,Tanzania.
Tuzo hizi zinashirikisha wasanii wa muziki na filamu kutoka nchi za Afrika Mashariki na zitakuwa zikifanyika kila mwaka, huku vipengele vya tuzo vikiongezeka kila mwaka kutoka vipengele kumi vinavyoshindaniwa mwaka huu.
Kuanzishwa kwa tuzo hizi kuna lengo la kuthamini wasanii na kuleta ushindani kwenye sekta hii ya sanaa kwenye ukanda huu wa Afrika Mashariki.
Kwenye tuzo za mwaka huu kutakuwepo na jumla ya vipengele kumi. Vipengele sita vitashindaniwa na wasanii wa muziki, Vipengele vitatu vitashindaniwa na wasanii wa filamu na kipengele kimoja kitakua ni tuzo ya heshima.
Vipengele hivyo kwa upande wa muziki ni mwanamuziki bora wa kiume, mwanamuziki bora wa kike, mwanamuziki bora Chipukizi, kundi bora la mwaka, Video bora ya mwaka na Wimbo bora wa mwaka.
Kwa upande wa Filamu vipengele vitakavyoshindaniwa ni Filamu bora ya Mwaka, Muigizaji Bora wa Kiume na Muigizaji Bora wa kike.
Tuzo za EATV 2016 zinafanyika kwa udhamini wa Coca Cola na Vodacom Tanzania .
Utofauti wa tunzo hizi na zingine ni kwamba kwenye hizi msanii mwenyewe ndio anajipendekeza kuwania tunzo fulani kwenye kipengele fulani huku akiambatanisha na kazi yake.
Pia msanii anayefuzu kushiriki tunzo hizi lazima awe amesajiliwa na Basata au bodi ya sanaa ya nchi husika africa mashariki.
EATV Awards imeanza na vipengele 10 ambavyo ni:-
1. Mwanamuziki bora wa kiume
2.Mwanamuziki bora wa kike
3. Mwanamuziki bora chipukizi
4. Kundi bora la muziki
5. Video bora ya muziki
6.Wimbo bora wa mwaka
Kwa upande wa filamu ni
7. Muigizaji bora wa kiume
8. Muigizaji bora wa kike
9. Filamu bora ya mwaka
Jana yaliwekwa wazi majina ya wasanii kutoka vipengele viwili ambayo yamepita kuwania tuzo husika kila kipengele wamepita wasanii watano ambao watakwenda kupigiwa kura nayo ni Muigizaji bora wa kiume wa kiume na Msanii bora chipukizi.
1.MUIGIZAJI BORA WA KIUME
Nominees:
2.MWANAMUZIKI BORA CHIPUKIZI
Nominees:
Nominees:
Nominees:
Nominees
. Navy Kenzo
.Mashauzi Classic
.Team mistari(Kenya)
.Sauti sol (Kenya)
.Wakali Wao
6.VIDEO BORA YA MWAKA
Nominees
. Namjua-Shetta
.Njongereza-Navio
.Aje-Alikiba
.Don Bother- John Makini
.Ndindindi-Lady Jayeed
7. MWANAMUZIKI BORA WA KIUME
Baada ya kutangazwa kwa vipengele hivyo tayari zoezi upigaji kura limefunguliwa kuanzia leo saa sita usiku. unaweza piaga kura yako kwa njia ya simu kwa kutuma code ya msanii kwa kipengele husika kwenda namba 15777 pia kuana njia ya mtandao kupitia tovuti ya eatv.tv/awards.
Tuzo hizi zinashirikisha wasanii wa muziki na filamu kutoka nchi za Afrika Mashariki na zitakuwa zikifanyika kila mwaka, huku vipengele vya tuzo vikiongezeka kila mwaka kutoka vipengele kumi vinavyoshindaniwa mwaka huu.
Kuanzishwa kwa tuzo hizi kuna lengo la kuthamini wasanii na kuleta ushindani kwenye sekta hii ya sanaa kwenye ukanda huu wa Afrika Mashariki.
Kwenye tuzo za mwaka huu kutakuwepo na jumla ya vipengele kumi. Vipengele sita vitashindaniwa na wasanii wa muziki, Vipengele vitatu vitashindaniwa na wasanii wa filamu na kipengele kimoja kitakua ni tuzo ya heshima.
Vipengele hivyo kwa upande wa muziki ni mwanamuziki bora wa kiume, mwanamuziki bora wa kike, mwanamuziki bora Chipukizi, kundi bora la mwaka, Video bora ya mwaka na Wimbo bora wa mwaka.
Kwa upande wa Filamu vipengele vitakavyoshindaniwa ni Filamu bora ya Mwaka, Muigizaji Bora wa Kiume na Muigizaji Bora wa kike.
Tuzo za EATV 2016 zinafanyika kwa udhamini wa Coca Cola na Vodacom Tanzania .
Utofauti wa tunzo hizi na zingine ni kwamba kwenye hizi msanii mwenyewe ndio anajipendekeza kuwania tunzo fulani kwenye kipengele fulani huku akiambatanisha na kazi yake.
Pia msanii anayefuzu kushiriki tunzo hizi lazima awe amesajiliwa na Basata au bodi ya sanaa ya nchi husika africa mashariki.
EATV Awards imeanza na vipengele 10 ambavyo ni:-
1. Mwanamuziki bora wa kiume
2.Mwanamuziki bora wa kike
3. Mwanamuziki bora chipukizi
4. Kundi bora la muziki
5. Video bora ya muziki
6.Wimbo bora wa mwaka
Kwa upande wa filamu ni
7. Muigizaji bora wa kiume
8. Muigizaji bora wa kike
9. Filamu bora ya mwaka
Jana yaliwekwa wazi majina ya wasanii kutoka vipengele viwili ambayo yamepita kuwania tuzo husika kila kipengele wamepita wasanii watano ambao watakwenda kupigiwa kura nayo ni Muigizaji bora wa kiume wa kiume na Msanii bora chipukizi.
1.MUIGIZAJI BORA WA KIUME
Nominees:
-
Meya Shabani Hamisi - Facebook Profile
Salim Ahmed (Gabo) - Safari ya Gwalu
Daudi Michael Tairo (Duma) - Mfadhili Wangu
Dotto Hussein Matotola - Likichwa Lala
Saidi Ally Mkukila - Ndugu wa mume
2.MWANAMUZIKI BORA CHIPUKIZI
Nominees:
Amani Hamisi (Man Fongo) - Hainaga Ushemeji
Feza Kessy - Sanuka
Rukia Jumbe (Rucky Baby) - Give me some more
Mayunga Nalimi (Mayunga) - Nice Couple
Rashid Said (Bright) - Nitunzie
Nominees:
Chuchu Hansy - Laura
Rachel Bitulo Njingo - Nimekosea wapi
Frida Kajala Masanja - Hii ni laana
Khadija Ally - 3 Days
Nominees:
Facebook Profile
Safari ya Gwalu
Mfadhili Wangu
Hii ni Laana
Nimekosea Wapi?
Nominees
. Navy Kenzo
.Mashauzi Classic
.Team mistari(Kenya)
.Sauti sol (Kenya)
.Wakali Wao
6.VIDEO BORA YA MWAKA
Nominees
. Namjua-Shetta
.Njongereza-Navio
.Aje-Alikiba
.Don Bother- John Makini
.Ndindindi-Lady Jayeed
7. MWANAMUZIKI BORA WA KIUME
- Alikiba
- Ben pol
- Mwana FA
- Sheta
- G nako.
- Vannesa Mdee
- Lady jaydee
- Lina Sanga
- Rubi
- Lilian Mbabazi(Uganda)
- Moyo Mashine-Ben pol
- Aje-Alikiba
- Ndindindi-Lady jaydee
- Don Bother- John Makini
- Kamatia Chini-Navy kenzo.
- Inawezekana hakutaka kushiriki hivyo hakuchukua fomu
- Inawezekana hajasajiliwa BASATA hivyo hana vigezo vya kushiriki
- Inawezekana hakukidhi vigezo vya kuwa kwenye hivyo vipengele.
Baada ya kutangazwa kwa vipengele hivyo tayari zoezi upigaji kura limefunguliwa kuanzia leo saa sita usiku. unaweza piaga kura yako kwa njia ya simu kwa kutuma code ya msanii kwa kipengele husika kwenda namba 15777 pia kuana njia ya mtandao kupitia tovuti ya eatv.tv/awards.