EATV awards 2016 nominees: Hatua ya kupiga kura

EATV awards 2016 nominees: Hatua ya kupiga kura

EATV wamefanya Makosa makubwa sanaaaaaa!!!!

Ujue huwezi toa Form ya kuomba kuwa katika category fulani ya tuzo! Hayo ni makosa makubwa ambayo EATV Wameyafanyaa!!

Wasanii sio wao waombe kuwa katika kinyang'anyiro hapanaa wao waangalie nani anafaa na nani hafai ndio watoe majina lakini sio kuwa msanii fulani aombee!!!

Kiupaande wangu na kimtazamo watakao kuwa katika hizi tuzo basi wao wana uchu sana na tuzo!! Angalia majina yaa wasanii chipukizi hujamuona Harmonize,Rayvanny wala nani walio ingie wote ni kweli wana uchu na tuzo ndo maana waliomba!!!

Sijawahi ona duniani popote pale msanii anaomba kuwa katika category fulani Only in Tanzania!!! Madhara ya hii kitu ni watu wasio stahili watapewa na wanao stahili watabaki bilaa tuzo!

Pia tuzo zitapoteza mvuto! Labda kipindi cha show walizimishe wasanii wakubwa wawepo ila tofauti na hapo tuzo zishapoteza mvuto!!

Kingine tuzo zinatolewa tarehe 10 mwezi ujao hadi leo tarehe 9 vipengele bado havijatoka msanii atapigiwa kura sa ngapi na lini?

Eatv wamekurupuka wajipangee kuna kipengele cha tuzo ya heshima waweke wazi kuwa nacho msanii anaombaa au wao wanaamua kuwa tuzo ya heshima tumpe fulani kulingana na alicho fanya au inakuwaje???

Tanzania kuendelea ni Bado sanaaa hasa hii sekta ya mziki naomba tumuachie tuu Mond na wasanii wengine watoa tuzo wamefail sanaaaaaa

Huwezi omba tuzo kama unaomba kujiunga na ST.Fulani kidato cha kwanza! Msanii ajaze Form aombe tuzo aje aombe kura hivi hawa wamechanganyikiwa?

POOR EATV AWARDS!!! POOOR POOOR POOOR ITS NON-SENSE
 
kumbe na wewe uliliona ee?

yaani EATV nimewakubali maana masikio yalishachoka kusikia majina ya kina diamond, wema,n.k
wamefanya vyema sana na nimependa kwenye vipengele hivyo vya filamu japo majina ya kina Diamond hayakwepeki kabisa kuna baadhi ya category lazima yawepo
 
EATV wamefanya Makosa makubwa sanaaaaaa!!!!

Ujue huwezi toa Form ya kuomba kuwa katika category fulani ya tuzo! Hayo ni makosa makubwa ambayo EATV Wameyafanyaa!!

Wasanii sio wao waombe kuwa katika kinyang'anyiro hapanaa wao waangalie nani anafaa na nani hafai ndio watoe majina lakini sio kuwa msanii fulani aombee!!!

Kiupaande wangu na kimtazamo watakao kuwa katika hizi tuzo basi wao wana uchu sana na tuzo!! Angalia majina yaa wasanii chipukizi hujamuona Harmonize,Rayvanny wala nani walio ingie wote ni kweli wana uchu na tuzo ndo maana waliomba!!!

Sijawahi ona duniani popote pale msanii anaomba kuwa katika category fulani Only in Tanzania!!! Madhara ya hii kitu ni watu wasio stahili watapewa na wanao stahili watabaki bilaa tuzo!

Pia tuzo zitapoteza mvuto! Labda kipindi cha show walizimishe wasanii wakubwa wawepo ila tofauti na hapo tuzo zishapoteza mvuto!!

Kingine tuzo zinatolewa tarehe 10 mwezi ujao hadi leo tarehe 9 vipengele bado havijatoka msanii atapigiwa kura sa ngapi na lini?

Eatv wamekurupuka wajipangee kuna kipengele cha tuzo ya heshima waweke wazi kuwa nacho msanii anaombaa au wao wanaamua kuwa tuzo ya heshima tumpe fulani kulingana na alicho fanya au inakuwaje???

Tanzania kuendelea ni Bado sanaaa hasa hii sekta ya mziki naomba tumuachie tuu Mond na wasanii wengine watoa tuzo wamefail sanaaaaaa

Huwezi omba tuzo kama unaomba kujiunga na ST.Fulani kidato cha kwanza! Msanii ajaze Form aombe tuzo aje aombe kura hivi hawa wamechanganyikiwa?


POOR EATV AWARDS!!! POOOR POOOR POOOR ITS NON-SENSE
umekimbilian kuongea kabla ya kutafakari bora ungeuliza kwanza.... msanii anajipendekeza kushiriki kwenye category fulani halafu kuna kamati ilikaa na kupitia vigezo na masharti kama mtu fulani anafaa au lah ndio mwisho wa siku wakaja na majina matano kila kipengele...sio kwamba ukijipendekeza basi umepita....bali kuna vigezo na masharti.
Hapo kwenye blue napo umekurupuka jifunze kuuliza kabla ya kufanya hitimisho...kuna mwezi mzima wa kupiga kula tunzo zinatolewa mwezi wa 12 tarehe 10 na upigaji kura unaanza jumatatu...

Hapo sio kwamba hujawai kuona duniani bali ulitaka tunzo zote zifanane mchakato wake ndio uone ziko vizuri.... hapo sio kwamba ukijipendekeza ndio umepita bali vigezo na masharti kuzingatiwa....halafu swala la mtu kustahili au kutostahili ni maono yako tuu.

Bado huna hoja za msingi bali unashangaa lakini ukiulizwa hoja unasema haijawai kutokea duniani...
Hata hivyo watanzania ni mabingwa wa kulalamika na kutoa lawama.
Wakifanya wanje ndio mnaona ubunifu...

Hata mnapo omba kazi huwa mnapeleka maombi wenyewe na kuchambuliwa kama mnakidhi vigezo na wanao kidhi hupewa kazi.
Ulicho nifurahisha hakuna kizuri ulicho ona kwenye tuzo hizi.
Hoja zako ziko wapi?
 
kwani wamemaliza vipengele vyote? diamond ni kama maji usipo yanywa utaoga, au utafulia etc
Labda awe ameamua kupotezea
hiki kimbunga kipitilie mbali ungejua mimi ni team king kiba usingeni quote kwa kumtaja huyo.
 
Naona umeanzisha uzi hili kumpiga majungu king Kiba.... Sijui uvccm kwanini mnapenda majungu
 
hahahaa! mliziba ule tunatokea huku wallah Mungu SI Salam SK, nimekupenda bureeee.
 
sijaelewa process nzima ya ugawaji wa hizi tuzo.. hazijanisisimua
 
EATV wamefanya Makosa makubwa sanaaaaaa!!!!

Ujue huwezi toa Form ya kuomba kuwa katika category fulani ya tuzo! Hayo ni makosa makubwa ambayo EATV Wameyafanyaa!!

Wasanii sio wao waombe kuwa katika kinyang'anyiro hapanaa wao waangalie nani anafaa na nani hafai ndio watoe majina lakini sio kuwa msanii fulani aombee!!!

Kiupaande wangu na kimtazamo watakao kuwa katika hizi tuzo basi wao wana uchu sana na tuzo!! Angalia majina yaa wasanii chipukizi hujamuona Harmonize,Rayvanny wala nani walio ingie wote ni kweli wana uchu na tuzo ndo maana waliomba!!!

Sijawahi ona duniani popote pale msanii anaomba kuwa katika category fulani Only in Tanzania!!! Madhara ya hii kitu ni watu wasio stahili watapewa na wanao stahili watabaki bilaa tuzo!

Pia tuzo zitapoteza mvuto! Labda kipindi cha show walizimishe wasanii wakubwa wawepo ila tofauti na hapo tuzo zishapoteza mvuto!!

Kingine tuzo zinatolewa tarehe 10 mwezi ujao hadi leo tarehe 9 vipengele bado havijatoka msanii atapigiwa kura sa ngapi na lini?

Eatv wamekurupuka wajipangee kuna kipengele cha tuzo ya heshima waweke wazi kuwa nacho msanii anaombaa au wao wanaamua kuwa tuzo ya heshima tumpe fulani kulingana na alicho fanya au inakuwaje???

Tanzania kuendelea ni Bado sanaaa hasa hii sekta ya mziki naomba tumuachie tuu Mond na wasanii wengine watoa tuzo wamefail sanaaaaaa

Huwezi omba tuzo kama unaomba kujiunga na ST.Fulani kidato cha kwanza! Msanii ajaze Form aombe tuzo aje aombe kura hivi hawa wamechanganyikiwa?

POOR EATV AWARDS!!! POOOR POOOR POOOR ITS NON-SENSE
Kwa hiyo mkuu umemaindi kwa kuwa Rayvanny na Harmonise Hawapo?

Hao sio watoto wadogo huo ni utaratibu wao EATV na walitangaza wanaotaka kuwemo waende kuchukua form au kujaza form online watu hawakwenda kwa sababu zao wewe Ulitaka wawashikie bakora?!
 
TUZO za EATV zimeanzishwa mwaka 2016 na kampuni ya East Africa Television na Radio, zitafanyika kwa mara ya kwanza tarehe 10/12/2016 jijini Dar Es Salaam,Tanzania.

Tuzo hizi zinashirikisha wasanii wa muziki na filamu kutoka nchi za Afrika Mashariki na zitakuwa zikifanyika kila mwaka, huku vipengele vya tuzo vikiongezeka kila mwaka kutoka vipengele kumi vinavyoshindaniwa mwaka huu.

Kuanzishwa kwa tuzo hizi kuna lengo la kuthamini wasanii na kuleta ushindani kwenye sekta hii ya sanaa kwenye ukanda huu wa Afrika Mashariki.

Kwenye tuzo za mwaka huu kutakuwepo na jumla ya vipengele kumi. Vipengele sita vitashindaniwa na wasanii wa muziki, Vipengele vitatu vitashindaniwa na wasanii wa filamu na kipengele kimoja kitakua ni tuzo ya heshima.

Vipengele hivyo kwa upande wa muziki ni mwanamuziki bora wa kiume, mwanamuziki bora wa kike, mwanamuziki bora Chipukizi, kundi bora la mwaka, Video bora ya mwaka na Wimbo bora wa mwaka.
Kwa upande wa Filamu vipengele vitakavyoshindaniwa ni Filamu bora ya Mwaka, Muigizaji Bora wa Kiume na Muigizaji Bora wa kike.
Tuzo za EATV 2016 zinafanyika kwa udhamini wa Coca Cola na Vodacom Tanzania .

Utofauti wa tunzo hizi na zingine ni kwamba kwenye hizi msanii mwenyewe ndio anajipendekeza kuwania tunzo fulani kwenye kipengele fulani huku akiambatanisha na kazi yake.
Pia msanii anayefuzu kushiriki tunzo hizi lazima awe amesajiliwa na Basata au bodi ya sanaa ya nchi husika africa mashariki.
EATV Awards imeanza na vipengele 10 ambavyo ni:-

1. Mwanamuziki bora wa kiume

2.Mwanamuziki bora wa kike

3. Mwanamuziki bora chipukizi

4. Kundi bora la muziki

5. Video bora ya muziki

6.Wimbo bora wa mwaka

Kwa upande wa filamu ni

7. Muigizaji bora wa kiume

8. Muigizaji bora wa kike

9. Filamu bora ya mwaka

Jana yaliwekwa wazi majina ya wasanii kutoka vipengele viwili ambayo yamepita kuwania tuzo husika kila kipengele wamepita wasanii watano ambao watakwenda kupigiwa kura nayo ni Muigizaji bora wa kiume wa kiume na Msanii bora chipukizi.

1.MUIGIZAJI BORA WA KIUME
Nominees:
  • meya.png

    Meya Shabani Hamisi - Facebook Profile
  • gabo1.png

    Salim Ahmed (Gabo) - Safari ya Gwalu
  • duma.png

    Daudi Michael Tairo (Duma) - Mfadhili Wangu
  • dotto.png

    Dotto Hussein Matotola - Likichwa Lala
  • mkukila.png

    Saidi Ally Mkukila - Ndugu wa mume



2.MWANAMUZIKI BORA CHIPUKIZI
Nominees:

  • manfongo.png

    Amani Hamisi (Man Fongo) - Hainaga Ushemeji
  • feza.png

    Feza Kessy - Sanuka
  • rucky.png

    Rukia Jumbe (Rucky Baby) - Give me some more
  • mayunga.png

    Mayunga Nalimi (Mayunga) - Nice Couple
  • bright.png

    Rashid Said (Bright) - Nitunzie
3.MUIGIZAJI BORA WA KIKE
Nominees:
  • chuchu.png

    Chuchu Hansy - Laura
  • rachel.png

    Rachel Bitulo Njingo - Nimekosea wapi
  • kajala.png

    Frida Kajala Masanja - Hii ni laana
  • khadija_0.png

    Khadija Ally - 3 Days
4.FILAMU BORA YA MWAKA
Nominees:
  • facebook_3.png

    Facebook Profile
  • gabo.png

    Safari ya Gwalu
  • mfadhili.png

    Mfadhili Wangu
  • laana.png

    Hii ni Laana
  • wapi.png

    Nimekosea Wapi?
Itaendelea........
Mbona sijaona KENYA, UGANDA, BURUNDI ktk hicho kipengele huku ukisema ni cha EAST AFRICA COUNTRIES
 
Mbona sijaona KENYA, UGANDA, BURUNDI ktk hicho kipengele huku ukisema ni cha EAST AFRICA COUNTRIES

  • kenzo.png

    Navy Kenzo
  • mashauri.png

    Mashauzi Classic
  • mistari.png

    Team Mistari (Kenya)
  • sauti.png

    Sauti Sol (Kenya)
  • wakali.png

    Wakali Wao
VIDEO BORA YA MWAKA
Nominees:
  • shetta1.png

    Namjua - Shetta
  • njogereza.png

    Njogereza - Navio
  • ali_0.png

    Aje - Ali Kiba
  • makini_0.png

    Don't Bother - Joh Makini
  • jide.png

    NdiNdiNdi - Joh Makini
 
Back
Top Bottom