ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
EATV wamefanya Makosa makubwa sanaaaaaa!!!!
Ujue huwezi toa Form ya kuomba kuwa katika category fulani ya tuzo! Hayo ni makosa makubwa ambayo EATV Wameyafanyaa!!
Wasanii sio wao waombe kuwa katika kinyang'anyiro hapanaa wao waangalie nani anafaa na nani hafai ndio watoe majina lakini sio kuwa msanii fulani aombee!!!
Kiupaande wangu na kimtazamo watakao kuwa katika hizi tuzo basi wao wana uchu sana na tuzo!! Angalia majina yaa wasanii chipukizi hujamuona Harmonize,Rayvanny wala nani walio ingie wote ni kweli wana uchu na tuzo ndo maana waliomba!!!
Sijawahi ona duniani popote pale msanii anaomba kuwa katika category fulani Only in Tanzania!!! Madhara ya hii kitu ni watu wasio stahili watapewa na wanao stahili watabaki bilaa tuzo!
Pia tuzo zitapoteza mvuto! Labda kipindi cha show walizimishe wasanii wakubwa wawepo ila tofauti na hapo tuzo zishapoteza mvuto!!
Kingine tuzo zinatolewa tarehe 10 mwezi ujao hadi leo tarehe 9 vipengele bado havijatoka msanii atapigiwa kura sa ngapi na lini?
Eatv wamekurupuka wajipangee kuna kipengele cha tuzo ya heshima waweke wazi kuwa nacho msanii anaombaa au wao wanaamua kuwa tuzo ya heshima tumpe fulani kulingana na alicho fanya au inakuwaje???
Tanzania kuendelea ni Bado sanaaa hasa hii sekta ya mziki naomba tumuachie tuu Mond na wasanii wengine watoa tuzo wamefail sanaaaaaa
Huwezi omba tuzo kama unaomba kujiunga na ST.Fulani kidato cha kwanza! Msanii ajaze Form aombe tuzo aje aombe kura hivi hawa wamechanganyikiwa?
POOR EATV AWARDS!!! POOOR POOOR POOOR ITS NON-SENSE
Ujue huwezi toa Form ya kuomba kuwa katika category fulani ya tuzo! Hayo ni makosa makubwa ambayo EATV Wameyafanyaa!!
Wasanii sio wao waombe kuwa katika kinyang'anyiro hapanaa wao waangalie nani anafaa na nani hafai ndio watoe majina lakini sio kuwa msanii fulani aombee!!!
Kiupaande wangu na kimtazamo watakao kuwa katika hizi tuzo basi wao wana uchu sana na tuzo!! Angalia majina yaa wasanii chipukizi hujamuona Harmonize,Rayvanny wala nani walio ingie wote ni kweli wana uchu na tuzo ndo maana waliomba!!!
Sijawahi ona duniani popote pale msanii anaomba kuwa katika category fulani Only in Tanzania!!! Madhara ya hii kitu ni watu wasio stahili watapewa na wanao stahili watabaki bilaa tuzo!
Pia tuzo zitapoteza mvuto! Labda kipindi cha show walizimishe wasanii wakubwa wawepo ila tofauti na hapo tuzo zishapoteza mvuto!!
Kingine tuzo zinatolewa tarehe 10 mwezi ujao hadi leo tarehe 9 vipengele bado havijatoka msanii atapigiwa kura sa ngapi na lini?
Eatv wamekurupuka wajipangee kuna kipengele cha tuzo ya heshima waweke wazi kuwa nacho msanii anaombaa au wao wanaamua kuwa tuzo ya heshima tumpe fulani kulingana na alicho fanya au inakuwaje???
Tanzania kuendelea ni Bado sanaaa hasa hii sekta ya mziki naomba tumuachie tuu Mond na wasanii wengine watoa tuzo wamefail sanaaaaaa
Huwezi omba tuzo kama unaomba kujiunga na ST.Fulani kidato cha kwanza! Msanii ajaze Form aombe tuzo aje aombe kura hivi hawa wamechanganyikiwa?
POOR EATV AWARDS!!! POOOR POOOR POOOR ITS NON-SENSE