EATV na EA Radio wasitisha kucheza nyimbo za Wasanii wa WCB

Word!
 
Ni chuki za kiswahili ambazo hazitasaidia lolote. Diamond hamia South mazima kama wazamiaji wezako tunavyofikiria
 

Chanzo cha habari yako. Plz
 
Ni upuuzi pia kuendelea kumkumbatia mtu ambaye haja-apreciate kile unachokifanya wewe
 
Na matangazo ya vodacom ya diamond wanayarusha au wamesitisha?
yani umeuliza swali la maana sana. kwa kifupi chibu huwez kumkwepa nchi hii. usipo msikiliza utamwona kwenye mabango barabarani.
 
Toka lini Kanye West achukue form ya kujipendekeza kupewa tuzo this is utter non sense... Radio yenyewe ni ya hovyo hovyo.. diamond is biggger than that local radio
HAHAHAHAHA HIKI ni kituko najua wewe si mshabiki wa Diamond. yani Diamond awe mkubwa kuzidi EARADIO? hahahaha tafadhali msitoe ushauri huu kwa wasanii. hizo hizo radio wakati anatoka ndio zilikuwa zinapiga mziki wake hadi ana wika... Sidhani kama Diamond anaweza akawa na akili kama hizi.
 
Wasanii wengine ambao hawakushiriki kando ya wasafi wanawachukulia hatua gani?? Hahahah media houses za bongo upuuzi mtupu kweli
hapana, tutawachukulia hatua kali wasafi kwa kuwa wana-effect kubwa na hizo TUZO na music industry, hao wasanii wachanga tutawasamehe.... (from SAM MISAGO/MANAGER)
 
Yaani Diamond achukue fomu ajaze ili eti wimbo wake ufikiriwe!!!Anaanzaje kwanza
Tuzo zote duniani lazima ujaze fomu za kukubali masharti na vigezo vyao ili ushiriki hata grammy ndio maana tuzo za kili zinakuaga na madudu sbb wanawashirikisha wasanii hata wasiotaka kushiri sbb
 
Toka lini Kanye West achukue form ya kujipendekeza kupewa tuzo this is utter non sense... Radio yenyewe ni ya hovyo hovyo.. diamond is biggger than that local radio
Teh nani kakwambia hawajazagi fomu hao kina wasafi wanaposhiriki mpaka vijituzo vya uchochoroni nje ya tanzania wanajaza fomu kwa nini wasijaze kwao lazima ujaze fomu kuonyesha unakubaliana na vigezo na masharti yao na wao wakubali kama unakidhi kushiriki kipengele unachotaka kushiriki
 
Nawaza kwa sauti kama ingekuwa clouds watu wangesema kiasi gani???
Efm nao hawapigi nyimbo za manfongo ila hakuna maneno
 
Toka lini Kanye West achukue form ya kujipendekeza kupewa tuzo this is utter non sense... Radio yenyewe ni ya hovyo hovyo.. diamond is biggger than that local radio
Kule shinyanga wamemjua kutokana na hiyo radio. Habar zenyew za uongo wa2 mnadakia tu
 
sio kweli kua hawapigi nyimbo za wcb. wanapiga na hata leo kwenye top 20 nimesikliza nyimbo zao. tuwe wakweli jamani
 
tatizo watz tunapenda kutafuniwa na sisi kumeza bila yakujua utamu unabaki kwaalie tafuna. mbona kwenye tuzo za waandishi wa habari wanajipendekeza kwenye vipengele husika kutokana na kazi walizofanya?? acheni kua kama watu wanaotaka majibu yakuchagua kwenye hesabu. huo ni umaskini wa akili kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…