Ebitoke amletea fujo Yusuph Mlela kwenye mkutano, mabaunsa wamdhibiti

Mimi yangu ina miba mbele kama ya paka, tofouti na yule bwana aliekukula tigo kwa nguvu baada ya kumbania mlipokuwa chumbani.

Mbona umepanic relax....

Utaonaje ya mwenzako bwawa Kama ww sio kibamia?? Ulitegemea nikujibuje? Tulia dawa ikuingie. Sitakujibu tena maana nshaona nakimbizana na kichaa
 
Hivi kumbe huwa wanavuja?? Mbona hatuwaoni barabarani wakivuja.
 
Pale mtu ambae hafai ni huyu mpuuzi mnamuita Mlela. Miezi michache tu hata mwezi haujaisha alikuwa na huyu dada Ebitoke akimlaghai. Pesa katafuna, Qumer katafuna na malengo ya Ebitoke katafuna. Hawa ndio huwa wanadedishwa tu. Mie siwezi kumchezea mwanamke hivyo
 
Jamaa kampiga matukio mazito mazito.
 
Hapo lazima tugawane majengo ya serikali mbona nyinyi tukiwazingua mnatuwasha nazo za kichwa au magunia ya mkaa 😁😁😁
🀣🀣🀣 Mi chichemi kitu juu yako mama, ila nakuombea mungu moyo wa kutoa. Niongezee 2M nimalizie kibanda chetu af nakuoa yani fasta hutaamini!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2223][emoji2223][emoji2223]
Kamfanya hakuna yani, unapiga papuchi, tigo, hela af unakimbia mahusiano aisee,,,sekeseke lake sio dogo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
🀣🀣🀣 Mi chichemi kitu juu yako mama, ila nakuombea mungu moyo wa kutoa. Niongezee 2M nimalizie kibanda chetu af nakuoa yani fasta hutaamini!
Nioe kwanza 😁😁😁😁
 
Ni sawa mkuu, lakini mimi sioni kama kaka mtu hapo anayo nafasi ya kuingilia mifarakano ya X wa dada yake.
Kumbuka wakati wanapeana utam hadi binti akakubali kutoa fungu sote hatukuwepo na hakuna mwenye anajuwa wawili hao waliongea nini.
Wewe mtu wa Ushirombo kaka mtu kashirikishwa baada ya kupewa utapeli wote wa huyo Mlela akimlaghai aidha kumuoa. Kuna baadhi ya watu huchukia sana dada zao kuchezewa na kutapeliwa. Siku zote mwanaume anayependa kutapeli huwa haachi kuvaa miwani myeusi
 
Ku-react hivi mbele ya watu? huyo hata mimi sitoki naye, sijui kwa nini watu hua wanaishia kua violent kwenye mambo ya kijinga. Maisha yenyewe haya mtu unaishi mara moja tu, badala ya kuenjoy unapoteza muda na watu ambao hawana msaada wowote kwako
 
Kwahio amkomoe mtu asie na hatia! Hebu tuondolee balaa wewe, amalizane na bwege wake Mlela.🀣🀣🀣
 
Wenzetu wapole,sisi wanaume ndio huwa tunapata kesi za mauaji hapa..
 
Mpaka poda tu...[emoji23][emoji23][emoji23],ebi yupo mbali sana kulinganisha na mlela,ila ndio hivyo mlela kajua kutumia ile " msingi kiuno"[emoji23][emoji23][emoji85][emoji85]
Ndio maana washkaji siku hizi wanapaka poda na kusuka nywele, kumbe kuna marupurupu aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…