Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Aseeh
Mwaka Jana kuna dada alijinyonga baada ya kuachwa vibaya na mwanaume ambaye alimfundisha mchezo mbaya wa nyuma na akawa ashamharibu (Nadhani alianza kuvuja Huko nyuma), pamoja na kushauriwa kote haikusaidia mwishowe akajinyonga. Mwanamke mwenye akili zake hawezi kuachwa na mwanaume akawa na hasira kiasi hiko Kama Hajaachwa na mimba, Hajaachwa na ukimwi, au hajatapeliwa kiasi kikubwa cha hela na pengine kuharibiwA Kama ilivyo kuwa kwa huyo. Ebitoke hao ndo wanaume akikuvua Kwisha habari yako.....ukimpata mmoja ukaweza kumkomoa na kulipa kisasi Fanya hivyo upite hiviiii[emoji1542]