Ebitoke amletea fujo Yusuph Mlela kwenye mkutano, mabaunsa wamdhibiti

Ebitoke amletea fujo Yusuph Mlela kwenye mkutano, mabaunsa wamdhibiti

Alimpa ile kitu inameswa na mwensiye
Kwan shida nn?! Nimeiona kwa Millard Ayo muda si mrefu. Dada analalamika sijui Mlela alimpa nn huyu mhaya wa watu..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
















Mapenzi bwana, mwingizaji maarufu Ebitoke amevamia mkutano aliofanya mpenzi wake wa zamani bwana Mlela akimtuhumu kumlaghai

Katika purukushani hizo Ebitoke ambaye alifuatana na kaka yake,Kaka wa Ebitoke anamtuhumu bwana Mlela kumwaribia maisha dada yake.

Hata hivyo waliondolewa ukumbini na mabaunsa.

Mbaya zaidi ametoa matusi mazito adharani,nitashangaa sana BASATA na TCRA wakikaa kimya katika hili.

Pia nadhani mnaona umuhimu wa kuwa na mlinzi.,coz bila wao hali ingekuwa tete.
Puumbavu kabisa
 
Una ma bae kila kona humu Jf na mimi nalipiza.
🤣🤣🤣🤣🤣 sio vizuri hivyo, raha ya mwanamke staha jamani. Hebu tulia tuleane na huba mie jaman usije niua na presha.

Hao ma bae wengi matapeli tu wasikuyumbishe kimwali wangu.
 
Huyo kaka mtu ni mpumbavu wa mwisho kabisa duniani, yaani anamsindikiza dada yake kufanya fujo udangani....!!??
Nimejikuta nawaza mara kadhaa kama huyo kaka wa Ebitoke ni mwanaume kamili ama tayari nayeye anapaka poda...


Jamaa alikuwa anafumua wote hahahaha
 
Labla umeache Khantwe la sivyo nami nachepuka kama kawaida😁😁😁
Hahahah mbona tayari jamani, njoo kule nikuoneshe maamuzi ya mahakama kabisa. Wajua we ndio kimwali wangu, wa kukuzidi hajazaliwa bado 🤩
 
Hahahah mbona tayari jamani, njoo kule nikuoneshe maamuzi ya mahakama kabisa. Wajua we ndio kimwali wangu, wa kukuzidi hajazaliwa bado 🤩
Mwamba una maandishi matamu na Wanaume wa aina hii wanakuga vicheche kama Mlela wanajua kubembeleza ila zipu haifungi😁
 
Ila Odama huwa ni mzr sana!
Jamaa ni fala sana, mi nilikuwa na Crush kwa yule mrembo toka enzi za Mussa Banzi acha tu. I wish i could smash her and wife her ASAP!

Mwanamke ambaye alikuwa na kila kitu ambacho nakihusudu. Personality, uzuri duh. Kweli kuna watu wanachezeaga bahati. Uache mwanamke real ukatoke na video vixen af utakuta boya ndio kafa kaoza anataka aoe kabisa.
 
Mwamba una maandishi matamu na Wanaume wa aina hii wanakuga vicheche kama Mlela wanajua kubembeleza ila zipu haifungi😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Amna unajua mi sipendi kuchezea wanawake ila wao ndio wanapenda kunichezea yani. Ila naamini kwako nitapata pumziko la pekee na utanifuta sononeko langu la moyo Hawa. Nimechoka kufanywa katuni na hawa wasanii wa mapenzi dia. I believe in your heart is where true love lays...Lets share the bed of roses mamacita.
 
.......................Baada ya kumaliza shule ya msingi hakufanikiwa kuendelea na masomo, hivyo akajikuta akiwa hana hili wala lile pale kijijini kwao. Muigizaji huyu alishawahi kuwa mfanyakazi wa ndani pia kuwa mamantilie..................
 
Back
Top Bottom