Ally Lipende
Member
- Dec 27, 2017
- 90
- 61
Itakua kwel 😁😁😀Naona bado wanaigiza mpaka kwenye press.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakua kwel 😁😁😀Naona bado wanaigiza mpaka kwenye press.
Nawezaje kuwa muaminifu hali ya kuwa wewe ni msaliti😁JF raha sana 🤣🤣🤣 kwahio ndio umeshani yuda mara hii
Kwan shida nn?! Nimeiona kwa Millard Ayo muda si mrefu. Dada analalamika sijui Mlela alimpa nn huyu mhaya wa watu..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Puumbavu kabisa
Mapenzi bwana, mwingizaji maarufu Ebitoke amevamia mkutano aliofanya mpenzi wake wa zamani bwana Mlela akimtuhumu kumlaghai
Katika purukushani hizo Ebitoke ambaye alifuatana na kaka yake,Kaka wa Ebitoke anamtuhumu bwana Mlela kumwaribia maisha dada yake.
Hata hivyo waliondolewa ukumbini na mabaunsa.
Mbaya zaidi ametoa matusi mazito adharani,nitashangaa sana BASATA na TCRA wakikaa kimya katika hili.
Pia nadhani mnaona umuhimu wa kuwa na mlinzi.,coz bila wao hali ingekuwa tete.
Yule kitenge ni comedian mwenzie sio kaka wa ebitoke wamejuana kimjini mjini tu kitenge mwenyewe anapewa papuchi na huyo muhaya
Mbona mshamba sasa?Mbona ebitoke sio muhaya?
Hahahah kwahio mi msaliti tena!? Haipendez hata mungu hapendi.Nawezaje kuwa muaminifu hali ya kuwa wewe ni msaliti😁
Una ma bae kila kona humu Jf na mimi nalipiza.Hahahah kwahio mi msaliti tena!? Haipendez hata mungu hapendi.
🤣🤣🤣🤣🤣 sio vizuri hivyo, raha ya mwanamke staha jamani. Hebu tulia tuleane na huba mie jaman usije niua na presha.Una ma bae kila kona humu Jf na mimi nalipiza.
Huyo kaka mtu ni mpumbavu wa mwisho kabisa duniani, yaani anamsindikiza dada yake kufanya fujo udangani....!!??
Nimejikuta nawaza mara kadhaa kama huyo kaka wa Ebitoke ni mwanaume kamili ama tayari nayeye anapaka poda...
Labla umeache Khantwe la sivyo nami nachepuka kama kawaida😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣 sio vizuri hivyo, raha ya mwanamke staha jamani. Hebu tulia tuleane na huba mie jaman usije niua na presha
Hahahah mbona tayari jamani, njoo kule nikuoneshe maamuzi ya mahakama kabisa. Wajua we ndio kimwali wangu, wa kukuzidi hajazaliwa bado 🤩Labla umeache Khantwe la sivyo nami nachepuka kama kawaida😁😁😁
Mwamba una maandishi matamu na Wanaume wa aina hii wanakuga vicheche kama Mlela wanajua kubembeleza ila zipu haifungi😁Hahahah mbona tayari jamani, njoo kule nikuoneshe maamuzi ya mahakama kabisa. Wajua we ndio kimwali wangu, wa kukuzidi hajazaliwa bado 🤩
Jamaa ni fala sana, mi nilikuwa na Crush kwa yule mrembo toka enzi za Mussa Banzi acha tu. I wish i could smash her and wife her ASAP!Ila Odama huwa ni mzr sana!
Jina lako limenikumbusha mbali sana.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Amna unajua mi sipendi kuchezea wanawake ila wao ndio wanapenda kunichezea yani. Ila naamini kwako nitapata pumziko la pekee na utanifuta sononeko langu la moyo Hawa. Nimechoka kufanywa katuni na hawa wasanii wa mapenzi dia. I believe in your heart is where true love lays...Lets share the bed of roses mamacita.Mwamba una maandishi matamu na Wanaume wa aina hii wanakuga vicheche kama Mlela wanajua kubembeleza ila zipu haifungi😁