Ebitoke amletea fujo Yusuph Mlela kwenye mkutano, mabaunsa wamdhibiti

Ebitoke amletea fujo Yusuph Mlela kwenye mkutano, mabaunsa wamdhibiti

Imebidi tu nipite hapa nitie neno,

Huu upumbavu ndo unawafanya hawa wasanii tuwaone mavi,

Sasa hapo purukushani zote wanatengenza attention ili watoe movie sio,

Tulivyokuwa wajinga kupiliza na sisi ndo tunawapa airtime sasa.
 
Eti ninyi waandishi wa habari, mliitikia wito wa wasanii kwa ajenda zipi hasa? Ni kweli wasanii wa kibongo wengi mbumbumbu ila ninyi waandishi mmezidi bana.
Waandishi wa bongo akili zao sawasawa na akili za wasanii
 
How old are you...??
Maana nisije nikajikuta nabishana kinder boy hapa
Kumbe tunabishana!!! Sikujua sina muda wa kubishana kwa mambo kama haya mkuu naomba radhi nikuache uendelee na ubishi.
 
Hapo ebitoke amekosea angemtegeshea mimba ili anapomvamia hapo iwe madai ya kutelekeza mimba....kifupi mlela angegeuka mtumwa wa ebitoke. Sasa hapo anaonekana fala flani maana mwanaume atakuachaje ukamfanyie vurugu? Ukiwa na mimba au mtoto ndo inasaundi na angepata sapoti... Ila wanaume nyoko sana akishakukojolea na kazi yako imeisha...
ampe mimba huo uwezo wenyewe wa kutungisha anao ye mwenyewe akitoka kumpiga ebitoke mboo na yeye anaenda kuukalia
 
🤣🤣
Aiseee... tatizo sio dyudyu ,huyo mlela kachukua pesa mingi sana za huyo ebitoke,si unajua mapenzini tena dada alikuwa amevunja akaunti,kumbe jamaa alikuwa anamtumia tu.ndo maana muhaya ana hasira,( nasikia kuna kahela ebi aliwekeza kwenye project fulani ambayo huyo marioo aliomba assist.sasa baada ya kufanikiwa kamgeuka. Ni kesi inayofanana na ile sisi wanaume inatupata ile ya kusomesha mchumba.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwahio Ebitoke kapigwa hela kumbe. Kupeana fadhila za hela kwa dhamana/ahadi za mapenzi ni uzwazwa sana.

Hela inauma jamani hasa pale ambapo mapenzi yamekata ghafla kabla ya ahadi haijatimia. Unaweza kata shingo ya mtu hasa unaona bwege anakula hela yako na malaya mwingine duh🤣🤣🤣 lazma upigane.
 
Mwaka Jana kuna dada alijinyonga baada ya kuachwa vibaya na mwanaume ambaye alimfundisha mchezo mbaya wa nyuma na akawa ashamharibu (Nadhani alianza kuvuja Huko nyuma), pamoja na kushauriwa kote haikusaidia mwishowe akajinyonga. Mwanamke mwenye akili zake hawezi kuachwa na mwanaume akawa na hasira kiasi hiko Kama Hajaachwa na mimba, Hajaachwa na ukimwi, au hajatapeliwa kiasi kikubwa cha hela na pengine kuharibiwA Kama ilivyo kuwa kwa huyo. Ebitoke hao ndo wanaume akikuvua Kwisha habari yako.....ukimpata mmoja ukaweza kumkomoa na kulipa kisasi Fanya hivyo upite hiviiii[emoji1542]
 
Back
Top Bottom