Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kupendwa na mwanamke raha sana.
Mapenzi bwana, mwingizaji maarufu Ebitoke amevamia mkutano aliofanya mpenzi wake wa zamani bwana Mlela akimtuhumu kumlaghai
Katika purukushani hizo Ebitoke ambaye alifuatana na kaka yake,Kaka wa Ebitoke anamtuhumu bwana Mlela kumwaribia maisha dada yake.
Hata hivyo waliondolewa ukumbini na mabaunsa.
Mbaya zaidi ametoa matusi mazito adharani,nitashangaa sana BASATA na TCRA wakikaa kimya katika hili.
Pia nadhani mnaona umuhimu wa kuwa na mlinzi.,coz bila wao hali ingekuwa tete.
Kwa akili yake alijua mlela yuko seriously nae[emoji16][emoji16][emoji16]
Dar hampo SERIOUS kabisa, yani waTanzania wapo bize na Mambo ya Uchaguzi serikali za Mitaa na upumbavu wa Waziri JAFUU nyie mnaleta upumbuani, kwanza mmetumwa na UVCCM kupoteza watu na yanayojiri, wapumbavu sana
Mlela ana muonea mtoto wa watu. Ebitoke aende kwenye media aseme ukweli jamaa kamtapeli. #STAND FOR EBITOKE!Fikiria hela yenyewe kamevunja kibubu kuigiza kwa kupaka masizi kote kule leo marioo mmoja anachukua kilaini anasepa.
Bikra ilitolewa na Ben pol.Kaka mtu anasema huyo Mlela kamharibia maisha dada yake!
Isije ikawa ndie aliyemtoa bikira dada watu, na kaka mtu anajua hilo!
Hii kweli dadake si kwa matusi yaliyomtoka Ebitoke.Ebitoke kanifurahisha japo sijui ni wanaigizaa [emoji23][emoji23]
Umenena vyema.Aliyekuambia tutakwenda kwenye uchaguzi Nani? Unakwenda chagua mtu ambaye tayari kisha chaguliwa? Wapo watakaokwenda tuache tujifariji tafadhali
Sio lazima maandishi ata sms za kuomba pesa zinatosha kufungua case, transaction zote alizofanya kwenda kwa mlela zinatosha kufungua case ya madaiMlela kazaliwa Kinondoni ndio maana hakupata shida kumtapeli wa 'kuletwa' [emoji3][emoji3][emoji3], mahakamani akafuate nini ana maandishi ya kupeana hizo pesa?
Kama kuna Mwanaume ambaye anaweza kusema ukweli kama hivyo inabidi awekwe makumbusho.Inabidi angemuambia kuwa wapo for fun
kama ni hivyo basi inavoonekana Mlela ana Dyudyu la yuyu tamu sana na linalokuna angle zote kama la paka wa kijerumani aitwae sherphard
Mlela ana muonea mtoto wa watu. Ebitoke aende kwenye media aseme ukweli jamaa kamtapeli. #STAND FOR EBITOKE!
hakika tumempitisha mlela ndiyo Mwenyekiti wa mabaharia wa Africa mashariki na kati.Yusuph mlela haraka sana apandishwe cheo chama cha mabaharia
Sawa ila wanaume tupo. Nyie endeleeni na hao akina ebitokeKama hujawahi kula mhaya basi we si mwanaume