Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Mimi nilidhani ni kikiBibie Ebitoke tatizo anapenda kuwa na wauza sura nilijua atajifunza baada ya kutemwa na Ben pol.
Kumbe wanapeana na utamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nilidhani ni kikiBibie Ebitoke tatizo anapenda kuwa na wauza sura nilijua atajifunza baada ya kutemwa na Ben pol.
Samahani mkuu, hapo TCRA wakujaje?
Mapenzi bwana, mwingizaji maarufu Ebitoke amevamia mkutano aliofanya mpenzi wake wa zamani bwana Mlela akimtuhumu kumlaghai
Katika purukushani hizo Ebitoke ambaye alifuatana na kaka yake,Kaka wa Ebitoke anamtuhumu bwana Mlela kumwaribia maisha dada yake.
Hata hivyo waliondolewa ukumbini na mabaunsa.
Mbaya zaidi ametoa matusi mazito adharani,nitashangaa sana BASATA na TCRA wakikaa kimya katika hili.
Pia nadhani mnaona umuhimu wa kuwa na mlinzi.,coz bila wao hali ingekuwa tete.
Historia yake huyu binti anaonekana kateseka sana....katoka familia maskini sana...... kafanya kazi za kimaskani sana....anaanza kutoka kidogo.....familia sasa inaanza kutabasamu kidogo .....lakini akiwa hajafanya cha maaana......anaingia adui mapenzi.......anaivuruga akili yake......anasahau kutafuta mchumba wa kaliba yake kijijini .....anajiona wa mjini....anaokota na yeye magumekonki yaliyokubuhu mjini...yanayotumia kila ya haramu...eti naye aonekani wa mjini.....ona..sasa!!!!! si mkatoliki huyu??? kwanini asingefuata tamaduni za kikatoliki kumpata mume bora!!!!!?? si mkerewe huyu!!!!??? kwa nini asingefuata mila za ku ukerewe kumpata Mume anayeendana naye!!!!?? haya mchuma janga hula na wa kwao
Kuna Kiki ya mwanaume na mwanamke kwenye kitanda.Mimi nilidhani ni kiki
Kumbe wanapeana na utamu
[emoji23]Kuna Kiki ya mwanaume na mwanamke kwenye kitanda.
Mlea mwenyewe mama mzigua Ngoma droo halogwi mtu hapo labda walogane [emoji3][emoji3][emoji3]Sio jicho tu,akimuendea huko kwao bukoba ,shughuli itakuwa pevu.wanajua sana ulozi hao watu
Ukiona kaka anaingilia faragha ya dada yake, basi ujuwe huyo kaka ana ulemavu kwenye kutambua mbambo. Na ukiona familia inaruhusu kaka kuingilia faragha ya dada yake, basi ujuwe hiyo familia ipo na tatizo..Kaka kaanza kulalamika muda tu kwa Ebi amewafungia vioo ndugu wote kisa Mlela wakijua kabisa hakuna penzi anatapeliwa, Mimi Nina wasiwasi na huyu "Kaka" wa Ebitoke
Mlela hakufuata kila kitu yeye alifuata pesa tuMdada anasema alimpa Mlela kila kitu anashangaa kamcheat.
Hivi huyo mwamba mwijaku kesi yake iliisha vipiBila shaka jamaa alitaka mzigo, kisha umarufu kwa mhaya. Otherwise ndo tabia za akina mwijaku[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]