Ebitoke amletea fujo Yusuph Mlela kwenye mkutano, mabaunsa wamdhibiti

Ebitoke amletea fujo Yusuph Mlela kwenye mkutano, mabaunsa wamdhibiti

















Mapenzi bwana, mwingizaji maarufu Ebitoke amevamia mkutano aliofanya mpenzi wake wa zamani bwana Mlela akimtuhumu kumlaghai

Katika purukushani hizo Ebitoke ambaye alifuatana na kaka yake,Kaka wa Ebitoke anamtuhumu bwana Mlela kumwaribia maisha dada yake.

Hata hivyo waliondolewa ukumbini na mabaunsa.

Mbaya zaidi ametoa matusi mazito adharani,nitashangaa sana BASATA na TCRA wakikaa kimya katika hili.

Pia nadhani mnaona umuhimu wa kuwa na mlinzi.,coz bila wao hali ingekuwa tete.
Samahani mkuu, hapo TCRA wakujaje?
 
Wahaya wanajua kuwa huyu binti ni mhaya wakati binti ni mkerewe
Historia yake huyu binti anaonekana kateseka sana....katoka familia maskini sana...... kafanya kazi za kimaskani sana....anaanza kutoka kidogo.....familia sasa inaanza kutabasamu kidogo .....lakini akiwa hajafanya cha maaana......anaingia adui mapenzi.......anaivuruga akili yake......anasahau kutafuta mchumba wa kaliba yake kijijini .....anajiona wa mjini....anaokota na yeye magumekonki yaliyokubuhu mjini...yanayotumia kila ya haramu...eti naye aonekani wa mjini.....ona..sasa!!!!! si mkatoliki huyu??? kwanini asingefuata tamaduni za kikatoliki kumpata mume bora!!!!!?? si mkerewe huyu!!!!??? kwa nini asingefuata mila za ku ukerewe kumpata Mume anayeendana naye!!!!?? haya mchuma janga hula na wa kwao
 
Kaka kaanza kulalamika muda tu kwa Ebi amewafungia vioo ndugu wote kisa Mlela wakijua kabisa hakuna penzi anatapeliwa, Mimi Nina wasiwasi na huyu "Kaka" wa Ebitoke
Ukiona kaka anaingilia faragha ya dada yake, basi ujuwe huyo kaka ana ulemavu kwenye kutambua mbambo. Na ukiona familia inaruhusu kaka kuingilia faragha ya dada yake, basi ujuwe hiyo familia ipo na tatizo..
 
Siku hizi kila msanii anamkutano tena mkutano wenyewe sio waeleze ya maana wanaleta tena usanii,Uwoya,Kiba,Mlela..........,Haya na waendelee kutuzuga tuache kufuatilia mengine.
 
Back
Top Bottom