Mrs Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 1,002
- 2,278
Badala ya kuachiwa mimba kaachiwa miwaya. Ndo maana kafura kama Nyati.
Hapo kwenye ngoma ndo patamuu...asingekuwa na mihasira hiyo, halafu kafanya uharibifu anatakiwa akalipe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Badala ya kuachiwa mimba kaachiwa miwaya. Ndo maana kafura kama Nyati.
Ndio wanavyoshauriana hivyo kwenye magroup yao ya WhatsApp baadae wanakuja kulia na kuomba msaada wa mtoto.Hivi mlela ni wa kuzaa na mtu yule huyo mtoto si atakuwa bwabwa
Wanawake bhana mnaweza zaa hata na masokorindo [emoji1787][emoji1787]
Bora umshauri akatafute hela aanze upya maisha yake .
Sasa kujibebesha mimba ndio ushauri [emoji44]
Hivi Ebitoke ndiyo aliyetolewa bikra na Ben pol?
Mariooos wana tabu sanaHuyu Ebi nae kayataka,yaani mapenzi gani ya kumpa boy wako pesa!!??
Mlela nae ndio nini kutapeli mtoto wa watu?
Kwani si akakope vicoba kama alikuwa anataka pesa yaani upuuzi tu.
Mmh hilo nalo neno maana mtu mzima kama yule kusema kaharibiwa maisha hapana kuna la zaidi na kama kaambukizwa HIV(God forbid) kwann Ebi asi deal na mtu wake mpaka kwenda kumpiga huyo dada?Amemharibiaje maisha ? Najaribu kutafakari! Au kamwambukiza ngma
Kumbe ana shobo na wasanii labda kwa sababu nae ni msanii.Hehe anatumika tu km dekio.... Ndo huyo huyo
Hivi mlela ni wa kuzaa na mtu yule huyo mtoto si atakuwa bwabwa
Wanawake bhana mnaweza zaa hata na masokorindo [emoji1787][emoji1787]
Bora umshauri akatafute hela aanze upya maisha yake .
Sasa kujibebesha mimba ndio ushauri [emoji44]
Ndio wanavyoshauriana hivyo kwenye magroup yao ya WhatsApp baadae wanakuja kulia na kuomba msaada wa mtoto.
Sorry una akili za ajabu sana kwa hiyo Mwanaume kumtegeshea mimba ndio kumkomoa yaani huyo mpaka poda unamtegeshea nyie ndio mnasababisha watoto ombaomba mtaani.Hapo ebitoke amekosea angemtegeshea mimba ili anapomvamia hapo iwe madai ya kutelekeza mimba....kifupi mlela angegeuka mtumwa wa ebitoke. Sasa hapo anaonekana fala flani maana mwanaume atakuachaje ukamfanyie vurugu? Ukiwa na mimba au mtoto ndo inasaundi na angepata sapoti... Ila wanaume nyoko sana akishakukojolea na kazi yako imeisha...
Huyu inaonekana aliwekeza hela na udhamini ulikuwa mapenzi.Du tusikitike jamani
Mbona kwa Ben Paul waliachana kimya kimya
Sorry una akili za ajabu sana kwa hiyo Mwanaume kumtegeshea mimba ndio kumkomoa yaani huyo mpaka poda unamtegeshea nyie ndio mnasababisha watoto ombaomba mtaani.
Kaachiwa ngoma,inavyosemekana. Kaharibiwa future yake.Mmh hilo nalo neno maana mtu mzima kama yule kusema kaharibiwa maisha hapana kuna la zaidi na kama kaambukizwa HIV(God forbid) kwann Ebi asi deal na mtu wake mpaka kwenda kumpiga huyo dada?
??????? Ni mengi ila muda utasema.
Kiki!Naona bado wanaigiza mpk kwny press.
Ila walimwambia, aachane na Mlela akaona kapata [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Aiseee... tatizo sio dyudyu ,huyo mlela kachukua pesa mingi sana za huyo ebitoke,si unajua mapenzini tena dada alikuwa amevunja akaunti,kumbe jamaa alikuwa anamtumia tu.ndo maana muhaya ana hasira,( nasikia kuna kahela ebi aliwekeza kwenye project fulani ambayo huyo marioo aliomba assist.sasa baada ya kufanikiwa kamgeuka. Ni kesi inayofanana na ile sisi wanaume inatupata ile ya kusomesha mchumba.
Kama kuna kautapeli, basi wanatakiwe wafuate proper chanel and procedures ili haki yao ioatikane. Sio kaka kumsindikiza dada kwenye kuvamia na kufanya fujo udanganiHuwezi kujua pengine kuna kautapeli hapo watu washapiga hela.
Huyo kaka anajitia aibu tu aiseeeeKwa kweli kajidhalilisha mnoo
Maana mlela na ebitoke hawakufunga ndoa wala kuzaa
Wamedangiana hata miezi miwili haijafika
Sorry mpendwaTatizo huelewi ulichokijibu ..... Kwanza Si lazima mawazo yangu yaendane na yako....potezea.