Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa[emoji119][emoji119]Ni sawa mkuu, lakini mimi sioni kama kaka mtu hapo anayo nafasi ya kuingilia mifarakano ya X wa dada yake.
Kumbuka wakati wanapeana utam hadi binti akakubali kutoa fungu sote hatukuwepo na hakuna mwenye anajuwa wawili hao waliongea nini.
Jamaa ametafuna uyoga wa sumu.Ukitaka kula kila kitu, utakula mpaka sumu.
Arudishe pesa za mtoto wa watu, mjini kaja muda mrefu alikuwa anafanya nini? Kama kweli Ebitoke mshitaki tu arudishiwe mpunga wake. Au mloge tu kwani nini bana
anadai alimpa mlela kila kitu, sasa cjui alimpa mpaka na 071 ndio maana anaumia sana kuachwa
Mapenzi bwana, mwingizaji maarufu Ebitoke amevamia mkutano aliofanya mpenzi wake wa zamani bwana Mlela akimtuhumu kumlaghai
Katika purukushani hizo Ebitoke ambaye alifuatana na kaka yake,Kaka wa Ebitoke anamtuhumu bwana Mlela kumwaribia maisha dada yake.
Hata hivyo waliondolewa ukumbini na mabaunsa.
Mbaya zaidi ametoa matusi mazito adharani,nitashangaa sana BASATA na TCRA wakikaa kimya katika hili.
Pia nadhani mnaona umuhimu wa kuwa na mlinzi.,coz bila wao hali ingekuwa tete.
Ukutaaaaaaa Mpwaaaaaaaaaaa haoooo ukirukaaaa lazimaaa wakutafuteeeKwan shida nn?! Nimeiona kwa Millard Ayo muda si mrefu. Dada analalamika sijui Mlela alimpa nn huyu mhaya wa watu..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
UNAULIZA KISU JANDONIanadai alimpa mlela kila kitu, sasa cjui alimpa mpaka na 071 ndio maana anaumia sana kuachwa
Sio jicho tu,akimuendea huko kwao bukoba ,shughuli itakuwa pevu.wanajua sana ulozi hao watuMwanamke akiapa ogopa sana Naskia hapo Ebhitoke akimwambia "ATAMNYOOSHA", jamaa awe makaini kwenye mizunguko yake anaeza liwa jicho asipokuwa makini
Mlela ndio mtenda,kisasi cha nini?kw
kwahiyo unataka kusema Mlela kalipizia kisasi kwa njia nyingine.
Pesa za kupeana kitandani utasaini mkataba saa ngapi?walisaini mkataba kuhusu hizo pesa?
basi mambo ya kitandani yaliishia kitandani binti aende kutafuta pesa zingine.Pesa za kupeana kitandani utasaini mkataba saa ngapi?
jamaa alikua anamkojozaHuyu binti ni king'ang'anizi kumbe? Ndivyo ilivyo mtu akiwa na mtu ambaye anaamini yupo ligi kubwa kumzidi yeye.