Ebitoke amletea fujo Yusuph Mlela kwenye mkutano, mabaunsa wamdhibiti

Kuna tetesi zisizo rasmi zinasemekana kwamba jamaa alijifanya kaka nayeye sio ndugu wa Ebitoke, na taarifa za kunyapia zinasema kwamba mshkaji pia anamtafuna Ebitoke.....
 
 
Nimeangalia ile video mwanzo Ebitoke anaingia kwenye mkutano nimejiuliza maswali hao mabaunsa ilikuwaje wakamuachia apite maana anamvua mpenzi mpya wa Mlela wigi anamkunja. Kingine kilichonishangaza ni Mlela kuzubaa laiti kama Ebitoke angekuja na siraha nina hakika yule mwanamke mpya angeumia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…