Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Babe, account yako imedukuliwa huku. Kuna limtu linaitumia kutukanisha member wenzako.....True love my @$$...mxiiieew
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babe, account yako imedukuliwa huku. Kuna limtu linaitumia kutukanisha member wenzako.....True love my @$$...mxiiieew
Dadake awe na chunusi kama za Fid q😁😁😁Ni HB bwana, unataka mwanaume awe na uso soft wa kazi gani?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ana tabia za Mlela eti dadake kesho atakuja kwako.
anadai alimpa mlela kila kitu, sasa cjui alimpa mpaka na 071 ndio maana anaumia sana kuachwa
Babe, account yako imedukuliwa huku. Kuna limtu linaitumia kutukanisha member wenzako.....
Kuna tetesi zisizo rasmi zinasemekana kwamba jamaa alijifanya kaka nayeye sio ndugu wa Ebitoke, na taarifa za kunyapia zinasema kwamba mshkaji pia anamtafuna Ebitoke.....Wewe mtu wa Ushirombo kaka mtu kashirikishwa baada ya kupewa utapeli wote alligator huyo Mlela akimlaghai aidha kumuoa. Kuna baadhi ya watu huchukia sana dada zao kuchezewa na kutapeliwa. Siku zote mwanaume anayependa kutapeli huwa haachi kuvaa miwani myeusi
Ndio msilielie sasa mkitapeliwa invoice zenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata mabishoo wana haki ya kupendwa
Nakukanaje kimwali wanguNawe umenikana live mbele ya Khantwe 😁
🤣🤣🤣🤣🤣Dadake awe na chunusi kama za Fid q😁😁😁
Kwamba baharia alikuwa akitafuna AL KASUSUAlikasusu ni hatari
Njoo DM tuyajengeNioe kwanza 😁😁😁😁
Kwahivyo mwamba kumbe hajapita kwenye Tii Bii eS ya walimbwende?Hana u hb ila ana sauti zurii
UmefungaNjoo DM tuyajenge
Ndio akili zao wadada wanaokaa geto,Sorry una akili za ajabu sana kwa hiyo Mwanaume kumtegeshea mimba ndio kumkomoa yaani huyo mpaka poda unamtegeshea nyie ndio mnasababisha watoto ombaomba mtaani.
Pako wazi kama Sheli ya Buguruni 🤣🤣🤣Umefunga
Yan ni aibu kaka kuingilia mahusiano ya dadako, wakati anatongozwa ulikuepo? Au alikuomba ushauri? Yan huyu jamaa namuona bwege sana. Eti "umemwaribia maisha mdogo wangu" hii ni aibu kwani kulikua na mtakataba wa kutoachana?
Wadau mnaonaje hiki kitendo
Yan ni aibu kaka kuingilia mahusiano ya dadako, wakati anatongozwa ulikuepo? Au alikuomba ushauri? Yan huyu jamaa namuona bwege sana. Eti "umemwaribia maisha mdogo wangu" hii ni aibu kwani kulikua na mtakataba wa kutoachana?
Wadau mnaonaje hiki kitendo?
Wanaume wa Dar sijui mnakwama wapi?
Ndio maana washkaji siku hizi wanapaka poda na kusuka nywele, kumbe kuna marupurupu aisee
AiseeDah kumbe wanapata shida sana.