Ebitoke amletea fujo Yusuph Mlela kwenye mkutano, mabaunsa wamdhibiti

ache
acheni use.....ng...e wenzenu wanatafuta kik na nyie mnawapa,hapo hamna kitu hako ka demu ni kapenda kiki kinoma, huyo mlela nadhan kuna project wanaiandaa na hemed ndo wanataka kuibusti
 
[emoji848][emoji848]
Huyo kaka mtu ni mpumbavu wa mwisho kabisa duniani, yaani anamsindikiza dada yake kufanya fujo udangani....!!??
Nimejikuta nawaza mara kadhaa kama huyo kaka wa Ebitoke ni mwanaume kamili ama tayari nayeye anapaka poda...
 
We ungekuwa ndio demu wa mlela ungefanyaje!?

Problem with loving deeply makes it so hard to let go of someone you be's with!🤣🤣🤣 Utam stalk tu...ujue yuko na nani, anafanya nini yani shida tu! Mwisho kuvamia hafla za watu kuleta ngumi!
 
Yan hao mabitozi ndio Ebitoke akajua amefanikiwa kumkamata
Alijua kapata kumbe kapatwa aiseee
Sema hakupata wakumshauri vzr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…