Ebitoke amletea fujo Yusuph Mlela kwenye mkutano, mabaunsa wamdhibiti

Ebitoke amletea fujo Yusuph Mlela kwenye mkutano, mabaunsa wamdhibiti

Kwan shida nn?! Nimeiona kwa Millard Ayo muda si mrefu. Dada analalamika sijui Mlela alimpa nn huyu mhaya wa watu..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ingawa sio muhaya ni mkerewe Ila inaonekana alitorewa marinda
 
Fikiria hela yenyewe kamevunja kibubu kuigiza kwa kupaka masizi kote kule leo marioo mmoja anachukua kilaini anasepa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimeangalia ile video mwanzo Ebitoke anaingia kwenye mkutano nimejiuliza maswali hao mabaunsa ilikuwaje wakamuachia apite maana anamvua mpenzi mpya wa Mlela wigi anamkunja. Kingine kilichonishangaza ni Mlela kuzubaa laiti kama Ebitoke angekuja na siraha nina hakika yule mwanamke mpya angeumia.
Nadhani mabaunsa walijua ni muigizaji mwenzie
 
🤣🤣🤣 Aisee kwahio utapasua mtu vipande vipande!
Umefurahi unajua nitapigana na best wangu Khantwe mimi nazikunja na wewe ujinga wa kupigana na mwanamke mwenzangu sitokaa nifanye nadili na wewe uliyetongoza ukijua uko na mimi.
 
Umefurahi unajua nitapigana na best wangu Khantwe mimi nazikunja na wewe ujinga wa kupigana na mwanamke mwenzangu sitokaa nifanye nadili na wewe uliyetongoza ukijua uko na mimi.
🤣🤣🤣🤣🤣 bas mama mi sitongozi tena, nahidi nitastaafu ubaharia kwa ajili ya kuepusha hizo ndondi!
 
Kuna tetesi zisizo rasmi zinasemekana kwamba jamaa alijifanya kaka nayeye sio ndugu wa Ebitoke, na taarifa za kunyapia zinasema kwamba mshkaji pia anamtafuna Ebitoke.....
Hahahaa aisee Bongo Movie ndo sababu sijawahi kununua kazi yao
 
Historia yake huyu binti anaonekana kateseka sana....katoka familia maskini sana...... kafanya kazi za kimaskani sana....anaanza kutoka kidogo.....familia sasa inaanza kutabasamu kidogo .....lakini akiwa hajafanya cha maaana......anaingia adui mapenzi.......anaivuruga akili yake......anasahau kutafuta mchumba wa kaliba yake kijijini .....anajiona wa mjini....anaokota na yeye magumekonki yaliyokubuhu mjini...yanayotumia kila ya haramu...eti naye aonekani wa mjini.....ona..sasa!!!!! si mkatoliki huyu??? kwanini asingefuata tamaduni za kikatoliki kumpata mume bora!!!!!?? si mkerewe huyu!!!!??? kwa nini asingefuata mila za ku ukerewe kumpata Mume anayeendana naye!!!!?? haya mchuma janga hula na wa kwao
Mkerewe!!!! Basi Mlela arudishe mpunga fasta
 
Back
Top Bottom