gnassingbe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 4,826
- 3,577
Hawajifunzi kwa wenzao hardcore pawn!Hao mabaunsa mbona wachovu hivyo? yaani kutoa Ebitoke ukumbini imechukua muda mrefu kiasi hicho?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajifunzi kwa wenzao hardcore pawn!Hao mabaunsa mbona wachovu hivyo? yaani kutoa Ebitoke ukumbini imechukua muda mrefu kiasi hicho?
[emoji4] Hawachi. Ngoja nifanyie kazi ushauri wako,nipate vi portable kama weweNakuita baada ya kuona picha yako serious kama utaamua kuwa Celebritie utawatafuna sana.
,[emoji3526]nigombanie na mimiNingefanyaje? Ngumi singepigwa kwa masaa[emoji16][emoji16]
Mbona ebitoke sio muhaya?Ebitoke aulizwe kama amejiandikisha uchaguzi wa trh 24.
By the way, wahaya mnakwama wapi? Iweje mtoto alilie dudu
Hahahaaaa huyo namtania we ndio wa ukweli sasa.,[emoji3526]nigombanie na mimi
[emoji39] sijawah kugombaniwa, ukifanya hivo nitajihisi mwenye bahatiHahahaaaa huyo namtania we ndio wa ukweli sasa.
Ndio akili zao wadada wanaokaa geto,
Angalia hata uandikaji wake ndio utajua ni wa aina gani.
Ndo maana vichaa wanaongezeka kila kukichaAiseee... tatizo sio dyudyu ,huyo mlela kachukua pesa mingi sana za huyo ebitoke,si unajua mapenzini tena dada alikuwa amevunja akaunti,kumbe jamaa alikuwa anamtumia tu.ndo maana muhaya ana hasira,( nasikia kuna kahela ebi aliwekeza kwenye project fulani ambayo huyo marioo aliomba assist.sasa baada ya kufanikiwa kamgeuka. Ni kesi inayofanana na ile sisi wanaume inatupata ile ya kusomesha mchumba.
Vyote mkuu,
Mkun..du ameliwa na Ngoma anapiga.
Inawezekana hakujua,kaambiwa tu kaka nipeleke kilimanjaro hotel,kuingia sister kafyatuka kama mshaleHuyo kaka mtu ni mpumbavu wa mwisho kabisa duniani, yaani anamsindikiza dada yake kufanya fujo udangani....!!??
Nimejikuta nawaza mara kadhaa kama huyo kaka wa Ebitoke ni mwanaume kamili ama tayari nayeye anapaka poda...
wanavaa nepiHivi kumbe huwa wanavuja?? Mbona hatuwaoni barabarani wakivuja.
Ndio si unaona mpk shemeji(kaka wa bitoke) ameenda kumsindikiza mdogo wake kulalamikia kukatizwa utamu wa Mlela.
badona wewe memkwa mmeshamaliza mitihani yenu mlokuwa mnatafuta credit?