Ebitoke amletea fujo Yusuph Mlela kwenye mkutano, mabaunsa wamdhibiti

Ebitoke amletea fujo Yusuph Mlela kwenye mkutano, mabaunsa wamdhibiti

bongomuvi bila drama za kijinga haiwezi kukamilika.

sitoshangaa nikisikia lilikuwa ni tukio la kutengeneza ili wapromoti kifilamu chao.
 
Aisee
Screenshot_20191111-170150_Instagram.jpeg
 
nikiliangalia hili lipicha kwa jicho lapilli naona kabisa haya ni maigizo ya 'alufu lela ulela' kuna kick inatafutwa apo
 
Ndio akili zao wadada wanaokaa geto,
Angalia hata uandikaji wake ndio utajua ni wa aina gani.

We kenge hunijui sikujui....Kama una kaa getto ni wewe. Sasa endeleza shobo zako kiattack watu usiwajua. Sio kila mtu ni wa kiume Huku JF kwamba ujishobokeshe na nyege zako za kuku. I warn u once again....park well.
 
Nmejisikia vibaya sana nlipoiona hii video

Sijui kama ni maigizo au laah

But it have saddened me a lot
 
Aiseee... tatizo sio dyudyu ,huyo mlela kachukua pesa mingi sana za huyo ebitoke,si unajua mapenzini tena dada alikuwa amevunja akaunti,kumbe jamaa alikuwa anamtumia tu.ndo maana muhaya ana hasira,( nasikia kuna kahela ebi aliwekeza kwenye project fulani ambayo huyo marioo aliomba assist.sasa baada ya kufanikiwa kamgeuka. Ni kesi inayofanana na ile sisi wanaume inatupata ile ya kusomesha mchumba.
Ndo maana vichaa wanaongezeka kila kukicha
 
Ebitoke asipopelekwa Polisi nitaamini hii ni Kiki. Eti mlela analipa dola 500 kwa uharibifu wa meza. Kwani yy si amevamiwa tu
 
Yaan toka asubui natafakari ni kwa namna gan ntaweza kum convince kaka angu eti tukafanye ugomvi kwa ex au hata mume naye akubali tuongozane twende kuzalilika kama ivi dah 😀 😀 😀
 
Huyo kaka mtu ni mpumbavu wa mwisho kabisa duniani, yaani anamsindikiza dada yake kufanya fujo udangani....!!??
Nimejikuta nawaza mara kadhaa kama huyo kaka wa Ebitoke ni mwanaume kamili ama tayari nayeye anapaka poda...
Inawezekana hakujua,kaambiwa tu kaka nipeleke kilimanjaro hotel,kuingia sister kafyatuka kama mshale
 
Back
Top Bottom