Historia yake huyu binti anaonekana kateseka sana....katoka familia maskini sana...... kafanya kazi za kimaskani sana....anaanza kutoka kidogo.....familia sasa inaanza kutabasamu kidogo .....lakini akiwa hajafanya cha maaana......anaingia adui mapenzi.......anaivuruga akili yake......anasahau kutafuta mchumba wa kaliba yake kijijini .....anajiona wa mjini....anaokota na yeye magumekonki yaliyokubuhu mjini...yanayotumia kila ya haramu...eti naye aonekani wa mjini.....ona..sasa!!!!! si mkatoliki huyu??? kwanini asingefuata tamaduni za kikatoliki kumpata mume bora!!!!!?? si mkerewe huyu!!!!??? kwa nini asingefuata mila za ku ukerewe kumpata Mume anayeendana naye!!!!?? haya mchuma janga hula na wa kwao