Ebitoke amletea fujo Yusuph Mlela kwenye mkutano, mabaunsa wamdhibiti

Ebitoke amletea fujo Yusuph Mlela kwenye mkutano, mabaunsa wamdhibiti

Kamfanya hakuna yani, unapiga papuchi, tigo, hela af unakimbia mahusiano aisee,,,sekeseke lake sio dogo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na yule dem alivokuwa na hasira, kapigwa kote kote yani. Jamaa kweli Baharia[emoji122]
 
Wewe mtu wa Ushirombo kaka mtu kashirikishwa baada ya kupewa utapeli wote alligator huyo Mlela akimlaghai aidha kumuoa. Kuna baadhi ya watu huchukia sana dada zao kuchezewa na kutapeliwa. Siku zote mwanaume anayependa kutapeli huwa haachi kuvaa miwani myeusi
Sawa kaka wa Ebitoke, nimekuelewa...teh[emoji23]
 
Ngumu sana kumshauri mwanamke aliezama penzini, au mwanaume mwenye pesa! Ni ngumu sana!!!

Akicheki jamaa HB alijua kashamteka kumbe mwamba yupo ki miamala zaidi.
mlela hb?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ningekuwa na no yako ningekupigia siku nikimuona mitaa ya posta hapo sura ikiwa ina chunusi kama ngumi msidanganywe na picha na video zake za make up hizo
 
mlela hb?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ningekuwa na no yako ningekupigia siku nikimuona mitaa ya posta hapo sura ikiwa ina chunusi kama ngumi msidanganywe na picha na video zake za make up hizo
Warembo wanavyodai ni HB
 
Unaambiwa, ebi alitoa tgo ili aolewe, unaambiwa baada ya kutoa, jamaa akampotezea.
Sasa kaka yake kamsindikiza kudai uharibifu.
Lakini kuna tetesi kwamba hata jamaa sio kaka yake Ebitoke, bali inasemekana mahkaji pia anamtafuna Ebitoke...
 
mlela hb?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ningekuwa na no yako ningekupigia siku nikimuona mitaa ya posta hapo sura ikiwa ina chunusi kama ngumi msidanganywe na picha na video zake za make up hizo
Ni HB bwana, unataka mwanaume awe na uso soft wa kazi gani?
 
Back
Top Bottom