3ZOV
JF-Expert Member
- Dec 28, 2020
- 6,259
- 7,015
Pepo ya bikra 72 ina mhusu mtu wa allah tabarakaAtakumbukwa kwa mengi ikiwemo kuikopesha Serikali ya Tanzania mikopo isiyo na riba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pepo ya bikra 72 ina mhusu mtu wa allah tabarakaAtakumbukwa kwa mengi ikiwemo kuikopesha Serikali ya Tanzania mikopo isiyo na riba
Muhimu kazi ilifanyika na Iran iko salamaHabari za awali za helicopter iliyoanguka ikiwa imembeba Rais wa Iran, Ebrahim Raisi maarafu kama "the butcher of Tehran"/mchinjaji wa Tehran huenda imepokewa kwa furaha kubwa na wahanga waliowahi kuguswa naye katika utumishi na uongozi wake mrefu ndani ya Iran.
Huyu bwana alianza kama mwendesha mashitaka na baadaye naibu mwanasheria mkuu katika wa serikali ya Iran, alikuwa mjumbe pia katika kamati za mauaji. Chini yake katika nafasi hizo mbalimbali akifanya kazi kwa ukaribu na mahakama ilishuhudiwa watu zaidi ya 8,000 wakinyongwa na maelfu wengine wakitupwa jela, kupotea au kupata adhabu za utesaji mkuu uliopitiliza kwa sababu za kisiasa na mambo mengine yanayoitwa ya kimaadili.
Wa-Iran wenye uraia wa nchi mbili hasa za magharibi walikumbana na mkono wake katili haswa, alibuni mpango wa kuwatumia kama chambo katika migogoro ya Iran na magharibi kwa kuwavizia na kuwakamata akiwasingiza uhaini kisha kuwatumia kama karata turufu kwenye majadiliano mbalimbali na West.
Huenda wahanga kutoka familia nyingi kwa maelfu ndani na nje ya Iran zilizoathiriwa naye wanaomba helicopter hiyo isipatikane kabisa na hawawezi kulaumiwa kwa hilo.
Ubinadamu kazi.
rahaaa za milele hizoPepo ya bikra 72 ina mhusu mtu wa allah tabaraka
mungu wa marekani au Israel ama wa mbinguniMungu ndiye mpangaji wa kila maisha ya mwanadamu
Umeongea point sana mkuuu watu wana mihemko ya kuandika tuSi bora huyo ni watu 8000 tu tena wairani wenzake ,vipi akina Baden, Bush,na akina Netanyau ambao wameshababisha madhira kwa mamilioni ya watu kote duniani mbona hujawahi huwaanzishia uzi?
Huu ndio uwanaume sasa , sio mwanaume unapiga paredi la LGBTView attachment 2994776
BIkra zake hizo
Kwahiyo huko America watu hawafi?Death to America
Death to America
Limekufa linyewe
Atakumbukwa kwa mengi ikiwemo kuikopesha Serikali ya Tanzania mikopo isiyo na riba
It’s called media control,western hata wawaue waliopo nchini mwao watawaita magaidi that’s the best name wakitaka timiza yaoOngeza na Putin
Kwa ugaidi piaAtakumbukwa kwa mengi ikiwemo kuikopesha Serikali ya Tanzania mikopo isiyo na riba
mbona hukuwataja m23,akili za kupewaAtakumbukwa zaidi na Magaidi ya Kataib Hezbola ya Iraq atakumbukwa na Magaidi ya Hezbola atakumbukwa na Magaidi ya Hamas atakumbukwa na Magaidi yanayotutesa ya Houthi.
Atakumbukwa na Magaidi ya Boko Haram na Alshababu atakumbukwa na Magaidi ya Al Qaida.
Atakumbukwa na kufanyiwa Dua na Magaidi ya Uamsho huko Zanzibar.
M23 hawatangazi Jihadi kusambaza Idiolojia.mbona hukuwataja m23,akili za kupewa
Achana naye huyo anafikiri hao waarabu ndio watu wema sana.Sasa kama unalijua hilo mbona unashinda humu ukishangilia Netanyau anavyo uwa watu tena watoto wachanga?
Iran ingekuwa salama Ebrahim Raisi asingetoweka kirahisi hivyo.Muhimu kazi ilifanyika na Iran iko salama
Nae yamempata hata mwili wake hawatauona.Habari za awali za helicopter iliyoanguka ikiwa imembeba Rais wa Iran, Ebrahim Raisi maarafu kama "the butcher of Tehran"/mchinjaji wa Tehran huenda imepokewa kwa furaha kubwa na wahanga waliowahi kuguswa naye katika utumishi na uongozi wake mrefu ndani ya Iran.
Huyu bwana alianza kama mwendesha mashitaka na baadaye naibu mwanasheria mkuu katika wa serikali ya Iran, alikuwa mjumbe pia katika kamati za mauaji. Chini yake katika nafasi hizo mbalimbali akifanya kazi kwa ukaribu na mahakama ilishuhudiwa watu zaidi ya 8,000 wakinyongwa na maelfu wengine wakitupwa jela, kupotea au kupata adhabu za utesaji mkuu uliopitiliza kwa sababu za kisiasa na mambo mengine yanayoitwa ya kimaadili.
Wa-Iran wenye uraia wa nchi mbili hasa za magharibi walikumbana na mkono wake katili haswa, alibuni mpango wa kuwatumia kama chambo katika migogoro ya Iran na magharibi kwa kuwavizia na kuwakamata akiwasingiza uhaini kisha kuwatumia kama karata turufu kwenye majadiliano mbalimbali na West.
Huenda wahanga kutoka familia nyingi kwa maelfu ndani na nje ya Iran zilizoathiriwa naye wanaomba helicopter hiyo isipatikane kabisa na hawawezi kulaumiwa kwa hilo.
Ubinadamu kazi.
Mkuu hivi ile helicopter ilitengenezwa wapi na nchi Gani?Wakifanya CIA na MOSSAD ni sawa.
Wakifanya wengine ni haram.
Serikali kuua ni jambo la kawaida