Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Hahahahahaha aibu naona Mimi. Yani Kumuona tu Mtu unahisi raha Kama upo peponi vile mweeehHahahaa umeona eeh hadi rahaa
Namkumbuka Jas...
Hapo nakumbuka mihogo na ice cream tu hakuna cha zaidi
Hapo nakumbuka mihogo na ice cream tu hakuna cha zaidi
View attachment 204961siku hizi kawa star sidhani hata kama ananikumbuka
daaah walikua wananigombea handsomeboy lao balaa ,shule mzima nikitoka na demu huyu wanamjua ,nilikua nao kama watano hivi ....aisee sumaku ilianza zamani
shikamoo nehaMihogo ya kwa mama sada na chachandu loool nakumbukaje
Enzi hizo nilikua chimbo nikiingia darasani wanafunzi wananishangaa huku wana ambiana leo kuna mgeni kahamia shuleni kwetu
mm kwa upande wa maankuri nakumbuka vshet
shikamoo neha
Mimi umenikumbusha primary niko std4 nikawa na intimacy na dogo mmoja anaitwa Jarry... ila hatukuwa wapenz ni mie tuu nilimdondokea. darasa tano nikamdondokea mtoto wa Mark Mwandosya alikuwa anaitwa Emanuel ila alihama mwaka huohuo tukiwa darasa la 5,hope alienda nje au international school. Huyu alikuwa rafiki na Nkundwe nae nilimdondokea tukiwa std 7. Tuition ya std 7 kuna kijana anaitwa Rich, tulikuwa tuition ya Mwl. Gabone na Mwl. Wilfred. Huyu Rich nilimpenda hadi akajua ila sikuwahi mwambia alinisoma tuu usoni, kuna siku tulitembea wote na Rich toka shule hadi kinondoni ila hata hatukuongeleshana. Ivo
Wote hawa hakuna hayta tuliyewahi kuwa wapenzi. IVO
Haaaaaaa mbona hujatuwekea yako
haaaa ladies first bhana....