Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilimwandikia barua,kesho yake nakuta barua yangu imebandikwa nyuma ya mti wa kengele,aibu shule nzima.
ungefanya ww sasa ulikuwa unakimbia kitu gani?. ah! matusiiiiiiiii au jogoo alikuwa hawiki
umenikubusha Mwajuma Ali, mtt alikua mzuri yule hadi noma!
Jogoo alikuwa fresh,ila utoto ulichangia I was just 10!! Pia sikumpendaga wala kumtamani.
Mihogo ya kwa mama sada na chachandu loool nakumbukaje
Uwanja wa dhambi Itetemya s/msingi Tabora.Ukichokoza mtu unapelekwa mkasulubiane mwee hatari sana utoto!
wengi wao niliowatamani kipindi hicho sasa hivi ni makoloni yangu
Baba baba we ni noma sana mkuu, nazikubali sana post zako humu JF,...yaan huwa hujipagi shida!
Yaani huku watu wengine wanajaribu kutoa reminds zao za primary wewe umetoa short and clear kwamba hao woooote wa kitambo hicho now ni makoloni yako kitu ambacho nadhani ukweli wake ni asilimia kumi 10%,...sio hii tu post nyingi huwa hujichoshi yaani we unadondoka simple and clear..
salute broh!
Ni kwelimmmmh kipindi hicho hii kitu sikua hata naijua
kwanza ilikua ukiwa na mtu unaonekana muhuni tulikua tunawatenga wavulana kabisa
anyways ...maisha ya sasa yamebadilika kitoto cha chekechea kina boy