Enzi hzo
KWAKO NIKUPENDAYE,
S.L.P NATA NIWE WAKO,
NAKUPENDA SANA.
12/3/2005
Kwako ni kupendaye
Nimatumaini yangu wewe ni mzima wa afya kabisa utakapo kujua hali yangu nami ni mzima sanaa
Barafu/lengo/epo la balua hii ni kutaka kukwambia kuwa wewe amina mimi nimetokea kukupenda sana ningeomba niwe nawe kimapenzi tusiachane hadi ndoa,yaani usiku si lali nakuota wewe unaniumiza sana amina naomba unikubalie mwenzako,napo kunywa maji kwenye gilasi nakuona amina umetokea kuutesa moyo wangu naomba usiende kunisemelea kwa mwalimu wala kwa mama ako atanichapa tutakuwa tunafanya kwa siri sana amina
Nimatumaini yangu ombi langu litakubaliwa naomba unirudishie majibu na majibu mpe alie kupa balua hii
Ndimi nikupendaye sana
Unautesa moyo wangu
Enzi hizo ni shida na mwandiko mbaya karatasi chafu wakumtuma mpaka umnunulie bagia demu akipokea tu barua humuongeleshi