Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,849
- 3,506
Niiteni masikini ila hii "money trap"
Hizi kweli sio njia za kutafuta pesa kimkakati..?
Mtu una life lako, umeshakuwa mtu mzima, alafu unapitishia watu michango utafikiri ndio unaenda kuanza maisha!!!
Tuache tamaa. Tuache mizaa.
Hizi kweli sio njia za kutafuta pesa kimkakati..?
Mtu una life lako, umeshakuwa mtu mzima, alafu unapitishia watu michango utafikiri ndio unaenda kuanza maisha!!!
Tuache tamaa. Tuache mizaa.